Serikali ianzishe "Maafisa Kodi wa Kata" na TRA ianzishe "mawakala" wa TRA

Serikali ianzishe "Maafisa Kodi wa Kata" na TRA ianzishe "mawakala" wa TRA

Hii haitakuwa na maana yeyote wala haiwezi ondoa tatizo bali ni kuongeza tatizo kwa maana ya kutengeneza na kupanua wigo wa rushwa, maafisa wa kodi wanatakiwa tu kufanya kazi kwa uaminifu na kwa maana ya kukusanya kodi bila kukomoa mfanyabiashara na bila kutengeneza mazingira ya kupewa rushwa.

kama ni kufuatilia na kuhakiki usajili wa VAT na certificate nyingine za kibiashara hili lilikuwepo tangu zamani na halikiwahi kuonekana kama ni tatizo.
tatizo ni pale anapokuja afisa mhusika kwa ambushi na ubabe mwingi na kupenda kukomoa hakuna elimu wala maelekezo zaidi kupigana mafaini kama siyo kufungiana biashara.
Kingine kinachokera ni pale unapolipia kila kitu ukaenda TRA kupata huduma wanaaza upya kukudai ulicholipia mwaka jana au miezi 2 iliyolipa usipoonyesha vielelezo/slip kuwa umeishalipa wanakutwanga kodi nyingine, ni wasumbufu kupita kiasi, sijui computer zao hazitunzi kumbukumbu, wanakera mpaka basi.
 
Mwisho wa siku watu watataka kuona na kujua kwamba hicho kinachokusanywa kinaenda kufanya yale yaliyokusudiwa?hapo nyuma wakati wa yule aliyeonekana muovu kuliko wote duniani (kwa mujibu wa watu) jamii ilikuwa na muamko mkubwa na hata somo la kodi lilishawaingia watu kiasi hata mtu alikuwa akitaka kupiga anapiga kwa aibu kwa sababu aliona alichotoa jana leo kimefanya kazi.

Lakini leo watu wanaambiwa walipe kodi kesho inatangazwa watu wameiba B kadhaa nani atakuwa na moyo wa kulipa kodi?mimi naamini wakati ule siyo kwamba watu walishindwa kufanya wanayofanya leo ila hawakufanya because waliona kuna mantiki ya wao kuumia,siyo unaumia then live unaona V8 inayo-cost 500mill iliyonunuliwa kwa kodi yako akakabidhiwa mtu anaeishi kwa kulipwa kupitia kodi yako anaipindua inageuka kopo on the spot.

Ushauri uwe kwamba kwanza serikali itafute wataalamu wa kusaidia kuipa elimu namna bora ya kutumia kodi inayokusanywa na wale wanaoonekana wabadhirifu waadhibiwe kisha ndiyo waje kwa jamii kuitaka hiyo kodi.

NB;sitabishana kisiasa tubishane kwa facts!
Pale kariakoo sijaona bango linalowataka watuhumiwa wa CAG washughulikiwe, make wamekula kodi zetu.
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
Hapo tunazidi kuongeza rundo la walamba asali na Wala rushwa
 
Dah mzigo mmoja kodi 3 bado hujaufikisha dukani
IMG_20230516_042239.jpg
 
Clear
Wale wanaouza efd machines?
Wapo kila mtaa au ndo uwafate pembeni ya Tra?
Wanamaliza kazi zote au zingine uende tra?
Mawakala wa bank unamaliza nao kila kitu mtaani...hufiki bank
Cliaring Agent ni Mawakala wa forodha, tunamakampini zaidi ya 1,000 na kazi yao ni kusaidia wafanya biashara kulipa kodi na kuwaelimisha, kumbuka wanasema chuo cha kodi cha TRA so wanautaalamu wa kodi mazuri tu
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
Watauana
 
Kuuliza si ujinga, hivi forodha ni nini sijawahi kulielewa hili neno, msaada tafadhali
 
