Serikali hii si haki! Eti kwa sababu mtu kapoteza vyeti basi hana haki ya interview

Serikali hii si haki! Eti kwa sababu mtu kapoteza vyeti basi hana haki ya interview

Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Umeaply umechaguliwa eti siku ya interview unawaeleza umepoteza original lakini ipo kwenye mchakato lakini bado hawakuruhusu kufanya intetview as if serikali haiamni katika kupoteza

Kila kitu kipo kwenye system lakini unaonekana kama hujasoma.

Tuungane kuitoa CCM madarakani.

Nimekasirika sana kutofanya interview leo kisa vyeti nilipoteza tena kwa kuungulia ndani.

Nini maana ya kuweka matokea sasa online na vyeti pia kama serikali haiamini kwenye online results and certificates.
Duh, pole mkuu.
Ungeenda na "certified copies" kutoka Baraza la mitihani na chuo ulichosoma, labda wangekubali
 
Utaratibu upo kwenye mchakato na hawatoi mbadla hapo happ na mimi nimepoteza juzi tu
Madhara ya uongozi mbovu humpata kila mtu kwa wakati wake. Ndiyo maana tunaambia kuwa hata kama huna tatizo, unaposikia mtu kanyimwa haki yake piga kelele. Unaposikia maandamano kama una nafasi jitokeze. Unaposikia uchaguzi, jitokekeze na ulinde kura.
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Umeaply umechaguliwa eti siku ya interview unawaeleza umepoteza original lakini ipo kwenye mchakato lakini bado hawakuruhusu kufanya intetview as if serikali haiamni katika kupoteza

Kila kitu kipo kwenye system lakini unaonekana kama hujasoma.

Tuungane kuitoa CCM madarakani.

Nimekasirika sana kutofanya interview leo kisa vyeti nilipoteza tena kwa kuungulia ndani.

Nini maana ya kuweka matokea sasa online na vyeti pia kama serikali haiamini kwenye online results and certificates.


Pole sana mkuu.

Hiyo ni mbinu mojawapo ya kufikia idadi inayotakiwa, ndiyo maana kwenye tangazo lao wameandika uende na vyeti original tu na si vinginevyo.

Wanaohitaji hizo nafasi ni wengi sana kuliko nafasi zilizotolewa kwa hiyo ni lazima wawe makini kuhakikisha vigezo vyote vinazingatiwa likiwemo hilo la kwenda na vyeti original.

Kajipange tena mkuu, fuatilia vyeti vyako ili pengine upate copy toka mamlaka husika ili ujaribu tena wakati ujao.

Kila la kheri.
 
Pole sana mkuu.

Hiyo ni mbinu mojawapo ya kufikia idadi inayotakiwa, ndiyo maana kwenye tangazo lao wameandika uende na vyeti original tu na si vinginevyo.

Wanaohitaji hizo nafasi ni wengi sana kuliko nafasi zilizotolewa kwa hiyo ni lazima wawe makini kuhakikisha vigezo vyote vinazingatiwa likiwemo hilo la kwenda na vyeti original.

Kajipange tena mkuu, fuatilia vyeti vyako ili pengine upate copy toka mamlaka husika ili ujaribu tena wakati ujao.

Kila la kheri.
Sasa ni kinyume na haki za binadamu. Au ccm wako juu ya sheria. Mi naenda ku appeal
 
Hakuna chi ya kijinga kama hii. Nchi zingine ukiingiza details zako tu kwenye computer kila kitu kinasoma na unaruhusiwa fasta
Huu uongo wa kibwege na kijinga sana

If requirements ni original documents, you must submit them

Tuache hizo
 
Huu uongo wa kibwege na kijinga sana

If requirements ni original documents, you must submit them

Tuache hizo
If you have lost them means you have not gone to school. Hizi akili za mtu asiyejitambua. Kumbuka hii ni serikali na inawajibu wa kulind haki na sheria za raia
 
If you have lost them means you have not gone to school. Hizi akili za mtu asiyejitambua. Kumbuka hii ni serikali na inawajibu wa kulind haki na sheria za raia
Ukipoteza

Unatoa taarifa na unapata vingine

I have gone through that na Nilikua nje ya nchi

Ilibidi nipate replacement ya certificates zote ndio Mengine yaendelee
 
Ukipoteza

Unatoa taarifa na unapata vingine

I have gone through that na Nilikua nje ya nchi

Ilibidi nipate replacement ya certificates zote ndio Mengine yaendelee
Nimetoa taarifa sijapata vingine. Sasa hapo koda ni la nani
 
Pole sana Braza...pia wanaoweka sheria ndio Hawatumii akili sio hao uliowakuta Mlangoni.
Hao wamewekwa tu na wamepewa muongozo hawana maamuzi yoyote
Akiingia bila cheti nini kitaonesha kuwa hakuwa nacho? Yaani tofauti yake na aliyeingia na cheti itaonekana wapi? Maana hata mwenye cheti si atarudi nacho kwake?? Hao wa mlangoni hawana akili nao, sio kila amri au maagizo ni ya kufuata.. fuata maagizo halali tu yenye mantiki
 
Back
Top Bottom