Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kila anayejiita nabii na anahubiri jina la Yesu ni mkristo. Ukristo una principles zake. Ndiyo maana Yesu alisema siku ya mwisho kuna watu atawakataa lakini watamjibu walifanya miujiza kwa jina lake lakini ajibu SIWAJUI. Miujiza SI KIGEZO CHA UKRISTO au kwamba mtu ameitwa/ametumwa na MUNGU.Lengo la huh Uzi ni nini..!?
Ni Nabii kutumia Matangazo unayoyaita Fake Radioni ama..!?
Ni kitendo cha Kuwalipisha kiwango kikubwa cha pesa watu wanaoenda kuonana nae face to face...!?
Ama malalamiko yako yanamaanisha kwamba Ni Nabii Taperi asiye na ukweli wowote.....!?
Binafsi sikubaliani na namna yeye anavyowalipisha Watu pesa ili kumuona, Angetumia Ubunifu kama wa Mwamposa, pale anapowataka watu kuchangia kusambaza Injili, kwa sababu kuna gharama kubwa kurusha Matangazo iwe TV ama Radio...!
Aisifuye Mvua imemnyea, yakikukuta wewe mwenyewe utajua Manabii wote wanapatikana wapi.....!
Kile watu wasichojua Kuna mstari mdogo sana kati ya Nabii na Mganga wa Kienyeji, Mganga wa Kienyeji mpiga Ramli akiamua kuokoka akitaka kumtumikia Mungu, anakua Nabii straight, utofauti ni kwamba akiwa Mganga alikua anafanya kazi kwa Usaidizi wa Mizimu na Majini, na sasa ni Nabii anafanya kazi kwa usaidizi wa Roho Mtakatifu.
Kuna Matatizo ya Watu yanawahitaji Manabii moja kwa moja, kumsaidia mtu atoke shimoni then uanze kumfundisha kuomba, kufunga n.k....!
Mtu ana matatizo lukuki, ni Mgonjwa, hatembei, Macho hayaoni kwa sababu ya Husda za Wanadamu,hafu unamwambia asome Biblia, afunge, akemee, anaanzia wapi.... Unahitaji Nabii atayekwambia tatizo lako na kutatua then akufundishe kumtegemea Mungu.
Aisifuye Mvua imemnyea Mkuu, mimi ni Mhanga wa Matatizo ya Kiroho, na hao Manabii ndo walinisaidia.....!!Siyo kila anayejiita nabii na anahubiri jina la Yesu ni mkristo. Ukristo una principles zake. Ndiyo maana Yesu alisema siku ya mwisho kuna watu atawakataa lakini watamjibu walifanya miujiza kwa jina lake lakini ajibu SIWAJUI. Miujiza SI KIGEZO CHA UKRISTO au kwamba mtu ameitwa/ametumwa na MUNGU.
Kumbe ndio maana wayahudi wakampotezea Yesu kisa waliona huyu dogo fundi seremala tuAlafu mkongomani huyu
Hawa wengi matapeli tu
Wanacheza na akili za watu
Mfano leo hii,mm nianze kumshobokea kakob wakati
Wengine tumekuwa na tunamuona kakob anauza cd kko
Leo hii nabii 😄
Ukiishi kwa kuona mengi elimu tosha kabisa huwezi kubabaishwa
Na mtu
Ova
Wenyewe wanasema watanzania kuna wajinga kwerikweriWatanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa
Why unaamini huyo tapeli?
saa ngap mkuu wanaanza namimi nirefresh mind baada ya kusikiliza michezoSure ,watu sijui wanadanganyika vipi na usanii wanaoufanya ,Tapeli Dominic anachofanya anaingia studio anarecord mazungumzo ya kisanii ya mpiga simu then wanyarusha Furaha Redio,Efm au Times FM.
Kuna siku kuna dada alimpigia simu kwamba hajui amepewa mimba na nani hivyo akampigia Kiboko ya wachawi amtajie ,then Nabii akamtajia kwamba ni Fundi Ujenzi ndiyo aliyempa ujazito kati ya wanaue wake sita.
Mimi huwa namsikiliza kama ze comedy huwa nafurahi sana anavyoigiza.
mkuu shikamooAlafu mkongomani huyu
Hawa wengi matapeli tu
Wanacheza na akili za watu
Mfano leo hii,mm nianze kumshobokea kakob wakati
Wengine tumekuwa na tunamuona kakob anauza cd kko
Leo hii nabii [emoji1]
Ukiishi kwa kuona mengi elimu tosha kabisa huwezi kubabaishwa
Na mtu
Ova
KG kapunguza idadi ya wanaompinga,akazue na online SasaHivi Rwanda wamewezaje? Huu uhuru umevuka mipaka