Kingine kinachokera ni pale unapolipia kila kitu ukaenda TRA kupata huduma wanaaza upya kukudai ulicholipia mwaka jana au miezi 2 iliyolipa usipoonyesha vielelezo/slip kuwa umeishalipa wanakutwanga kodi nyingine, ni wasumbufu kupita kiasi, sijui computer zao hazitunzi kumbukumbu, wanakera mpaka basi
Kingine kinachokera ni pale unapolipia kila kitu ukaenda TRA kupata huduma wanaaza upya kukudai ulicholipia mwaka jana au miezi 2 iliyolipa usipoonyesha vielelezo/slip kuwa umeishalipa wanakutwanga kodi nyingine, ni wasumbufu kupita kiasi, sijui computer zao hazitunzi kumbukumbu, wanakera mpaka basi.
Shida siyo kwamba computer zimeacha kutunza kumbukumbu tatizo hapa ni kwamba hao wacanyakazi ww TRA na ambao ndo wenye access na hizo computer hawataki kujituma kwa maana ya kutafuta kodi halali kutoka mwenye vyanzo vipya vya mapato hapa kwa sababu wanakufahamu wewe wanataka kurahisi kazi yao ukusanyaji kodi kwamba wakusanye tu ili kufikia lengo ama target ya ukusanyaji waliyopewa.

kwa hiyo wanachokifanya hapa ni ubabaishaji wakifahamu kabisa kwamba pengine wafanyabiashara wanaweza kuwa hawajatunza kumbukumbu za malipo ama wamepoteza kumbukumbu unapokosa unakuwa umenasa kwenye 18 zao kwamba wanakuchapa kodi bila huruma kwa sababu tu huwezi ingia kwenye computer zao na kufungua mfumo ili uone rekodi yako ya malipo uliyofanya siku za nyuma.

kwenye computer zao taarifa zako zote zipo kwenye faili lako bora tu wanayo TIN ama vat registration.namba yako .
 
Ni vema kulipa Kodi kwa maendeleo ya nchi na wananchi wake lakini kwa tabia ya matumizi ya hovyo ya pesa ya umma na ufisadi unao ibuliwa kila mwaka na CAG nakushauri kwepa Kodi utakuja kunishukuru baadaye
 
Shida siyo kwamba computer zimeacha kutunza kumbukumbu tatizo hapa ni kwamba hao wacanyakazi ww TRA na ambao ndo wenye access na hizo computer hawataki kujituma kwa maana ya kutafuta kodi halali kutoka mwenye vyanzo vipya vya mapato hapa kwa sababu wanakufahamu wewe wanataka kurahisi kazi yao ukusanyaji kodi kwamba wakusanye tu ili kufikia lengo ama target ya ukusanyaji waliyopewa.

kwa hiyo wanachokifanya hapa ni ubabaishaji wakifahamu kabisa kwamba pengine wafanyabiashara wanaweza kuwa hawajatunza kumbukumbu za malipo ama wamepoteza kumbukumbu unapokosa unakuwa umenasa kwenye 18 zao kwamba wanakuchapa kodi bila huruma kwa sababu tu huwezi ingia kwenye computer zao na kufungua mfumo ili uone rekodi yako ya malipo uliyofanya siku za nyuma.

kwenye computer zao taarifa zako zote zipo kwenye faili lako bora tu wanayo TIN ama vat registration.namba yako .
Ni wajinga sana, sijui hii tabia itakoma lini.
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
[emoji2956][emoji2956]
 
Wale wanaouza efd machines?
Wapo kila mtaa au ndo uwafate pembeni ya Tra?
Wanamaliza kazi zote au zingine uende tra?
Mawakala wa bank unamaliza nao kila kitu mtaani...hufiki bank
Kwani tatizo kubwa na sugu ni nini?

  • Kodi nyingi na kubwa kwa mtu mmoja
  • Elimu ya Kodi
  • Ugumu katika kulipa Kodi
  • Watumishi wachache TRA au
  • TRA Kukosa wafanyakazi ngazi ya chini?

Kwasababu naona mapendekezo yako, hayatatui tatizo.

Mfano: Kariakoo ni mkoa maalum wa Kikodi kwa TRA maana yake ima huduma zote za TRA zinazojitegemea.

Sasa Kama wao KARIAKOO Wana mgogoro mkubwa na TRA, na wana watumishi wengi wa TRA wanaofanya kazi eneo Hilo PEKEE. Huyo TRA kata mmoja ndio ataweza KUWA MWISHO WA MATATIZO??
 
