Serikali ianzishe "Maafisa Kodi wa Kata" na TRA ianzishe "mawakala" wa TRA

Serikali ianzishe "Maafisa Kodi wa Kata" na TRA ianzishe "mawakala" wa TRA

Mawakala sio waajiriwa..
Hata wakala wa benki akipewa training anaweza kukusaidia kulipa Kodi bila kwenda tra...
Mbona tunafanya miamala ya Benki na kufungua account bila kwenda bank na bila rushwa??
Unataka wakala wa kwenda kulipia? Mbona kuongeza gharama zisizo na sababu. Namna ya kuwalipa TRA haijawahi kuwa tatizo.
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
Mawazo mazuri,kuongeza outreach to grassroot level
Ifike mahala TRA iwe kama IRS
Kila mtu alipe kodi

Mchakato wa NIDA ukamilike tuanzie hapo,TIN can be synchronized mbeleni
 
Mawazo mazuri,kuongeza outreach to grassroot level
Ifike mahala TRA iwe kama IRS
Kila mtu alipe kodi

Mchakato wa NIDA ukamilike tuanzie hapo,TIN can be synchronized mbeleni


Hewaa...wewe umenielewa kabisa...
Kila mtu alipe Kodi ..Kodi iwe nafuu ..
 
Mwisho wa siku watu watataka kuona na kujua kwamba hicho kinachokusanywa kinaenda kufanya yale yaliyokusudiwa?hapo nyuma wakati wa yule aliyeonekana muovu kuliko wote duniani (kwa mujibu wa watu) jamii ilikuwa na muamko mkubwa na hata somo la kodi lilishawaingia watu kiasi hata mtu alikuwa akitaka kupiga anapiga kwa aibu kwa sababu aliona alichotoa jana leo kimefanya kazi.

Lakini leo watu wanaambiwa walipe kodi kesho inatangazwa watu wameiba B kadhaa nani atakuwa na moyo wa kulipa kodi?mimi naamini wakati ule siyo kwamba watu walishindwa kufanya wanayofanya leo ila hawakufanya because waliona kuna mantiki ya wao kuumia,siyo unaumia then live unaona V8 inayo-cost 500mill iliyonunuliwa kwa kodi yako akakabidhiwa mtu anaeishi kwa kulipwa kupitia kodi yako anaipindua inageuka kopo on the spot.

Ushauri uwe kwamba kwanza serikali itafute wataalamu wa kusaidia kuipa elimu namna bora ya kutumia kodi inayokusanywa na wale wanaoonekana wabadhirifu waadhibiwe kisha ndiyo waje kwa jamii kuitaka hiyo kodi.

NB;sitabishana kisiasa tubishane kwa facts!
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
Ndio maana naichukia serikali kupita maelezo

Serikali ijishauri yenyewe,ifanye kazi zake yenyewe isisaidiwe kwa lolote

We are paying these monkeys too much money to rule over us and still niisaidie kwa lolote lile

FVCK EM!
 
Mwisho wa siku watu watataka kuona na kujua kwamba hicho kinachokusanywa kinaenda kufanya yale yaliyokusudiwa?

Hapo nyuma wakati wa yule aliyeonekana muovu kuliko wote duniani (kwa mujibu wa watu) jamii ilikuwa na muamko mkubwa na hata somo la kodi lilishawaingia watu kiasi hata mtu alikuwa akitaka kupiga anapiga kwa aibu kwa sababu aliona alichotoa jana leo kimefanya kazi lakini leo watu wanaambiwa walipe kodi kesho inatangazwa watu wameiba B kadhaa nani atakuwa na moyo wa kulipa kodi?

Ushauri uwe kwamba kwanza serikali itafute wataalamu wa kusaidia kuipa elimu namna bora ya kutumia kodi inayokusanywa na wale wanaoonekana wabadhirifu waadhibiwe kisha ndiyo waje kwa jamii kuitaka hiyo kodi.

NB;sitabishana kisiasa tubishane kwa facts!
We unakuta guta Ili lifike dukani linapinduka mara kadhaa kisa njia mbovu, huyo afisa tra kata atakuwa na wakati mgumu sana katka utekelezaji wa majukum yake.
 
Wakipewa maelekezo washirikiane ...itawezekana Sana but mostly important mawakala wa kodi ambao wao wanapata commission...wakimsaidia mtu kulipa Kodi zake stahiki bila kwenda tra wala manispaa wakiwepo watasaidia sana...pamoja na kutoa elimu...
I wish mwananchi yeyote asiisaidie serikali/TRA kufanya lolote iwe kwa kua wakala au kutoa taarifa yeyote voluntarily

Serikali ifanye yenyewe kila from A to Z

Kuliko niisaidie serikali ipate mapato kutoka kwa mwanadamu mwenzangu ni heri nimsaidie asitoe hiyo hela imsaidie..

