BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
Daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata humu JF tulisha pigwa na yule jamaa aliye dai unalipa robo ya bei kitu chochote cha electronic. Pesa iliyo baki utamalizia utakapo kwenda kuchukua mzigo kwenye warehouse Kigamboni. Jamaa alijiita Mulisa.Duh! Daniel Shila aliwatapeli watu kupitia E-FM ya majizo.
Noma sana.
Sema Andrew tate umekosea, pale pesa ipo.Huyo ni fake influencer, lengo lake ni kupiga pesa tu. Hana tofauti na kina Andrew Tate.
Wanaanza kwa kuongea vitu vya ajabu kwenye mitandao na kupost maisha ya kifahari, kisha wanakuja kukuuzia kitu fulani.
We jamaa ni mnoko, ni mkuda na una husda. Wanasiasa na (Mitume/wachungaji/freemasons/ illuminati/waganga wa kienyeji) they all fall into one category hivyo kama kushtaki if you're fair basi kashitaki wote hao.Wapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.
Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.
Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.
Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.
Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.
Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )
Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.
Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
jamaa anazingua huyuView attachment 3207403
Serikali gani wakati wote wako kitanda kimoja wakifanya kitu kilekile? Kwani huyu shaitwani ni wa kwanza? Umewasahau akina Getrude Rwakatare, Christopher Mwakasege, Gamanywa, Moses Kulola, Kakobe, na wengine wengi? Huwaoni akina Gwajima, Lusekelo, Mwampasa na wengine wengi wanaoendeleza libeneke?Wapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.
Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.
Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.
Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.
Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.
Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )
Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.
Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
ni fake.Sema Andrew tate umekosea, pale pesa ipo.
Ana kama networth ya US 380 million!
Yule sio fake!
Si tapeli, yule alikuwa kickboxer mwenye mafanikio, alikuwa millionaire toka akiwa kickboxer.ni fake.
hakuwa na utajiri mkubwa hivyo kabla ya kuanza kutapeli vijana mtandaoni
tapeli ni tapeli tu hata kama hana shida ya hela.
Wanamhitaji sana ili kuwaweka wapumbavu busy na matumaini hewaWapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.
Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.
Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.
Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.
Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.
Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )
Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.
Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
Learn to mind your business, utafika mbaliWapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.
Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.
Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.
Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.
Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.
Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )
Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.
Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
1. MwamposaWapo vijana maskini wa akili ambao wataona Mimi Nina wivu ama chuki dhidi ya huyu jamaa anae jiita Chief Godlove.
Huyu jamaa kimsingi ni tapeli ambae amekuwa akiwatapeli maskini pesa zao.
Mwanzo alikuwa anajitukuza kwa kusema yeye ni freemasoni na hiyo ndio njia iliyo wavuta watu wengi wenye kutamani mafanikio ya haraka.
Kwasasa anendelea kuunganisha watu na jicho la tatu ambapo amekuwa akiwatoza watu pesa ya kiingilio kwaajili ya huduma ya jicho la tatu, anadai ndani ya group lake amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kuona mambo yasiyo weza kuonekana kwa jicho la kawaida, amekuwa akiwapa elimu ya jinsi ya kupata pesa.
Najaribubu kujiuliza maswali je? Serikali inaruhusu iyo elimu na je ? Serikali imefanya uchunguzi dhidi ya hiyo elimu.
Huyu jamaa anawafanya vijana wawe wajinga wajinga wakiamini zipo pesa zinazo weza kupatikana wa kujiunga na group tuu la watsup (jicho la tatu )
Alikuwepo tapeli mmoja aliye jiita DANIEL SHILLA baada ya kutapeli watu pesa za kutosha sasa amehamia Dubai.
Je, serikali inasubiri huyu chief ahame nchi ndio ianze kumchunguza.
Hilo swali huwa gumu.Kwa mujibu wa bandiko lako chifu hana tatizo wenye tatizo ni hawa uliowaita masikiniView attachment 3207316