Serikali: Hakuna Fidia kwa Waliobomolewa Nyumba kupisha utanuzi wa Barabara ya Kimara-Kibamba, ilitumika Sheria ya 1932!

Hii ilikuwa ni sheria ya kikoloni kabisa
 
Sheria ni Kama silaha, ukisema hii silaha ni ya mkoloni inamaana haiui? Au silaha ya kitanzania yenyewe inaponya badala kuumiza, sisi tuseme Sheria hio inasemaje na sisi tulitaka isemeje, tuwaambie wawakilishi wetu, Kama wanajali!!
Bado tunatumia sheria za wakoloni au tunatumia sheria zetu?
 
Mama Sir-100 alikuwa amezaliwa?
 
Pole sana.
 
Wauaji ccm, kuna siku mtalipa maovu yote. Mkiwa mmekufa watoto wenu watalipa mana ndio wanafaidi uovu huu.

angalia hiyo sasa
 

Attachments

π•‚π•’π•žπ•’ π•Ÿπ•š π•žπ•¨π•–π•Ÿπ••π•’ π•«π•’π•œπ•– π•€π•š π•’π•π•šπ•€π•™π•’π•›π•šπ•‘π•¦π•žπ•«π•šπ•œπ•šπ•’ π•™π•¦π•œπ• ,π•Ÿπ•’ 𝕀𝕒𝕀𝕒 π•œπ•¦π•Ÿπ•’ 𝕀𝕀𝕙 π•Ÿπ•–π•Ÿπ••π•’ π•œπ•’π••π•’π•š π•¦π•π•šπ•‘π•¨π•–.

β„•π•š π•žπ•›π•šπ•Ÿπ•˜π•’ π•‘π•–π•œπ•–π•– π•’π•žπ•“π•’π•ͺ𝕖 π•™π•¦π•’π•žπ•šπ•Ÿπ•š 𝕦π•₯π•–π•œπ•–π•π•–π•«π•’π•›π•š 𝕨𝕒 π•€π•™π•–π•£π•šπ•’ π•¦π•Ÿπ•’π•₯π•–π•˜π•–π•žπ•–π•’ π•Ÿπ•’ 𝕦𝕨𝕖𝕑𝕠 / π•œπ•¦π•₯π• π•œπ•¦π•¨π•–π•‘π•  π•œπ•¨π•’ π•žπ•₯𝕦 π•—π•¦π•π•’π•Ÿπ•š,𝕀𝕒𝕀𝕒 π•€π•–π•£π•šπ•œπ•’π•π•š π•ͺ𝕒 𝕀𝕀𝕙 π•šπ•žπ•–π•€π•–π•žπ•’ π•™π•’π•šπ•π•šπ•‘π•š 𝕓𝕒𝕕𝕠 π•¦π•Ÿπ•’π•π•–π•₯𝕒 π•™π•’π•“π•’π•£π•š 𝕫𝕒 π•žπ•¨π•–π•Ÿπ••π•’π•«π•’π•œπ•–.

π•Šπ•’π•—π•š π•œπ•’π•“π•šπ•€π•’,π•Ÿπ•’π•¦π•Ÿπ•˜π•’ π•žπ•œπ• π•Ÿπ•  𝕙𝕠𝕛𝕒,π•Ÿπ•’ π•¦π•€π•šπ•π•šπ•‘π•¨π•–,π•žπ•’π•’π•Ÿπ•’ π•’π•œπ•šπ•π•š π•«π•’π•œπ•  π•™π•’π•«π•šπ•›π•¦π•š π•œπ•šπ•‘π•š π•Ÿπ•š π•œπ•šπ•‘π•š
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Semeni Mama amesema na sio Serikali...
Yani vitu vya kishetAni shetani mnasema serikali..
Kodi zetu zinapotumika mnasema Mama katoa..
Acheni hzoo
 
Sikulipwa fidia.
Sitalipwa fidia lakini nakuhakikishia Sasa hivi Niko better off kuliko wewe ambaye hukuvunjiwa na Niko vizuri kuliko nilivyokua awali.
Unachotakiwa kujua Ni kwamba duniani tunapita tu hakuna haja ya kumfanyia MTU ubaya. Kuna leo na kesho, usimtukane usiyemjua.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
johnthebaptist naona umefirahi Sana sisi kuvunjiwa. Hata siku Ile tarehe 14.9.2017 tulipokua tunavunjiwa Kuna majirani zetu walikua wanashangilia Sana hasa wakiona samani zetu Zina pondwa pondwa na tingatinga la tingatinga.
Wengine wameshakufa na wengine nawaona Hadi leo wanatafunwa na kwashiorkor.
 
Ah hata kama bhana kwanza huo mwaka bado tulikuwa tunatawaliwa, hapo serikali wametutapeli
Watanzania tujifunze kujua mambo muhimu zaidi kuliko Kariako Derby, serikali hua haifi anayebadilika ni mtawala ndiyo sababu waajiriwa wote walendelea kufanya kazi bila kuulizwa baada ya siku ya Uhuru. Mkitaka mnavyotaka itabidi kila chama kinachoingia madarakani watumishi wote waachishwe kazi, hakwezekani kwani serikali ni ya wananchi.
 
Serikali hii imeridhi Sheria zoote kandamizi za kikoloni.
 
Sawa, ila leo n fainali ya ueropa
 
Dr Matola naye kibanda chake kilivunjwa ila mnastahili kulipwa fidia
 
NA WALIOFIDIWA KULEE MWANZA ILITUMIKA SHEERIA IPI?????????????? USIWE KAMA KASUKU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…