Polisi loss report na jeshi la zima moto report lakini wamekataaPole sana mkuu, Ulienda na kielelezo kipi kinachoonesha kuwa vyeti vyako, viliungua na moto?? 🤔 🤔
Andika ueleweke, hakinya interview ndo nini?Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Umeaply umechaguliwa eti siku ya interview unawaeleza umepoteza original lakini ipo kwenye mchakato lakini bado hawakuruhusu kufanya intetview as serikali haiamni katika kupoteza
Kila kitu kipo kwenye system lakini unaonekana kama hujasoma.
Tuungane kuitoa ccm madarakani.
Nimekasirika sana kutofanya interview leo kisa vyeti nilipoteza tena kwa kuungulia ndani.
Hapa N.I.T ningetembea na badtora halika ningeua mtu leo
Akija badtora yake wewe ndo mtu wa kwanza kufa 😁😁😁Kwa mwandiko huo, bora ulivyo zuiwa kufanya interview
Utaratibu upo kwenye mchakato na hawatoi mbadla hapo happ na mimi nimepoteza juzi tuYaani siku ya usaili ndo unafuatilia utaratibu ?
Pole sana Braza...pia wanaoweka sheria ndio Hawatumii akili sio hao uliowakuta Mlangoni.Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Umeaply umechaguliwa eti siku ya interview unawaeleza umepoteza original lakini ipo kwenye mchakato lakini bado hawakuruhusu kufanya intetview as if serikali haiamni katika kupoteza
Kila kitu kipo kwenye system lakini unaonekana kama hujasoma.
Tuungane kuitoa ccm madarakani.
Nimekasirika sana kutofanya interview leo kisa vyeti nilipoteza tena kwa kuungulia ndani.
Hapa N.I.T ningetembea na bastora halika ningeua mtu leo
Ndo nchi yetu hii pole sana mkuuTanzania ni nchi ya ajabu sana. Umeaply umechaguliwa eti siku ya interview unawaeleza umepoteza original lakini ipo kwenye mchakato lakini bado hawakuruhusu kufanya intetview as if serikali haiamni katika kupoteza
Kila kitu kipo kwenye system lakini unaonekana kama hujasoma.
Tuungane kuitoa ccm madarakani.
Nimekasirika sana kutofanya interview leo kisa vyeti nilipoteza tena kwa kuungulia ndani.
Hapa N.I.T ningetembea na bastora halika ningeua mtu leo
Nini maama ya kuweka matokea sasa online na vyeti pia kama serikali haiamini kwenye online results and certificates.
Bongo kiukweli ni nchi ya ovyo ovyoTanzania ni nchi ya ajabu sana. Umeaply umechaguliwa eti siku ya interview unawaeleza umepoteza original lakini ipo kwenye mchakato lakini bado hawakuruhusu kufanya intetview as if serikali haiamni katika kupoteza
Kila kitu kipo kwenye system lakini unaonekana kama hujasoma.
Tuungane kuitoa ccm madarakani.
Nimekasirika sana kutofanya interview leo kisa vyeti nilipoteza tena kwa kuungulia ndani.
Hapa N.I.T ningetembea na bastora halika ningeua mtu leo
Nini maama ya kuweka matokea sasa online na vyeti pia kama serikali haiamini kwenye online results and certificates.
Nchi nyingine Wanaruhusu?Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Umeaply umechaguliwa eti siku ya interview unawaeleza umepoteza original lakini ipo kwenye mchakato lakini bado hawakuruhusu kufanya intetview as if serikali haiamni katika kupoteza
Kila kitu kipo kwenye system lakini unaonekana kama hujasoma.
Tuungane kuitoa ccm madarakani.
Nimekasirika sana kutofanya interview leo kisa vyeti nilipoteza tena kwa kuungulia ndani.
Hapa N.I.T ningetembea na bastora halika ningeua mtu leo
Nini maama ya kuweka matokea sasa online na vyeti pia kama serikali haiamini kwenye online results and certificates.
Aisee,hii nchi ya hovyo sana sanaPolisi loss report na jeshi la zima moto report lakini wamekataa
Hakuna chi ya kijinga kama hii. Nchi zingine ukiingiza details zako tu kwenye computer kila kitu kinasoma na unaruhusiwa fastaNchi nyingine Wanaruhusu?
. Duh, hapo ni tatizo kubwa sana....Polisi loss report na jeshi la zima moto report lakini wamekataa
Nchi ipi nyinginr umeishi, Tz ni ya ajabu. Kwanza we km si mlevi ni mzembe hustahili kuajiriwa.Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Umeaply umechaguliwa eti siku ya interview unawaeleza umepoteza original lakini ipo kwenye mchakato lakini bado hawakuruhusu kufanya intetview as if serikali haiamni katika kupoteza
Kila kitu kipo kwenye system lakini unaonekana kama hujasoma.
Tuungane kuitoa CCM madarakani.
Nimekasirika sana kutofanya interview leo kisa vyeti nilipoteza tena kwa kuungulia ndani.
Hapa N.I.T ningetembea na bastola hakika ningeua mtu leo
Nini maana ya kuweka matokea sasa online na vyeti pia kama serikali haiamini kwenye online results and certificates.
Nchi zingine wameshatoka huko kutembea na mavyeti. Ni system tu ukiingiza reg no yako kila kitu kina retrieve. Ni tanzania tu bado tu wajinga miaka 60 ya uhuruNchi ipi nyinginr umeishi, Tz ni ya ajabu. Kwanza we km si mlevi ni mzembe hustahili kuajiriwa.