DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
mimi niwaambie tu ukweli hakuna nchi ina raia wengi nje kama Tanzania ,tena wengi wanaishi bila vibali ,nenda Kenya,uganda,congo,Malawi's,marekani,south afrika n.k
sasa unajua serikali haijui hilo? inajua sanaa na swala la usalama ni nyeti na pana na linapimwa kwa viashiria na sio kukurupuka na kuanza kuwaandama watu kwa kisingizio ni Wageni na ukajisahaulisha kuwa wako hawapo kwao utaweza leta majanga makubwa sanaa kwa watu wako kuliko wao. hoja ya mleta uzi ni muhimu ni vyema wahakikiwe vibali na wapewe vibali ili waweze kuishi kwa uhuru.
swala la maadili naona halina tija hivi kuna watu wanaongoza kwa UVUNJIFU wa maadili kama Tanzania .ukweli sijawahi opoa kahaba mmalawi,wala sijawahi shuhudia mwizi mmalawi au shoga mmalawi ila nenda south uone wabongo yalivyo Chakaaa.
 
Black on black hate, unalalamikia Wamalawi wakati Wahindi, Waarabu, Wachina, wapersia wamejaa na hawana vibali vya kazi na siyo wa kwetu ni race nyingine kabisa tena chafu, angalau hao Wamalawi ni wetu, punguza kujichukia.
Ndiyo, ni Waafrika wenzetu na kwao ni Afrika. Mwafrika asiitwe mhamiaji haramu popote aendapo barani Afrika maana ni kwao. Waafrika wameishasambaa dunia nzima sembuse kusambaa kwao Afrika?!

Tuwe na nchi moja iiitwayo Jamhuri ya Muungano wa Afrika (United Republic of Africa - URA), serikali moja, jeshi moja, sarafu moja iitwayo Afro, uraia mmoja na lugha moja ya kutuunganisha, Kiswahili kwa mfano (Swahiliphone)
 
Back
Top Bottom