Serikali hii ya Mpito itafika ukomo ukifanyika uchaguzi 2025

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Huu ndo ukweli hii ni serikali ya Mpito kwakuwa haujafanyika uchaguzi wa kumchagua Rais, Rais aliyekuwepo madarakani alifariki hivyo katiba imempa alikuwa makamo wa Rais awe Rais japo katiba haijasema lakini ni serikali ya Mpito.

Tupo kwenye transition kusubiri uchaguzi baada ya Rais tuliyemchagua kufariki akiwa madarakani.
 
Ndio wahuni mnaotolewa pangoni na mhuni mwenzenu slow eehh.
 
Kujifariji ni jambo jema,unamaanisha mama ataanza kuhesabu mikumi tena kuanzia 2025?
 
Sukuma gang unapata tabu sana...na bado...
 
Mwenyewe Hangaya hataki kabisa kusikia hizo habari za kuwaita wa mpito
 
Umetumwa na wakina Kassimu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ccm Hawataki Serikali Yao Kuitwa Ya Mpito Nzani Hii Ni Kutaka Kuhalalisha Mzanzibari Kusimama Peke Yake Kwenye Kura Ya Maoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…