Serikali haraka fungeni mipaka chakula kisiuzwe nje, machafuko na migogoro ya kivita viwape ari hiyo

Serikali haraka fungeni mipaka chakula kisiuzwe nje, machafuko na migogoro ya kivita viwape ari hiyo

Serikali ikishanunua itayaweka wapi? Au turudishe mambo ya serikali kufanya biashara? Mliona JPM alichowafanya wakulima wa korosho?

Tanzania hakuna vita, mazao yauzwe nje, anaehisi njaa nyumbani kwake akalime mashambani
Wewe beberu ndiyo hasa adui yetu. Unajifanya kuwaonea wakulima huruma wakati Magufuli alitushatuambia nyie ni watu wabaya sana na ndiyo maadui zetu? Mzaha pembeni, nilikuwa nasisitizia umuhimu wa wakulima kuachiwa kuuzwa watakako, ndiyo maana nikasema kama wanaona umuhimu wa nchi kuwa na akiba, basi wanunue waweke na siyo kuwafanya wakulima victims!
 
Mliwasaidia pesa ya mbolea wakulima? Limeni na nyie km rahisi.
 
2026 Kuna ukame mkubwa utaikumba Dunia Kwa miaka 3 na nusu.

Nchi ijenge maghala mapya mengine, inunue na kutunza chakula zaidi.
 
Back
Top Bottom