Serikali iache kuwaonea wafanyakazi, itafute vyanzo vingine vya mapato

Serikali iache kuwaonea wafanyakazi, itafute vyanzo vingine vya mapato

Wafanya biashara wanalipa kodi ndogo sana kuliko waajiriwa
Mfanyabiashara analipa kodi ya mapato kwa mwaka mzima,mf duka la jumla Tshs 330,000/= wakati mfanyakazi kuna mwingine anakatwa hiyo anayokatwa mfanyabiashara kila mwezi,sasa jiulize kwa mwaka anakatwa hela ngapi ya kodi,mtoa mada kwa asilimia kubwa yupo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wafanya biashara wanalipa kodi ndogo sana kuliko waajiriwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu we acha tu,kuna ndugu yng naionaga salary slip yake tena mshahara wake si mkubwa anakatwa Tshs.235,104/= kwa mwezi,yaani hapo hata mfanyabiashara mwenye li-hardware kubwa sidhani kama kwenye kodi ya mapato analipa zaidi ya Tshs 1,000,000 kwa mwaka.

Mfumo wa kodi unawakandamiza sana watumishi wa sekta binafsi na umma ambao wengi wao wanaunga unga mwana sana kuliko wafanyabiashara
 
Mkuu hiyo ndo African education,inawaandaa watu kuja kuajiriwa,pamoja na makato hayo makubwa bado wasomi wameendelea kutafuta hizo kazi kwa mbinde na hata ikibidi wahonge ili waajiriwe..Muhimu ni kutafuta multiple sources ili kukidhi mahitaji na sio kutegemea salary 100%.

Ni kweli mkuu
 
Mkuu we acha tu,kuna ndugu yng naionaga salary slip yake tena mshahara wake si mkubwa anakatwa Tshs.235,104/= kwa mwezi,yaani hapo hata mfanyabiashara mwenye li-hardware kubwa sidhani kama kwenye kodi ya mapato analipa zaidi ya Tshs 1,000,000 kwa mwaka.

Mfumo wa kodi unawakandamiza sana watumishi wa sekta binafsi na umma ambao wengi wao wanaunga unga mwana sana kuliko wafanyabiashara

Yaani Hizi Kodi Ni maumivu kwa wafanyakazi.
 
Hii sio African education!!hii tumerithi kwa wazungu mkuu[emoji56][emoji56][emoji56]inatuambia fikra sahihi huja kwa lugha ya kiingereza!!
Mkuu hiyo ndo African education,inawaandaa watu kuja kuajiriwa,pamoja na makato hayo makubwa bado wasomi wameendelea kutafuta hizo kazi kwa mbinde na hata ikibidi wahonge ili waajiriwe..Muhimu ni kutafuta multiple sources ili kukidhi mahitaji na sio kutegemea salary 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakatwe tu hata 100% maana hawajitambui.

Enzi za mkoloni VYAMA VYA WAFANYAKAZI ndio walipigania UHURU.

Leo hii wafanyakazi na vyama vyao kama KUKU MWENYE MDONDO
 
Mshahara ukishazidi laki nne inakuwa cancer vile makato ni kama kuelekea zaidi ya 50%. Unajuta kupokea mshahara mkubwa vile!
 
Inasikitisha kuona kuwa Serikali inagawana sawa mshahara wa mfanyakazi, Yaani mfanyakazi anachukua nusu na Serikali nusu harafu bado mnatushauri tuisifu Serikali.
View attachment 1376512
Tukitoa PAYE makato mengine yanakuhusu wewe na mengine yanakupa unafuu wa maisha. Loan board ulikopa mwenyewe ukasome. PSSSF ni akiba uzeeni au ukistaafu. Umesahau nyongeza ya 15% au 10% ya basic salary ya mshahara wako wa 2,480,000 ambao serikali inakulipia lakini hauonyeshwi kwenye salary slip! Kama unaona unanyonywa acha kazi ujiajili ndo utagundua huwezi na huna akili ya kujilipa hata robo ya anachokulipa mwajiri! Kalaghabao wewe!
 
Inasikitisha kuona kuwa Serikali inagawana sawa mshahara wa mfanyakazi, Yaani mfanyakazi anachukua nusu na Serikali nusu harafu bado mnatushauri tuisifu Serikali.
View attachment 1376512
Msipende kudanganya watu hapo makato ya kodi ni shs 536,541 tu. Fedha nyingine ni kwa faida ya mtumishi. Wasioelewa HESLB ni fedha aliyopewa mtumishi akiwa mwanafunzi kama asingekopa isingekatwa na wala sio watumishi wote wanaokatwa fedha hiyo. PSPF/NSSF ni akiba ya mtumishi atakapoacha kazi au kustaafu inatunzwa kwa faida yake ya baadae. Na Health Insurance ni fedha ya matibabu huitaji kulipia matibabu yako kutoka mfukoni hiyo ni bima ya matibabu. Halafu anaandika fedha inaenda serikalini bila aibu anasema inachukua nusu kwa nusu sio kweli toa tafsiri iliyosahihi kinachochukuliwa na serikali bila kurudiahwa ni 536,541 tu. TUWE WA KWELI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukitoa PAYE makato mengine yanakuhusu wewe na mengine yanakupa unafuu wa maisha. Loan board ulikopa mwenyewe ukasome. PSSSF ni akiba uzeeni au ukistaafu. Umesahau nyongeza ya 15% au 10% ya basic salary ya mshahara wako wa 2,480,000 ambao serikali inakulipia lakini hauonyeshwi kwenye salary slip! Kama unaona unanyonywa acha kazi ujiajili ndo utagundua huwezi na huna akili ya kujilipa hata robo ya anachokulipa mwajiri! Kalaghabao wewe!
Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya. Suala la wafanyakazi kudai haki siyo Jambo baya. Huwezi mshauri mtu kwamba kuliko adai Hali yake Basi ni Bora aache kazi
 
Msipende kudanganya watu hapo makato ya kodi ni shs 536,541 tu. Fedha nyingine ni kwa faida ya mtumishi. Wasioelewa HESLB ni fedha aliyopewa mtumishi akiwa mwanafunzi kama asingekopa isingekatwa na wala sio watumishi wote wanaokatwa fedha hiyo. PSPF/NSSF ni akiba ya mtumishi atakapoacha kazi au kustaafu inatunzwa kwa faida yake ya baadae. Na Health Insurance ni fedha ya matibabu huitaji kulipia matibabu yako kutoka mfukoni hiyo ni bima ya matibabu. Halafu anaandika fedha inaenda serikalini bila aibu anasema inachukua nusu kwa nusu sio kweli toa tafsiri iliyosahihi kinachochukuliwa na serikali bila kurudiahwa ni 536,541 tu. TUWE WA KWELI

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kumkata mtu laki tano Kama Kodi Ni Jambo la kawaida? HESLB na PAYE Ni vutu ambavyo kwa Serikali inayojali wafanyakazi inaweza kuvipunguza na kukata kidogo kidogo kuliko kukwangua pesa yote ya mfanyakazi
 
Back
Top Bottom