KERO Serikali iangalieni barabara kuu ya Arusha - Moshi. Vibao vingi vya kudhibiti mwendo na askari wengi wenye "tochi" ni kero

KERO Serikali iangalieni barabara kuu ya Arusha - Moshi. Vibao vingi vya kudhibiti mwendo na askari wengi wenye "tochi" ni kero

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hiyo barabara ina mashimo na viraka kila mahali na mpango wa serikali ni kuongeza double road toka tengeru mpaka momela kama km 8-10

Huko kwingine kuweni makini msiue watalii kwenye mashimo

Mkuu Lukenya watalii awaulizi hayo mabango ya rais yaliyobandikwa kila mahali ni ya nini
Mana badala ya kubandika vivutio mbalimbali tulivyonavyo nchini serikali imekaza kubandika picha za rais.
 
Hiyo barabara ina mashimo na viraka kila mahali na mpango wa serikali ni kuongeza double road toka tengeru mpaka momela kama km 8-10

Huko kwingine kuweni makini msiue watalii kwenye mashimo

Mkuu Lukenya watalii awaulizi hayo mabango ya rais yaliyobandikwa kila mahali ni ya nini
Mana badala ya kubandika vivutio mbalimbali tulivyonavyo nchini serikali imekaza kubandika picha za rais.
Wanauliza sana tu! Na inabidi kuwaelezea Maana wameuliza. Ila wanatushangaa sana kwa mtindo huo. Wanasema kwao haipo hiyo!!
 
Wachaga subirini kwanza tumalize kujenga miradi yenye maana kanda ya ziwa
Yule mshamba walishasaini mkataba na Uhuru Kenyata Kenya waanzie voi hadi holili na Tanzania holili hadi Arusha ila yule mwehu akasema kaskazini mmshaenderea ngoja na wengine Sasa, jinga sana lile na likabila sana! Ben Saa8 Yuko wapi? PhD fake!
 
Hivi nyinyi wachaga ujanja wote mnashindwa kujitengenezea hata hiyo barabara moja?

Niulizeni mfanye nini niwape darsa.
 
Kwamba mkuu wa mkoa arusha na mbunge wake? hivi unajua hiyo barabara inayozungumziwa imepita wilaya ngapi na majimbo mangapi ya uchaguzi?
Hao ndio wawakilishi , haijalishi imepita wapi ila inaangaliwa inaunganisha wapi na wapi.
 
Kuhusu b
Hiyo barabara ina mashimo na viraka kila mahali na mpango wa serikali ni kuongeza double road toka tengeru mpaka momela kama km 8-10

Huko kwingine kuweni makini msiue watalii kwenye mashimo

Mkuu Lukenya watalii awaulizi hayo mabango ya rais yaliyobandikwa kila mahali ni ya nini
Mana badala ya kubandika vivutio mbalimbali tulivyonavyo nchini serikali imekaza kubandika picha za rais.
Kuhusu barabara kuwa na mashimo ni sawa na inakera! Ila ni sehemu ya upotevu wa muda ku slow down sambamba na hizo speed limits na traffic jams,mfano kuanzia Kikatiti unaweza ukatembea nyuma ya lorry linalotembea 20,kph hadi utoboe Tengeru. Ukijaribu tu kuli over take hata kama road is clear unakutana na vazi jeupe na kofia nyeupe mkono juu kama refa ameona faulo uwanjani wkt wa mechi. Sasa Kila mahali tunasimamishwa hadi wageni wanashangaa. Kwa kweli tunapoteza muda mwingi barabarani. Tunaitaka serikali ilitazame hili! Otherwise kuhusu mashimo wageni inabidi wazoee tu maana hata huko chaka kwenyewe hakuna lami.😆😆
 
Yule mshamba walishasaini mkataba na Uhuru Kenyata Kenya waanzie voi hadi holili na Tanzania holili hadi Arusha ila yule mwehu akasema kaskazini mmshaenderea ngoja na wengine Sasa, jinga sana lile na likabila sana! Ben Saa8 Yuko wapi? PhD fake!

Daraja refu kuliko yote A mashariki linaitwa Magufuli linaelekea kukamilika mkoani mwanza. Njoo uone mshamba wewe
 
Barabara hii ya Moshi - Arusha ikifanikiwa kuwa ya njia 4( double roads) itakuwa fahari kubwa sana Kwa nchi yetu. Wageni wetu wataizungumza vizuri nchi yetu huko waendako kwa kuwa na miundombinu mizuri ya barabara + vivutio vya utalii wanavyoviona.
 
Back
Top Bottom