Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
- Thread starter
-
- #241
Nimekusoma mkuuWAMALAWI NI NDUGU ZETU WA DAMU, HAWANA TATIZO, KELELE WAZIFANYAZO MCHANA ZINAWEZA KUWA NA DB NGAPI ILI NEMC WAJE HAPO?, MWL JKN ALIWAAMINI SANA WAMALAWI NA WENGI WALIKUWA WATUMISHI SAFI NDANI YA IKULU 1970s,
N.b,wazingatie sheria tu inatosha.
🤝Mkuu nimekuelewa kabisaaa
Mkuu umewahi kusikia sehemu Mmalawi kavunja nyumba ya mtu au kapigana na mtu,?Wapo wapo tu watu wa watu watulivu na waadilifu......ndio maana Kuna ule usemi wa watoto wa mjini kumkejeli mshamba utasikia jamaa ni mnyasa sana....wakiwatumia wao Kama mfanoHata hapa JF kuna wahamiaji haramu pia. Nadhani mmeona michango yao!
Hoja kuu ni kuwa wapo kinyume cha sheria au la!?
Sasa cha ajabu watu wanaunga mkono uvunjaji wa sheria.
Haikatazi kuwa mhamiaji, inakatazwa uhamiaji haramu.
Mbona wasomali na waithiopia wanakamatwa sana tu na watu wanaona ok, au kwa vile wao sio "waafrika" kiviile!?
Maajabu ya watanzaniaHata hapa JF kuna wahamiaji haramu pia. Nadhani mmeona michango yao!
Hoja kuu ni kuwa wapo kinyume cha sheria au la!?
Sasa cha ajabu watu wanaunga mkono uvunjaji wa sheria.
Haikatazi kuwa mhamiaji, inakatazwa uhamiaji haramu.
Mbona wasomali na waithiopia wanakamatwa sana tu na watu wanaona ok, au kwa vile wao sio "waafrika" kiviile!?
Kule nzega kuna Waziri mmoja ametokea huko, Yeye vipi?Maajabu ya watanzania
Mkuu umewahi kusikia sehemu Mmalawi kavunja nyumba ya mtu au kapigana na mtu,?Wapo wapo tu watu wa watu watulivu na waadilifu......ndio maana Kuna ule usemi wa watoto wa mjini kumkejeli mshamba utasikia jamaa ni mnyasa sana....wakiwatumia wao Kama mfano
Mleta mada analalamika watoto wao kuchungulia madirishani kuona watu wazima walifanya yao Kwa nini asiwafundishe wanae kuachwa tabia za ku
😂😂😂 Amini wewe bila kuzibuliwa hilo sikio Moja utawapa watu kazi.Hapa ya kuilamu ni IQ yako,sio wewe😁😁
Kitakua kituTutaona sasa. Nakwambia haikiwi kitu
Nakuambia hakiwi kituKitakua kitu
Nakwambia kinakuwa kituNakuambia hakiwi kitu
Hivi wewe unaandika madudu gani mbona hayasomeki? Haya soma mwenyewe uone kama utaelewa ulichokiandika😅 aisee wewe ni mnyasa.Eeeh Bora umwashe usingizini...
Wewe umetoka kwenda wapi?Chapeni kazi,Hawa watu ambao hawajawahi kutoka hata nje ya mkoa anaoishi Wana vichwa vigumu sana
Niongezee mkuu Their passport is their colour nimambo madogo tu wanapaswa kurekebisha tunahitaji Africa 1 sisi niwa mojaAcha watu watafute maisha kijana. Kama wewe umeridhika na life la bongo ni wewe. Siamini kwamba wamalawi au the so called wahamiaji haramu ndo wanafanya maisha yako yawe magumu bongo. Ukiuliza wabongo ambao wameenda huko mambelezz kutafuta maisha. The story is the same or worse. Mimi naamini kila binadamu apewe fursa atafute maisha. Ilmradi ni raia mwema.
Na mara nyingi ukiangalia, the so called wahamiaji ndo wanachapa kazi maana wanajua wanatafuta nini. Sisi wabongo ni kulalamika tu. Itumie hii kama fursa. Hata kama ungefukuza wamalawi wote siamini kama itabadilisha maisha yako. Pambana kiume. Acha wamalawi watafute maisha. Life is tough bro!
Mimi ni mnyasa wa Mbambabay Tanzania.Hivi wewe unaandika madudu gani mbona hayasomeki? Haya soma mwenyewe uone kama utaelewa ulichokiandika😅 aisee wewe ni mnyasa.
MalawiWewe umetoka kwenda wapi?
kwani mtu kutoa dokezo Lake hapa jf ni kosa. Msiforce watu mfanane kimtazamo jmn. Hpa Pia ni mahali sahihi kabsa. Mambo mangapi yanaanzia jf halafu baadaye yanaclick na kufatiliwa na mamlaka husika?
Tutabanana humu humu hakuna Cha kwenda wapi Wala wapi, tushawajua wanufaika wa wahamiaji haramu!.Hapa sio mahali sahihi sana kwa suala hilo, ilitakiwa kwanza atoe taarifa katika vyombo vinavyohusika ndipo baadaye aje atoe na hapa pia kwani inawezekana wanaohusika wakapuuza habari hii wanapoiona humu kwani si huwa wanasemaga; "haa hayo ni mambo ya mtandai Bwana!!".
Jambo linatakiwa kwanza lifikishwe katika ngazi zinazohusika na baadaye ndio linaweza kuletwa humu pia.
Zibua kwanza sikio ndo uje kunijibu pengine tutaongea lugha mojaMalawi
Kweli wewe chizi jinga sio chizi maarifa- haya kwa taarifa Yako kishaanza kuwa huku😂Nakuambia hakiwi kitu
Hakuna kitu. Weka ushahidi hapa.Kweli wewe chizi jinga sio chizi maarifa- haya kwa taarifa Yako kishaanza kuwa huku😂
Serikali sio wajinga kama nyie!
Famasihara Nini?