Serikali iache kuwaonea wafanyakazi, itafute vyanzo vingine vya mapato

Serikali iache kuwaonea wafanyakazi, itafute vyanzo vingine vya mapato

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Inasikitisha kuona kuwa Serikali inagawana sawa mshahara wa mfanyakazi, Yaani mfanyakazi anachukua nusu na Serikali nusu harafu bado mnatushauri tuisifu Serikali.
PAY SLIP.jpg
 
Mm najuta kuwa kwny hii system ya unyonyaji namna hii wakati serikali hainifanyii chochote cha maaana
 
Inasikitisha kuona kuwa Serikali inagawana sawa mshahara wa mfanyakazi, Yaani mfanyakazi anachukua nusu na Serikali nusu harafu bado mnatushauri tuisifu Serikali.
View attachment 1376512
Mimi nilidhani huwa naona peke yangu huo unyang'anyi wa serikali, maana kuna mijitu inakaa kupiga kelele ooh tuiunge mkono serikali, sijui uzalendo wa kizwazwa, hii serikali ni majambazi na intruders.
 
Yaani wafanyakazi wanapukuchuliwa kamshahara hadi huruma, sa hapo chukulia mwenye basic ya 760.000
 
Inasikitisha kuona kuwa Serikali inagawana sawa mshahara wa mfanyakazi, Yaani mfanyakazi anachukua nusu na Serikali nusu harafu bado mnatushauri tuisifu Serikali.
View attachment 1376512
Hongera mkuu una hata mshahara mkubwa, wengine hiyo PAYE ndio salary, na kuna wengine hiyo HESLB ndio salary. All in ALL you cant be rich by depending on employment
 
Ukisema Wafanyakazi kwani Wafanyabiashara na Wakulima wao wana afadhali?
 
Shukuru Mungu kazi unayo na mshahara unao. Wengine kazi hawana kabisa (msilete habari za kujiajiri) na hawana hata ndugu au hata shemeji wa kujishikiza.

Nikirudi kwenye mada; serikali haina chanzo cha uhakika cha pesa zaidi ya watumishi wa serikali "kitonga". Watumishi (serikali)waongeze ubunifu ili vyanzo viongezeke.
 
Ukisema Wafanyakazi kwani Wafanyabiashara na Wakulima wao wana afadhali?

Mfanyabiashara analipa kodi ya mapato kwa mwaka mzima,mf duka la jumla Tshs 330,000/= wakati mfanyakazi kuna mwingine anakatwa hiyo anayokatwa mfanyabiashara kila mwezi,sasa jiulize kwa mwaka anakatwa hela ngapi ya kodi,mtoa mada kwa asilimia kubwa yupo sawa.
 
Mkuu hiyo ndo African education,inawaandaa watu kuja kuajiriwa,pamoja na makato hayo makubwa bado wasomi wameendelea kutafuta hizo kazi kwa mbinde na hata ikibidi wahonge ili waajiriwe..Muhimu ni kutafuta multiple sources ili kukidhi mahitaji na sio kutegemea salary 100%.
 
Back
Top Bottom