Usishangae pia hiyo miradi ikatumika kama chambo cha kusogeza mbele muda wa kubakia madarakani.Teyari Wachina wameshaanza kuzengezengea- ukiona ndege aina ya tai akizunguka angani sehemu fulani ujue chini kuna mnyama anakaribia kuwa mzoga,
Tatizo IQ yako kuna sehemu ina leakage, ndiyo maana unakurupuka kurohoja badala ya kutumia akili unatumia ugali kwenye hoja zinazo hitaji kutumia akili.Wewe na nyumbxxxxx wenzio wa CDM furaha yenu si miradi isipokamilika, tulia acha serikali ifanye kazi yake nyie endeleeni na kazi zenu za “uchawi “ wakati bado vijana.
Kwa sasa ukitaka banda la kufanyia biashara pale Kariakoo wala huitaji kupitia kwa dalali maana mabanda yapo mengi sana mara baada ya kufungwa na wamiliki wake baada ya kushindwa kuendelea na biashara husika.Serikali hii imeshaharibu kila sekta, hakuna hata sehemu moja ambayo imesalimika na bado ipo kwenye spidi ya 4G kuharibu zaidi.
Tatizo baya zaidi ni viongozi wanaona ufahari wa kukusanya mapato kwa nguvu na utapeli kwa wananchi/wafanyabiashara/wawekezaji na sasa mpaka kwa wakulima.
Fikra zao ni finyu kama mbegu ya karanga, hawajiulizi serikali itakwenda mpaka lini kwa huu mwenendo wao???
Bado kuna mapunguwani na majuha yanakaa kwenye ofisi zenye kiyoyozi na kupokea mshahara na marupurupu kibao, yanasimama na kutoa maelekezo "KILA MWEZI TRA WAKUSANYE TRILLIONI MBILI". Kwa hali na mazingira gani ya kibiashara iliopo sasa mpaka kukusanya kiasi hicho cha pesa???
It is stupidity beyond recognition of imagination, at the end only the weak dont get to choose how they die.
Kuna ufahari wa kila kichaa, ambao kichaa peke yake ndio anaouelewa huo ufahari.
Uliona wapi mkate wa boflo ukawa mgumu mbele ya chai?Tulibana sasa tunaanza kuachia, mwishoni mwa utawala wa Awamu ya nne, wachina walizagaa kila kona hadi vijijini, kuzunguka soko la kariakoo kote walikuwa wachina mpaka wakawa wanafanya kazi ya umachinga,awamu ya tano ilipoingia wakadhibiti hali hii.wahamiaji haramu wa kichina walidhibitiwa na kupewa masharti na wengi walirudi kwao. Sasa tena wanaanza kutaka kurudi, simu hizo siyo bureeee, TUMEBANA SASA TUNAACHIA.
Haijawahi kutokeaMasikini atakuwa vipi jeuri kwa tajiri
Masikini mama Tanzania!![emoji23][emoji23][emoji23]Tanzania Ni Kama mwanamke mwenye njaa , asiye na tumaini, aliye mbele ya mwanaume mwenye million ya kuchezea ndani ya mfuko wa shati.
Ukiambiwa vua kakijivazi, unakataaje Sasa? thanks
Watasifiwa saa ngapi?Sasa mtu anapita karibu na Ziwa, anasema mimi nafikiri tujenge daraja hapa ziwani anaagiza palepale mchakato uanze na pes zitengwe bila kuangalia kwanza pririty ni nini.
Shilingi bilion 700 za ujenzi wa daraja la Busisi zingeingia kwenye barabara au hata Stieglers zingefanya kitu kikubwa zaidi.
Kule Busisi wananchi walikuwa wanahitaji vivuko vizuri tu kwa sasa kwanza
Wewe unatakaje?Mkuu, kwani serikali imepewa masharti gani mpaka sasa? Au unapiga ramli na kuombea hiyo miradi isikamilike ili ufurahi?!
Hana hiyo jeuri kwenye sheria za kimataifa,maana huo ubabe ushamuumiza kwa yule mkulimaMagufuli hana rafiki; kwa hiyo hashindwi kabisa kuwakatalia wachina papo kwa papo wakielta masharti asiyokubaliana nayo.
Kwisha habariTatizo la kujibaraguza ndiyo hili lazima pumzi ikate tu
Kwani yule mkulima alipata nini? kwanza yule mkulima hakuwa na mkataba chini ya Magufuli, alikuwa anadai mambo yaliyotokea miaka takribani iliyopita na bado hakupata kitu. Yule mwanasheria wa pale Moshi aliyemdanganya kuwa Tanzania imenunua ndege kakamate moja ulipwe hayuko naye tena baada kumwingizia hasara za malipo ya mahakama kule Gauteng na Ontario.Hana hiyo jeuri kwenye sheria za kimataifa,maana huo ubabe ushamuumiza kwa yule mkulima
Wachina si wabaya wakati wanatuhumiwa na Internal Labour Organisation ILO kwa kukiuka sheria za kazi na haki za binadamu katika makampuni yao ya Afrika karibu yote.Leo umeandika uzi maridhawa ingawa najua nia yako ni kuponda. Nadhani haitakuwa hivyo maana Wachina si wabaya, ila utashi wa Viongozi wa Kiafrika ndiyo mbaya na ufisadi. Tofauti kati ya westerners na Wachina ni pale ambapo nchi zao hazikubaliani na ufisadi katika mikopo angalia mfano wa kesi ya Kitilya ambapo lililipukia ulaya na si tanzania. Kwa uchina hawajali
Ila ukiwa na timu ambayo si ya kifisadi katika negotiations, Wachina wazuri tu. Aidha kumbuka sote (tz na China) tuna common enemy ambao ni westerners
Wacha upunguwani,hapa inaongelewa sirikali ya ccmKwani yule mkulima alipata nini? kwanza yule mkulima hakuwa na mkataba chini ya Magufuli, alikuwa anadai mambo yaliyotokea miaka takribani iliyopita na bado hakupata kitu. Yule mwanasheria wa pale Moshi aliyemdanganya kuwa Tanzania imenunua ndege kakamate moja ulipwe hayuko naye tena baada kumwingizia hasara za malipo ya mahakama kule Gauteng na Ontario.
Hujaongea kitu bali umeropoka tu; na hilo ndilo tatizo la watu wengi wa aina yako wanapingana na magufuli, hawaongei kitu cha maana bali huropokaropoka na kulalamika tu. Kuamini kuwa kuna siri ambayo CHADEMA wasingeijua kutokea huko Canada na South Africa ni ukosefu wa akili, kwani maswala hayo hayakuamliwa na mahakama za Tanzania.Wacha upunguwani,hapa inaongelewa sirikali ya ccm
Duuhhh! Ni ukweli kabisa lakini unatisha na unauma sana.Teyari Wachina wameshaanza kuzengezengea ukiona ndege aina ya tai akizunguka angani sehemu fulani ujue chini kuna mnyama anakaribia kuwa mzoga.
Japo sijaona polisi wa kihindi au kiarabu Tanzania lakini nauliza je mchina hawezi kuwa raia wa Zambia na akapatiwa fursa yoyote ile?Hapana, ni hawa Wachina masharti yao pindi wakitaka kukupa msaada huwa ni magumu mnooo, Nchi ya Zambia alipewa msaada ili kulipa ilibidi wachina hadi wakapewa kazi wakawa POIICE, walipewa kazi ya u-police