Serikali ianzishe “empty home tax”, kuna nyumba hazina watu Kagera na Kilimanjaro

Watu wakiacha kujenga ndo furaha yako? Hatujafikia kuiga hayo, ama kodi hiyo itakuwa ya kibaguzi?
 
Wazo zuri ila jamaaa una ROHO MOJA MBAYA ...[emoji23] [emoji23] NO offence!!
 
Wadanganyika wengi ni hasara kwa Taifa
 
As far as kuna occupants in the premises, I’d doesn’t matter whether they are in a a main house or not.
Hapa Unaongelea plot Sio nyumba.Main house ndio nyumba yenyewe hao wanaoushi kwenye mabanda yawe ya kuku au servant quarter hawahusiki .Nyumba yenyewe Ni hiyo main house.
 
Unaelewa maana ya kodi hio huko Canada?Huko watu wenye Pesa wana nunua majumba lakini hawataki kuyapangisha wala hawayatumii.Sasa huko Kagera ukianzisha hio kodi lengo lake ni kuwaambia wapangishe wawapangishie kina nani sasa?Maana hata wakisema wakodishe hizo nyumba hamna wakodishaji.Jifunze kufikiri
 
Hapa Unaongelea plot Sio nyumba.Main house ndio nyumba yenyewe hao wanaoushi kwenye mabanda yawe ya kuku au servant quarter hawahusiki .Nyumba yenyewe Ni hiyo main house.
Basi tuwaacha ndani
 
Wakodishaji wapo .Mfano una ghorofa kijijini kagera au Kilimanjaro ukisema unalipangisha kwa shilingi elfu Tano kwa mwezi hutapata wapangaji kijijini?
 
Wewe kila siku unakwea kuwa shetani Mkuu!
hata hujui kwanini vancouver wana this kind of Tax. Je sisi tuna mazingira kama hayo?


What is the purpose of the Empty Homes Tax?
The objective of the Empty Homes Tax is to return empty or under utilized properties to use as long-term rental homes for people who live and work in Vancouver.
The initiative was created to help relieve pressure on Vancouver’s rental housing market as the city is in the midst of a severe housing crisis with one of the lowest rental vacancy rates and the highest rental costs in Canada.
The Empty Homes Tax is an important policy initiative for the City of Vancouver given the potential to motivate owners of empty and under-used homes to rent out their properties and create a significant increase in rental housing supply.
 
Wakodishaji wapo .Mfano una ghorofa kijijini kagera au Kilimanjaro ukisema unalipangisha kwa shilingi elfu Tano kwa mwezi hutapata wapangaji kijijini?
Mkuu upangishe kwa elfu,hio ndo marketi price?Umesikia hicho ni choo cha kuogea?Kuna maeneo ambayo nyumba zinapangishika na watu wamezipangisha.Ila kuna maeneo hayaoangishiki.Vile vile nyumba inachukuliwa kuwa ni empy ikiwa haina occupant kabisa kwa mujibu wa official records.Ila kama mwenye nyumba anaishi Dar anakofanyia biashara na anaendaga kijiji na kuikia kwneye nyumba hio basi hio ni occupied unit.Kwa kule kwa wenzetu hawa ni watu wananunua majumba kwa ajili ya kuhifadhi utajiri na hawataki kuyakodisha bali wanayaweka tu na official yanaandikwa empty yaani hayakodishwi.
 
Mawazo ya kishoga haya baada ya kuibiwa basha. Embu sikunyingine leta mada zenye akili
 
Mkuu upangishe kwa elfu,hio ndo marketi price?
Kijijini makert price ya ghorofa ukipangisha kwa elfu Tano kwa mwezi ni fair.Ndio makert price Yake.Hapo waweza pata mwana Kijiji faster wa kupanga
 
Una roho ya kimagufuli na U TISS wako mchwara.
 
Nilijua hata utaomba wazo wasio na vyumba wakapewe hivyo vyumba kwa msaada, ww tena unataka kodi ikatwe iliwasaidia kuje nga
 
Utaahira na umasikini vinakusumbua
 
Unaweza ukawa sahihi lakini ulivyomalizia unaonesha roho ya umasikini.
 


Wewe unayo matatizo, si bure!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…