Serikali iache double standard mitandao ya kijamii kuhusu maudhui ya ngono

Serikali iache double standard mitandao ya kijamii kuhusu maudhui ya ngono

olimpio

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2023
Posts
418
Reaction score
866
Mwezi uliopita (May, 2024) kampuni inayomiliki mtandao wa kijamii X zamani Twitter, wametoa notice kuwa sasa ni rasmi maudhui ya kingono/ponographic contents, maudhui ya mapenzi ya jinsia moja yaan LGBTQ yameruhusiwa na watu wanaweza kuanza kujirekodi na kusambaza kwenye mtandao huo.

Hoja yangu ni hii, Serikali imekuwa ikizuia website zote zinazoonyesha picha, video na maandishi ya kingono na yanayoshabikia mapenzi ya jinsia moja.

Maswali ninayojiuliza ni haya
1. Kwanini Serikali izuie website za ngono wakati twitter maudhui hayo hayo yanapatikana?
2. Leo hii JamiiForums ikiamua kuweka kipengele cha picha za ngono serikali itaiacha?
3. Kwanini Serikali isiachie website zote iwe huru? kuliko kuwa na platforms kama Twitter ambazo zinasambaza maudhui hayo hayo yanayokatazwa? Au platform kubwa zinaogopwa?

Kama wanalinda kizazi kisiharibike nasubiri nione kwa twitter

Angalieni hii link chini kuona notice ya Twitter kuruhusu maudhui ya ngono

Twitter adult content notice

Pia soma>> Watanzania wamefungiwa internet
 
Kuzuia kufikia maudhui hayo, hii ni mojawapo ya njia ya kufanya hivyo. Kwenye simu ya mtu au ya mtoto wake kwa lengo la kuepusha uwezekano wa kutazama mambo machafu.

IMG_20220913_102329.jpg
 
Mwezi uliopita (May, 2024) kampuni inayomiliki mtandao wa kijamii X zamani Twitter, wametoa notice kuwa sasa ni rasmi maudhui ya kingono/ponographic contents, maudhui ya mapenzi ya jinsia moja yaan LGBTQ yameruhusiwa na watu wanaweza kuanza kujirekodi na kusambaza kwenye mtandao huo.

Hoja yangu ni hii, Serikali imekuwa ikizuia website zote zinazoonyesha picha, video na maandishi ya kingono na yanayoshabikia mapenzi ya jinsia moja.

Maswali ninayojiuliza ni haya
1. Kwanini Serikali izuie website za ngono wakati twitter maudhui hayo hayo yanapatikana?
2. Leo hii JamiiForums ikiamua kuweka kipengele cha picha za ngono serikali itaiacha?
3. Kwanini Serikali isiachie website zote iwe huru? kuliko kuwa na platforms kama Twitter ambazo zinasambaza maudhui hayo hayo yanayokatazwa? Au platform kubwa zinaogopwa?

Kama wanalinda kizazi kisiharibike nasubiri nione kwa twitter

Angalieni hii link chini kuona notice ya Twitter kuruhusu maudhui ya ngono

Twitter adult content notice
Serikali inabidi izuie pote na itoe access baada ya mtu kuthibitisha kama kweli ana umri wa zaidi ya miaka 18 kwa kutumia namba ya NIDA.

Hizo nchi zilizoendelea wanazuia hayo masuala ili kulinda watoto na watu wasiokidhi vigezo. Kuna nchi zilizoendelea kununua pombe tu lazima uoneshe kitambulisho ili kuthibitisha umri wako na ni nchi ambazo zina demokrasia ya kweli.

Kuna nchi hizo zilizo endelea ili uweze kubet lazima ujisajili kwa kutumia kitambulisho rasmi kuthibitisha umri. Uingereza kuanzia mwaka 2025 ili kuangalia website za ngono lazima uthibitishe umri kwa kutumia kitambulisho rasmi.

Nashauri Serikali iendelee kuzuia hizo website za ngono, betting na vitu vingine visivyo kuwa vya maadili. Na kwa anayetaka kuangalia au kutumia hizo huduma athibitishe umri wake kwa kutumia namba ya NIDA.

Hiyo pia iendane na ununuaji na uuzaji wa pombe, sigara n.k, ili kuepusha watoto wadogo na athari za hivyo vitu.
 
Uhuru bila mipaka haiwezekani...Mimi nipo Dubai kwa sasa huku vocha tu kwa wageni ni gharama kubwa sana...ili niweze kujiunga na gb 2 ni lazima niweke Salio lenye thamani inayo karibiana sawa na elfu 40 ya kitanzania...!

Huku Whatsapp imezuiwa...mitandao yote yenye maudhui ya kingono ni marufu kabisa.

Vpn unaweza kutumia ila ni kosa kubwa sana ukikamatwa simu Yako ikakutwa na vpn...utakuwa hujui...wenzetu wamekataa hivyo vitu maisha Yana waendea...awachimbi dhahabu ila soko la dhahabu wao ndio wanao panga bei😂😂😂​
 

Attachments

  • VID_21400113_234422_892.mp4
    9.1 MB
Site za ngono zinakusaidia nini wewe kijana wa leo ambae unazungukwa na vita vya umasikini kila kona.
Unapata wapi muda wa kufurahia kutazama watu wakifanya ngono, inakusaidia nini??
 
Back
Top Bottom