Serikali: Elimu ya msingi mwisho darasa la sita kuanzia 2027

Serikali: Elimu ya msingi mwisho darasa la sita kuanzia 2027

 Nilivuoe
Wanafuta mtihans wa La 7 ns kueeka

Sasa kama mtihani wa elimu ya msingi umefutwa kwa hiyo watafanya mtihani gani na watapimwa vipi?

Halafu nilitegemea wangekuja na pendekezo la kuanza kutumia lugha ya kingereza kufundishia masomo yote isipokuwa kiswahili litabaki somo la lazima kwa elimu zote …
Pia wasinge jiangaisha tungaenza kutumia mfumo wa elimu ya kenya basi kuliko kujidanganya kufuta mitihani…watoto wa elimu ya msingi ni vyema kupimwa!
Nafasi ya kutoa maoni ilikuwepo.Msingi huu wa elimu utamwezesha mhitimu wa form four that is elimu ya msingi miaka 10 kutoka na ujuzi na maarifa badala ya elimu ya sasa iliyojikita kwenye maarifa.
 
Kwa miaka 6 ya elimu ya msingi wanafunzi wapimwe kitaifa mara mbili; awamu ya kwanza iwe baada ya miaka minne na awamu ya pili iwe ya kuhitimisha miaka sita. Mitihani ya kuhitimisha mwaka wa sita itumike kuchaguwa wanafunzi wenye sifa za kuendelea na miaka mingine minne.
Wenye sifa wa kuendelea na miaka mingine 4 ni wale watakaonekana wamepata maarifa kamili kwa kufaulu masomo yote kuanzia 50% Hadi 100%

Tukisema elimu ya lazima iwe ni miaka 10 basi Kuna mwingine anaweza kuja na kusema elimu ya lazima iwe ni miaka 12 au 17 na ili iwe lazima basi watakaoenda hatua nyingine ni lazima wawe wamefaulu na wasiofaulu watalazimika kukalili au kuludia hatua husika.
Sekondari ya chini upimaji wa kitaifa ufanyike mara moja kitaifa na mara moja ndani ya mkoa.
Shule zenye wanafunzi kuanzia 400 Hadi 800 walimu wasipungue 4 kwa kila somo kwa shule za sekondari na 5 kwa kila somo kwa shule za msingi.

Karibu 95% ya shule zote nchini Zina upungufu wa walimu.
Malengo ya elimu yazingatie muda. Mada zitakazokusudiwa kufanikisha malengo lazima ziwe sawa na muda utakaopangwa kulingana na muda wa siku za masomo kwa ratiba za nchi Zima..

Ikiwa mpango huu utakaoanza kufanikishwa kuanzia 2027, umeigwa mahali basi ni muhimu kuhakikisha kila njia na nyenzo fanikishi zinaigwa kwanza kabla ya kufanya ubunifu mwingine.
Asante.
mtoto wangu mmojawapo ni darasa la sita, ila nikiangalia anayosoma na aliyo na uwezo nayo anasoma masomo niliyokuwa nasoma nikiwa form one na form two.
 
Hii nchi mpaka leo bado tunaendelea kujaribu jaribu kwenye elimu
 
Back
Top Bottom