Serikali iangalie kwa umakini haya magroup ambayo yanaanzishwa na Madaktari kutibia watu na kutoza pesa

Mimi mke wangu hapiki usiku, serikali iingilie kati
 
Wewe ni mnafiq kama mchawi tu, umesaidika lkn bado unataka wabanwe, hivi kwanini wabongo wengi mna roho za kichawi
Hivi sijui hata mtihani wako wa darasa la saba uliufanyaje... Kilaza unashindwa elewa kiswahili chepesi kama hicho? JPM mijitu kama hii uanzishe utaratibu iwe inachomwa moto. Inaongeza wingi tu wa watanzania bure.
 
Baada ya kukupa ushaur alikwambia usiende kupima au ujinga wako ndyo ulikufanya usiende kupima ukaamua kulipa 20,000 kuomba ushaur?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…