Yaani mnacho shauri huwa mna exclude Halmashauri, utafikiri Halmashauri siyo sehemu ya Serikali.

Tatizo kubwa la nchi hii, hakuna Muunganiko.

Serikali Kuu na taasisi zake inajipendelea kwenye kila kitu (nadhani isipokuwa Maafisa Tarafa) wanaofanya kazi chini ya DC.

Watumishi unaowasema waote wanaweza kupatikana chini ya Halmashauri.

Halmashauri zinaendeshwa Kama watu hawakwenda shule.

Ziko zig zag, Kwasababu serikali inathamini zaidi watu wanaoifadisha na siyo watu wanaofaidisha jamii.


Yaani wewe Mhasibu unayehudumia watu 3,000 huko TAMISEMI huna maana, ila Mhasibu mwenye elimu kama wewe huko TRA anaishi ulimwengu mwingine kabisa.

Shida kubwa kwa sheria za fedha za nchi hii.

  • Halmashauri zinakaa zinatunga
  • Serikali kuu (Mof) inakaa inatunga sheria
  • Taasisi (TMDA, TBS, TMDA,NEMC, Bodi ya Nyama, Bodi ya KOROSHO, Bodi ya Pamba, Bodi ya Kahawa, Ufuta nk) wanakaa wanatunga sheria.


Hawa wote kila mmoja anakaa anatunga kwa wakati wake, bila kumhusisha mwenzake na TARGET ni mtu MMOJA yule yule. Lazima aumie.

Suluhisho kubwa 2:

- Kuwekwe utaratibu (mmoja) suala lolote linalohusu kukusanya mapato kutoka kwa mtu litokee sehemu moja, ili kuepeuka kukomaa na mtu kwa Kodi 1,000 bila kujia.

- Kuongeza wigo wa Kodi ( hii itapunguza ukubwa wa Kodi, kwa mtu mmoja mmoja).
Ndio maana tunataka Katiba Mpya.

1. Tanzania ina utitiri wa kodi kwa sababu ina utitiri wa taasisi na mamlaka na kila moja inataka kodi/ushuru/tozo kujiendesha.
Zaidi ya 35% ya taasisi serikali zinafanya kazi zenye kudurufiana (duplication).

2. Muundo wa serikali pia ni tatizo na mzigo mkubwa kwa mlipa kodi. Kwa mfano, kwenye ngazi ya Wilaya una hawa viongozi/mamlaka:-
a. Mkuu wa Wilaya
b. Mkurugenzi wa Halmashauri/Jiji
c. Meya/Mwenyekiti wa Halmashauri
d. Mbunge
Hao wawili wa mwanzo ni wateuliwa wa Rais, wana mamlaka zao, wana bajeti na mafungu yao (separately) - wana watumishi wao, majengo, magari nk

3. Kwa upande wa TRA (Wizara ya Fedha) Viwango vya kodi (tax rates) zaidi ya 40% ni vikubwa na sio rafiki.
Hivyo kusababisha ukwepaji kodi, rushwa nk nk
Waweke Viwango vya kati rafiki na kuongeza elimu ya kodi nk

4. Ubadhirifu na usimamizi mbovu wa fedha za umma - ikiwemo wizi na ufisadi.
Hili nalo, kama #3 hapo juu; linapunguza ari na ulipaji kodi wa hiari - "kwamba si zitaliwa tu"

Katiba mpya itatuwezesha kurudi kwenye drawing board, kupanga upya muundo wa serikali, kuweka uwaazi na uwajibikaji katika namna ambayo matatizo kama haya yatapungua kiasi kikubwa
 
Huu mzozo wa Kodi Kariakoo ni sehemu ndogo Sana ya matatizo ya Kodi nchini.

Matokeo yake kuna wasiolipa Kodi wakiamini ni ujanja. Kuna wanaolipa Kodi zaidi ya kiwango wakikosa elimu husika. Kuna wasiolipa Kodi stahiki pia wakikosa elimu stahiki ya Kodi n.k..

