Serikali iache kuwaonea wafanyakazi, itafute vyanzo vingine vya mapato

Halafu unalikuta jitu zima linakata kiuno huku likiimba "wataithoma nambaee...haha watanzania kuwatawala raha sana ndio maana wamefanywa mitaji na Chama mfu.
 
Mtumishi wa umma analipwa mshahara hapo hapo ananyang'anywa kupitia mikodi ya kizurumati, eti PAYE na makato mengine kibao kama bima ya afya na ongezeko la loan board ambalo wala hawakushirikishwa kwenye kuidhinisha, unashtukia tu unakatwa. Afadhali wafanyabiashara wana hata upenyo wa kukwepa hiyo mikodi ya kinyonyaji..lakini inakuwaje ukate kodi kwenye mishahara ya wafanyakazi wakati kila bidhaa na huduma wanayolipia inakatwa VAT!? nchi ngumu sana hii...
 
Muongo achana nae kodi kawaida kakopq mwenyewe hlsb asingekopa anepata 1.6M asingelalamika
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…