YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Tanzania ina mito mingi tu lakini cha ajabu hatuitumii kwa usafiri kama mito mingi ya nchi za wenzetu zikiwemo jirani zetu Congo ambako watanzania waweza pia wekeza huko kwenye usafiri wa mito bado biashara ipo sana.
Hapa ni boat meli ya mto kongo ya abiria sisi mito yetu inatiririka bure.
Hapa ni boat meli ya mto kongo ya abiria sisi mito yetu inatiririka bure.