Ushauri wangu Kwa serikali lazima hasa Kwa majiji makubwa kama Dar na mengine akawepo "afisa Kodi WA kata".. huyu kazi yake kubwa kuelimisha mwananchi Umuhimu WA Kodi na why alipe Kodi na Kodi stahiki Kwa Aina ya kipato chake ni ipi......akiwepo afisa Kodi WA kata atasaidia pia kuishauri serikali Kodi kero za kufutwa ....huyu afisa Kodi atahusika na Kodi zote .ziwe za TRA, za manisapaa... ushuru, tozo... kazi yake ni kuishauri serikali kupanga viwango husika na kutoa elimu Kwa mwananchi...

Kingine TRA sasa wawe na mawakala wa TRA... kazi Yao ni kuisaidia tra makusanyo Kwa ukaribu... mawakala since itawalipa hiyo kazi Kwa commission wanaweza kuwa Wengi mitaani... TRA ikawa train na kuwapa miiko ya kazi ...na wakawa wanafanya kazi chini ya afisa Kodi WA kata... cha muhimu ni system nzuri itakayokuwa transparent na itasaidia sana kuepusha migogoro na watu kukwepa kodi....

Mwisho kila Mtanzania sasa alipwe tax returns na aelimishwe faida za Kodi Kwa Taifa ...hii pia itasaidia sana watu kutokukwepa Kodi ..
Matatizo ni mengi mno nchi mzima ccm watolewe kwanguvu waje watu wengine hawa ndio chanzo cha matatizo yote. Hata ufanyeje nikazi bure.
 
Ndio maana tunataka Katiba Mpya.

1. Tanzania ina utitiri wa kodi kwa sababu ina utitiri wa taasisi na mamlaka na kila moja inataka kodi/ushuru/tozo kujiendesha.
Zaidi ya 35% ya taasisi serikali zinafanya kazi zenye kudurufiana (duplication).

2. Muundo wa serikali pia ni tatizo na mzigo mkubwa kwa mlipa kodi. Kwa mfano, kwenye ngazi ya Wilaya una hawa viongozi/mamlaka:-
a. Mkuu wa Wilaya
b. Mkurugenzi wa Halmashauri/Jiji
c. Meya/Mwenyekiti wa Halmashauri
d. Mbunge
Hao wawili wa mwanzo ni wateuliwa wa Rais, wana mamlaka zao, wana bajeti na mafungu yao (separately) - wana watumishi wao, majengo, magari nk

3. Kwa upande wa TRA (Wizara ya Fedha) Viwango vya kodi (tax rates) zaidi ya 40% ni vikubwa na sio rafiki.
Hivyo kusababisha ukwepaji kodi, rushwa nk nk
Waweke Viwango vya kati rafiki na kuongeza elimu ya kodi nk

4. Ubadhirifu na usimamizi mbovu wa fedha za umma - ikiwemo wizi na ufisadi.
Hili nalo, kama #3 hapo juu; linapunguza ari na ulipaji kodi wa hiari - "kwamba si zitaliwa tu"

Katiba mpya itatuwezesha kurudi kwenye drawing board, kupanga upya muundo wa serikali, kuweka uwaazi na uwajibikaji katika namna ambayo matatizo kama haya yatapungua kiasi kikubwa
☑️
 
Tatizo la Tanzania walipa kodi ni wachache huku wengi wakifichwa kwenye kivuli cha wanyonge.

Siasa nyingi sana, CCM wakisema watoze kodi, Wapinzani wanasema Wanyonge wanaonewa, na kinyume chake.

Ili nchi iendelee yatakiwa TRA iwe huru, isifungwe na wanasiasa.

Mawakala ni chanzo cha rushwa.

Halamshauri hutoa leseni baada ya kupata Tax Clearance.

Halmashauri zatakiwa ziongeze nguvu ya kuzunguka mitaani kwa kupitia Serikali za Mitaa ili zieze himiza ukataji wa leseni, na ili upewe leseni lazima upite TRA.

Tukiachana Siasa na utetezi wa kipumbavu kodi itakuwa ndogo, vinginevyo tukomea kiendelea tozwa kodi kubwa kwenye huduma ie mawasiliano
 
Back
Top Bottom