Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Maiti huwa haidaiwi...Prepaid wapi bana,
Pesa ya matibabu iwe mtihani kupatikana, pesa ya kulipia maiti itoke wapi?
Si sawa kudai maiti.
Kinachodaiwa ni huduma alizokuwa amepatiwa kabla hajafariki...
Sasa akifariki wabongo hatutaki kuchangia ili na mwingine akija apate huduma...
Bila kuchangia hizi huduma si hospitali zitacollapse?...