ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kuna upungufu mkubwa wa walimu kwenye shule za umma
Nina mdogo wangu anasoma PCB huko Mwanza anasema haijawahi kumwona mwalimu wa Physics na Chemistry shuleni Toka mwezi wa 7
Mfano
Nilifika Wilaya ya Mkuranga shule msingi Koma ina mwalimu mmoja ambaye pia ndo mkuu wa shule.
Shule ya Msingi Kwale ina mwalimu mmoja pia.
Licha ya jitahada za uongozi wa vijiji na Kata kuomba walimu miaka nenda rudi
Kuna mwingine anasoma HGL- hawana walimu wa Geography na English Toka hiyo shule ianzishe advance
Wanasiasa tunakula watoto wenu wanasoma international schools na private schools hili haliwaumizi kichwa
Elimu Bure mnayotamba nayo ni hii ya shule kutokuwa na walimu, hamna maktaba, maabara, michezo.
Sasa hii ni elimu Bure au upuuzi tu
Hivi Kuna haja Gani ya kujenga mashule kama uyoga na hayana walimu,
Watoto wanaenda shule kufanya Nini, kucheza na kurudi nyumbani au kukua tu, hawapati maarifa
Walimu wapo wengi mtaani, hamtaki kuwapa kazi, mnangoja nini
Kama hamkujiandaa kwanini msifunge hizi shule?
Nina mdogo wangu anasoma PCB huko Mwanza anasema haijawahi kumwona mwalimu wa Physics na Chemistry shuleni Toka mwezi wa 7
Mfano
Nilifika Wilaya ya Mkuranga shule msingi Koma ina mwalimu mmoja ambaye pia ndo mkuu wa shule.
Shule ya Msingi Kwale ina mwalimu mmoja pia.
Licha ya jitahada za uongozi wa vijiji na Kata kuomba walimu miaka nenda rudi
Kuna mwingine anasoma HGL- hawana walimu wa Geography na English Toka hiyo shule ianzishe advance
Wanasiasa tunakula watoto wenu wanasoma international schools na private schools hili haliwaumizi kichwa
Elimu Bure mnayotamba nayo ni hii ya shule kutokuwa na walimu, hamna maktaba, maabara, michezo.
Sasa hii ni elimu Bure au upuuzi tu
Hivi Kuna haja Gani ya kujenga mashule kama uyoga na hayana walimu,
Watoto wanaenda shule kufanya Nini, kucheza na kurudi nyumbani au kukua tu, hawapati maarifa
Walimu wapo wengi mtaani, hamtaki kuwapa kazi, mnangoja nini
Kama hamkujiandaa kwanini msifunge hizi shule?