Hivi serikali kwa kimya chetu mnadhani mmetushawishi? Hivi hata haya siyo ujanja ujanja wenu usio kubalika?
1. Malipo ya shule vyuo vikuu tunakolipa kupitia loan board 100% + interest. Kwa maana vyuo vya umma havina tofauti na vyuo binafsi.
2. Malipo ya hospitali ambapo dawa, kumwona daktari, kulazwa na hadi mortuary ni kulipia kibiashara kama ilivyo kwenye hospitali binafsi.
3. Sasa mnataka kushurutisha bima ya afya mkidai kuwa mmeona wazima na wagonjwa lazima wawe na bima eti kwa sababu mnapata hasara.
VIDEO: Serikali yafumua masharti saba bima ya afya kwa wote
Haya yote bila hata kugusia tozo za simu za Mwigulu na makando kando lukuki yenye kuhusiana na rushwa dhidi yetu huko TRA, Polisi, Mahakamani, LATRA, Ardihi, mahospitali, nk.
Hivi uwekezaji wetu nchini kama wananchi, walipa kodi na wadau kwenye taasisi na mali za umma uko wapi?
Kwamba maisha yaendelee hivi siku zote? Aaaah wapi!
Kwani ni onyo lipi ambalo hamkupewa?
Tofauti na kutesa kwa zamu nyie siku moja mtawajibika kama walamba asali na kuchonga mizinga.
-----
Serikali haipo kwa maslahi yetu bali kufanikisha upigaji wao
1. Malipo ya shule vyuo vikuu tunakolipa kupitia loan board 100% + interest. Kwa maana vyuo vya umma havina tofauti na vyuo binafsi.
2. Malipo ya hospitali ambapo dawa, kumwona daktari, kulazwa na hadi mortuary ni kulipia kibiashara kama ilivyo kwenye hospitali binafsi.
3. Sasa mnataka kushurutisha bima ya afya mkidai kuwa mmeona wazima na wagonjwa lazima wawe na bima eti kwa sababu mnapata hasara.
VIDEO: Serikali yafumua masharti saba bima ya afya kwa wote
Haya yote bila hata kugusia tozo za simu za Mwigulu na makando kando lukuki yenye kuhusiana na rushwa dhidi yetu huko TRA, Polisi, Mahakamani, LATRA, Ardihi, mahospitali, nk.
Hivi uwekezaji wetu nchini kama wananchi, walipa kodi na wadau kwenye taasisi na mali za umma uko wapi?
Kwamba maisha yaendelee hivi siku zote? Aaaah wapi!
Kwani ni onyo lipi ambalo hamkupewa?
Tofauti na kutesa kwa zamu nyie siku moja mtawajibika kama walamba asali na kuchonga mizinga.
-----
Serikali haipo kwa maslahi yetu bali kufanikisha upigaji wao