Serikali chukueni hatua Zanzibar inaharibiwa na ushoga

Serikali chukueni hatua Zanzibar inaharibiwa na ushoga

Ushoga,ubasha,ni mambo ya ukanda wa pwani,
Na ukanda huu,Imani kubwa ni Uislam.
Mbeya,Rukwa,Mwanza,Shinyanga,kusikia kuna shoga mtaani,ni nadra sana.
Uwezi kutenga imani ya watu na utamaduni wao,
Ndio maana nchi za Ulaya,USA,zinaitwa nchi za kikristo,Judeo Christianity,.Hata kama si wazungu wote wanaoenda kanisani,nchi hizi zimejengwa na tamaduni za kikristo.
MTU hawi shoga ghafla,huanzishwa kidogo kidogo!
Watu hawa watakuwa wametendwa wakiwa vijana/watoto wadogo,katika familia zao,Baba,Kaka,Baba mdogo,Mjomba,
Anzieni hapo kwenye dini.Uwezi kuutenga Uislam na Tabia hizi za kishoga,sehemu ya kuanzia ni hapo kwenye dini
Unakosea uislamu unapinga vikali sana ushoga ,hakuna kitabu kinachopinga ushoga km Quran.
Kwahyo hakuna uhusiano kati ya uislamu na ushoga.
Katika takwimu bara la ulaya linaongoza kwa homosexual hapo utasemaje ni ukristo?
 
NYAKATI ZA MWISHO ZITAKUA KM ZA SODOMA NA GOMORA TARAJIA KUONA MENGI ZAIDI YA AYO MAJIRA AYA SIO RAFIKI.
 
Sasa tuseme uliona wanapewa hela halafu ukaona wanaenda na mzungu halafu ukaona mzungu anafanya nini huyo ,ebu fafanua halafu na kapicha asee.
 
If you are so stupid to value and protect your own culture(African), then let the western ones blossom and flourish
 
Siku zinakuja halitalisalia hata Jiwe mmoja.
Hapo ndipo kutakuwa na kilio na kusaga Meno.
 
Ushoga,ubasha,ni mambo ya ukanda wa pwani,
Na ukanda huu,Imani kubwa ni Uislam.
Mbeya,Rukwa,Mwanza,Shinyanga,kusikia kuna shoga mtaani,ni nadra sana.
Uwezi kutenga imani ya watu na utamaduni wao,
Ndio maana nchi za Ulaya,USA,zinaitwa nchi za kikristo,Judeo Christianity,.Hata kama si wazungu wote wanaoenda kanisani,nchi hizi zimejengwa na tamaduni za kikristo.
MTU hawi shoga ghafla,huanzishwa kidogo kidogo!
Watu hawa watakuwa wametendwa wakiwa vijana/watoto wadogo,katika familia zao,Baba,Kaka,Baba mdogo,Mjomba,
Anzieni hapo kwenye dini.Uwezi kuutenga Uislam na Tabia hizi za kishoga,sehemu ya kuanzia ni hapo kwenye dini
shinyanga mashoga wengi tu
 
Ni sehemu pekee Tz ukiacha DSM unakutana na shoga mtaani hana wasiwasi.

Kiukeli nimesikitika sana,haiwezekani Mji wa maadili km huu unaharibiwa,vijana wa kizanzibari wanaharibika,wanajiuza kwenye mahotel kwa wazungu na waarabu.

Mbaya zaidi watu wengi wenyeji wanajua na wanachukulia kawaida.

SMZ naomba mchukue hatua Kali juu ya ufuska km huu.

Na haya mambo huwezi kuyakuta Pemba ni unguja ndio kuna upuuzi wa aina hii
Mambo yanafanyika adharani kwa anayeishi Zanzibar anaelewa ili haya mambo hayakubaliki.

Kuna MTU mzanzibar kaniambia watoto wao wa kiume kwa wale wanaojiweza wanakuja kulelewa bara kuwaepusha na tabia za kushoga.
Inasikitisha sana mkuu
 
Kuna siku hapa niliuliza kuna nini kati ya uislam na mambo haya yakinyume na maumbile? Mdau mmoja akanijia juu kweli. Muda ambao nilikuwa tanga nilishangaa sana, TANGA ni mkoa pia wenye waislam wengi yaani vibinti vidogo mpaka wanawake waliolewa kufanya mapenzi haya kinyume na maumbile ni jambo la kawaida. Kuna mitaa au vijiji ambavyo mtoto wa kiume analindwa sana kuliko wa kike.

My opinion; Kama baba/mama wanafanya mapenzi yakufirina basi kwenye kizazi chake hapatakosekana shoga, kama sio mtoto basi wajukuu. Hii kitu ni laana
 
Una ushahidi wowote Tanganyika mishoga ya kisukuma telee na ya kichaga toweni kibanzi ktk jicho lako kishautizame boriti ktk jicho la mwenzako au na wewe miongoni mwao uliwajuwaje
Aisee
 
Unakosea uislamu unapinga vikali sana ushoga ,hakuna kitabu kinachopinga ushoga km Quran.
Kwahyo hakuna uhusiano kati ya uislamu na ushoga.
Katika takwimu bara la ulaya linaongoza kwa homosexual hapo utasemaje ni ukristo?
Ushoga hauna Dini

Ulaya wamewaachia tu sio kwamba ndio wanaongoza, uarabuni wapo kibao sema wanajificha
 
Back
Top Bottom