Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Wewe ni mnafiq kama mchawi tu, umesaidika lkn bado unataka wabanwe, hivi kwanini wabongo wengi mna roho za kichawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mke wangu hapiki usiku, serikali iingilie katiNipo kwenye Group moja linaitwa Group la Afya likiwa limeanzishwa na Bwana Mmoja anaitwa Mwanyika. Kwa maelezo yake ni Daktari.
Anaweza kuwa na nia nzuri ya kusaidia watu kwa ushauri na wakati fulani kuwasaidia wasiingie gharama ya kwenda hospital kutokana na ushauri anaoutoa lakini wasiwasi wangu ni kuwa huko mbeleni kunawezekana kuwa na athari flani.
Mimi nipo kwenye group hilo muda mrefu sana nikiwa na namba 3 tofauti tofauti. Kuna wakati jamaa alishawahi hata kuniomba kwa ushauri alionipa nimpoze kidogo nikamtumia tsh 20,000.
Nliona ni sawa amenisadia kwa kweli lakini nmekuja shtuka kuwa sometimes kuna watu hatuendi hosp tunategemea Uaguzi kama huu. Yeye huwa anasema mwambie dalili zako then anasema una malaria, una typhoid au unaweza kuwa na covid 19.
Nashauri magroup kama haya yaandikishwe ili kuwepo mfumo mzuri wa kuhudumia watu distance medicating/treatment. Sisi kwenye group tunashukuru sababu sasa madaktari wanafanya kazi kwa kutumia mtandao ndo mambo ya kisasa.
Inapunguza gharama za kwenda hospitali na foleni pia.
Hivi sijui hata mtihani wako wa darasa la saba uliufanyaje... Kilaza unashindwa elewa kiswahili chepesi kama hicho? JPM mijitu kama hii uanzishe utaratibu iwe inachomwa moto. Inaongeza wingi tu wa watanzania bure.Wewe ni mnafiq kama mchawi tu, umesaidika lkn bado unataka wabanwe, hivi kwanini wabongo wengi mna roho za kichawi
Mlete niongee naye suala hilo.Mimi mke wangu hapiki usiku, serikali iingilie kati
MchukueMlete niongee naye suala hilo.
Ili iweje?Acha unafki