Serikali ianzishe “empty home tax”, kuna nyumba hazina watu Kagera na Kilimanjaro

Wahaya na wachaga endeleeni kuporomosha vijijini majumba.

Mtoa mada anataka vijiji vyetu vifanane na vyao huko kanda ya Kati na chato!!!
 
Anataka Kodi iongezeke ipelekwe chato kujenga airport
 
Huu uzi wako, umenikumbusha mjinga mmoja hivi wiki iliyopita anani hoji?
Hivi weee................(akitaja jina langu) umejenga jumba kubwa hivi la nini?
Nilikosa cha kumjibu zaidi zaidi, niliagiza tu bia yangu nyingine na yeye nikamuagizia.
Mtu anajenga kwa malengo ya miaka ijayo hata kama hatakuwepo.
 
Kwa mtindo huu utafika mpaka empty bed na empty chair tax. You will tax yourself into poverty.

Further poverty, that is.

Sio kila unachoona Canada ni cha kuiga.
Kwa uandishi huu empty inabidi upigwe empty head tax
 
Hii itasaidia sana watu kuwekeza kwenye vitu vya msingi kama hotel,viwanda n.k
 
Kwani nyumba za kuishi sio vitu vya msingi eti.

Moja kipimo cha maendeleo si ni kuwa na makazi Bora pia au vip
Katika nyanja ya kiuchumi,kitu chochote ambacho uliwekeza fedha na hakikuzalishii na kiko 'idle' ni upotevu wa fedha.Kuwa na jumba kubwa halafu mnaishi wawili ni hasara kwa sababu utalipia bill zingine ambazo hazikujengi.Ni sawa na kuwa na magari kumi ya kifahari yasiyoingiza kipato wakati watumiaji ni wawili tu...hiyo ni hasara.
 
Ha ha ha.. Na hapo ndo mwenyewe mtoa mada amejitahidi kufikiria nje ya box..
 
20,000/= za machinga bado hazijatosha?Subirini hao watoto watakaofyatuliwa waje walipe
 
Unaongelea Nyanja kiuchumi?
Watu wanajenga vijijini Kwa Nyanja za kijamii na malazi.

Unaweza ukawa na uchumi mzr lakini maskini wa kutupwa refer Nigeria
 
Unaongelea Nyanja kiuchumi?
Watu wanajenga vijijini Kwa Nyanja za kijamii na malazi.

Unaweza ukawa na uchumi mzr lakini maskini wa kutupwa refer Nigeria
Nakubaliana nawe ndio maana,ukitekeleza utakuwa umeongeza 'Asset' ambazo hazijiendeshi.
 

Stupid.
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa kutoza kodi nyingi, bado mnataka kuongeza,
Upumbavu mwingine, impact ya hizo kodi kwenye maendeleo ya wananchi hakuna, zaidi ya kwenda kujenga Chato.
Kodi kibao + umaskini juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…