GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Naona hivi sasa Watanzania (Waswahili) kama kawaida yao wameshahama katika Kuizungumzia Ajali na Mapungufu yake na sasa 97% ya Waswahili (Watanzania) wapo katika Kumzungumzia na Kumzawadia Muokoaji wa Taifa Dogo Majaliwa.
Taifa lenye Watu (Raia) makini kamwe hawawezi Kushadadia na Kufurahia Unafiki wa Kumpongeza na Kumzawadia Mtu (Muokoaji) Pesa na badala yake itajikita zaidi katika kupeana Elimu za Majanga na kujua Kiini cha Tatizo lililotokea na Kukemea kwa Nguvu moja Uzembe wa hali ya juu uliojitokeza.
Serikali yetu inajua mno Kutuhadaa.
Taifa lenye Watu (Raia) makini kamwe hawawezi Kushadadia na Kufurahia Unafiki wa Kumpongeza na Kumzawadia Mtu (Muokoaji) Pesa na badala yake itajikita zaidi katika kupeana Elimu za Majanga na kujua Kiini cha Tatizo lililotokea na Kukemea kwa Nguvu moja Uzembe wa hali ya juu uliojitokeza.
Serikali yetu inajua mno Kutuhadaa.