Serikali chukueni hatua Zanzibar inaharibiwa na ushoga

Serikali chukueni hatua Zanzibar inaharibiwa na ushoga

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Ni sehemu pekee Tz ukiacha DSM unakutana na shoga mtaani hana wasiwasi.

Kiukeli nimesikitika sana,haiwezekani Mji wa maadili km huu unaharibiwa,vijana wa kizanzibari wanaharibika,wanajiuza kwenye mahotel kwa wazungu na waarabu.

Mbaya zaidi watu wengi wenyeji wanajua na wanachukulia kawaida.

SMZ naomba mchukue hatua Kali juu ya ufuska km huu.

Na haya mambo huwezi kuyakuta Pemba ni unguja ndio kuna upuuzi wa aina hii
Mambo yanafanyika adharani kwa anayeishi Zanzibar anaelewa ili haya mambo hayakubaliki.

Kuna MTU mzanzibar kaniambia watoto wao wa kiume kwa wale wanaojiweza wanakuja kulelewa bara kuwaepusha na tabia za kushoga.
 
Lakini huko si sheria kali mpaka kipindi cha mfungo haturuhusiwi kula mchana na biashara za mitungi zinafungwa..[emoji3]

Btw, mara ya kwanza kufika Znz sikuamini kuona jumba limejaa magasho wanashindana kukata nyuno..
Sio jambo la kuficha kuna uhuni sana unafanyika
 
Back
Top Bottom