Serikali ichukue hatua dhidi ya viongozi wa Serikali waliochukua viwanja Chato ili wavijenge, baada ya Magufuli kufariki, wamevitelekeza

Mitanzania mijinga sana lile liserikali la mwendakuzimu lilikuwa liserikali fake linapika data za uongo na nyie mliliamini.
Kweli wtz wanaujinga mwingi sana.Hivi mwenye akili timamu anaweza kukubali huu utawala wa kizimkazi unamanufaa?ni kichaa tu na mwendawazimu anayeweza kusema ni mzuri.watu wanapotezwa Kila siku,rushwa imetamalaki na bidhaa zote kimepanda mara elfumoja zaidi na haijawahi kutokea Toka tupate uhuru.
 
Lucas MWASHAMBWA Hebel ni tatizo kubwa na wapotoshaji...njaa MBAYA Sana. Unakuwa mmbea badala ya MSOMI.
 
Serikali iingilie kati??? Vipi uwanja wa ndege!!!!!!
 
Tupo bize na Kisimkazi hivi Sasa kwanza! Tunafumua mahoteli huku ndiko fursa zimehamia
 
Chawa mwenzio hajakubali matokeo, ubao unasoma 3 bila.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…