Sipo hapa kuisaidia serikali...heri nimsaidie mwananchi mwenzangu kuliko serikali

Serikali ni genge la majambazi entitled on everything and coercive power to rule over us by force...

FVCK EM
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
Naunga mkono hoja..hoja nzuri sana..na Kama sijakosea hili limeshawahi kuletwa tena hapa jukwaani..ni wakati muafaka Sasa serikali ikafanyia kazi wazo hili la kuwa na mawakala wa Kodi mpaka ngazi ya mtaa au kitongoji..hii itaongeza ukusanyaji wa Kodi kwa kiwango kikubwa sana
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
Chadema na wapuuzi wengine watapinga
 
Tatizo wala sio tra..
Kuna ushuru wa manispaa..
Takataka peke yake wanalipa elfu 40 Kwa mwezi nasikia...
Vitu kama hivyo akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia sana
@The Boss soma kwa umakini comment inayofuata baada ya hii yako.
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
Faida ya kodi ni pamoja na kuongeza bajeti ya ndege toka bilion 37 hadi bilioni 89?
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
Mawakala wa TRA tayari Wapo, na wamesajiliwa kibhalali, na wanaingia kwenye mfumo Wa TRA kabisa, sasa. Nataka TRA wawe na Mawakala wa aina ngapi?
 
Taifa litafute vyanzo vingine vya non tax revenues. Wawapunguzie wananchi tax burden
 
Mawakala wa TRA tayari Wapo, na wamesajiliwa kibhalali, na wanaingia kwenye mfumo Wa TRA kabisa, sasa. Nataka TRA wawe na Mawakala wa aina ngapi?

Wale wanaouza efd machines?
Wapo kila mtaa au ndo uwafate pembeni ya Tra?
Wanamaliza kazi zote au zingine uende tra?
Mawakala wa bank unamaliza nao kila kitu mtaani...hufiki bank
 
Hii haitakuwa na maana yeyote wala haiwezi ondoa tatizo bali ni kuongeza tatizo kwa maana ya kutengeneza na kupanua wigo wa rushwa, maafisa wa kodi wanatakiwa tu kufanya kazi kwa uaminifu na kwa maana ya kukusanya kodi bila kukomoa mfanyabiashara na bila kutengeneza mazingira ya kupewa rushwa.

kama ni kufuatilia na kuhakiki usajili wa VAT na certificate nyingine za kibiashara hili lilikuwepo tangu zamani na halikiwahi kuonekana kama ni tatizo.
tatizo ni pale anapokuja afisa mhusika kwa ambushi na ubabe mwingi na kupenda kukomoa hakuna elimu wala maelekezo zaidi kupigana mafaini kama siyo kufungiana biashara.
 
Yaani mnacho shauri huwa mna exclude Halmashauri, utafikiri Halmashauri siyo sehemu ya Serikali.

Tatizo kubwa la nchi hii, hakuna Muunganiko.

Serikali Kuu na taasisi zake inajipendelea kwenye kila kitu (nadhani isipokuwa Maafisa Tarafa) wanaofanya kazi chini ya DC.

Watumishi unaowasema waote wanaweza kupatikana chini ya Halmashauri.

Halmashauri zinaendeshwa Kama watu hawakwenda shule.

Ziko zig zag, Kwasababu serikali inathamini zaidi watu wanaoifadisha na siyo watu wanaofaidisha jamii.


Yaani wewe Mhasibu unayehudumia watu 3,000 huko TAMISEMI huna maana, ila Mhasibu mwenye elimu kama wewe huko TRA anaishi ulimwengu mwingine kabisa.

Shida kubwa kwa sheria za fedha za nchi hii.

  • Halmashauri zinakaa zinatunga
  • Serikali kuu (Mof) inakaa inatunga sheria
  • Taasisi (TMDA, TBS, TMDA,NEMC, Bodi ya Nyama, Bodi ya KOROSHO, Bodi ya Pamba, Bodi ya Kahawa, Ufuta nk) wanakaa wanatunga sheria.


Hawa wote kila mmoja anakaa anatunga kwa wakati wake, bila kumhusisha mwenzake na TARGET ni mtu MMOJA yule yule. Lazima aumie.

Suluhisho kubwa 2:

- Kuwekwe utaratibu (mmoja) suala lolote linalohusu kukusanya mapato kutoka kwa mtu litokee sehemu moja, ili kuepeuka kukomaa na mtu kwa Kodi 1,000 bila kujia.

- Kuongeza wigo wa Kodi ( hii itapunguza ukubwa wa Kodi, kwa mtu mmoja mmoja).
Kadhia hiyo nilikumbana nayo wakati nabadiri hati ya kiwanja, kila ofisi unayokanyaga wanataka ulipe hela, mpaka unadikia kero, kiwanja kilekile mtu yuleyule iweje kila ofisi ulipe hela yote hiyo., Wakati mwingine ni wizi tuu
 
Back
Top Bottom