Serikali chukueni hatua Zanzibar inaharibiwa na ushoga

Serikali chukueni hatua Zanzibar inaharibiwa na ushoga

Ni sehemu pekee Tz ukiacha DSM unakutana na shoga mtaani hana wasiwasi.

Kiukeli nimesikitika sana,haiwezekani Mji wa maadili km huu unaharibiwa,vijana wa kizanzibari wanaharibika,wanajiuza kwenye mahotel kwa wazungu na waarabu.

Mbaya zaidi watu wengi wenyeji wanajua na wanachukulia kawaida.

SMZ naomba mchukue hatua Kali juu ya ufuska km huu.

Na haya mambo huwezi kuyakuta Pemba ni unguja ndio kuna upuuzi wa aina hii
Mambo yanafanyika adharani kwa anayeishi Zanzibar anaelewa ili haya mambo hayakubaliki.

Kuna MTU mzanzibar kaniambia watoto wao wa kiume kwa wale wanaojiweza wanakuja kulelewa bara kuwaepusha na tabia za kushoga.
Uko ktk usingizi wa pono sana, yaan hujui km serikali ndio mdau mkubwa wa ushoga?

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
ni hatari kubwa.
Laana ya Mungu ikishuka haichagui, wote wanaangamizwa kama Sodoma na Gomora.
Viongozi wanapaswa kuchukua hatua kukemea vikali na kuchukua hatua...kimyakimya.
Lakini kwa elimu tu, hiyo sehemu inayodaiwa kutumika kwa watalii ni fupi sana, au ina kina kifupi mno. Urefu wake ni nusu ya kidole cha shahada, yaani sm 4. Kwa hiyo, kwa vyovyote vile, wale wanaofanywa wanumia sana, na wale wanaofanya, wanakutana na mavi tu. Na mjue, hakuna mavi mazuri, hata yawe ya miss World. Facts hizi hapa chini:

The average size for a flaccid penis is 8.8 cm (3.5 in) , while the average size for an erect penis is 12.9 cm (5.1 in). Yaani kigongeo kikiwa tayari kwa kazi, ni kirefu ajabu.

Screenshot_20231128_072655_Chrome.jpg
Screenshot_20231128_074633_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom