Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Mkuu nakulipa na hii, ukipata nyingine nijibu🤣View attachment 1867702
Dhana za Jiwe . Mtafute aliko akupe ukweli wa CovidWimbi la kwanza? Hatukudhibiti kwa maombi?
Angalau hapa akili zimebipuHivi vipimo vya corona vya nchi nzima bado vinapelekwa Dar es Salaam?au kuna maabara zimeongezeka?Na je wanapima watu wangapi kwA siku na positive cases ni ngapi kwA siku?
Huo muongozo wa Wizara ya Afya Tanzania unafuatwa huko mahabusu?Nini?
Kilimanjaro hapafai .....Huku kigoma hawajajua kilichoko Kilimanjaro kuhusu coronavirus. Stay online
Kwa hiyo yupo kila kituo?Kamtafute police station iliyo karibu na wewe.
Hivi kiprotocal waziri wa afya ndiye anatoa amri za kiserikali? Siyo waziri mkuu kwa maagizo ya raisi? Nilidhani yeye anaripoti mamlaka husika halafu hiyo mamlaka ndiyo inatoa makatazo!!!!!Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Tanzania amenukuliwa akisema
“Misiba yote ibada isizidi dakika 30 mpaka saa 1 na wahudhuriaji wawe wachache, hatujazuia kukaa misibani lakini mzingatie taratibu ikiwemo uvaaji Barakoa, unawaji mikono na kukaa umbali wa mita moja”
Kwani kuna mahali umezuiwa kumtanguliza Mungu?approach ya kumtanguliza mungu ilitufanya tuidhibiti kirahisi covid kwa mwaka na nusu, tangu tuitangulize science sasa corona inatudhibiti kisawa sawa, yanayoendelea sasa naamini mungu anatuonesha ukuu wake.
Wangeanza na nyomi la lake tanganyika kama wako serious....Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Tanzania amenukuliwa akisema
“Misiba yote ibada isizidi dakika 30 mpaka saa 1 na wahudhuriaji wawe wachache, hatujazuia kukaa misibani lakini mzingatie taratibu ikiwemo uvaaji Barakoa, unawaji mikono na kukaa umbali wa mita moja”
approach ya kumtanguliza mungu ilitufanya tuidhibiti kirahisi covid kwa mwaka na nusu, tangu tuitangulize science sasa corona inatudhibiti kisawa sawa, yanayoendelea sasa naamini mungu anatuonesha ukuu wake.
Mazishi hayafuriki kama masoko yetu au shule zetu mjue na hamjasema lolote kuhusu masoko na shule!Prof. Abel Makubi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Tanzania amenukuliwa akisema
“Misiba yote ibada isizidi dakika 30 mpaka saa 1 na wahudhuriaji wawe wachache, hatujazuia kukaa misibani lakini mzingatie taratibu ikiwemo uvaaji Barakoa, unawaji mikono na kukaa umbali wa mita moja”
Kuna watu huko Kigoma wamerundikana tangu asubuhi
Swali?Kukaa umbali wa mita moja”