DOKEZO Serikali ichukue hatua haraka, miili inaokotwa mara kwa mara Pori la Vijibweni-Kigamboni, pia kuna matukio ya ubakaji

DOKEZO Serikali ichukue hatua haraka, miili inaokotwa mara kwa mara Pori la Vijibweni-Kigamboni, pia kuna matukio ya ubakaji

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Sisi Wananchi wa Kata ya vijibweni, Mtaa ya Kibene na nyingine zilizopo jirani na maeneo hayo (Dar es Salaam), kumekuwepo na matukio ya kuogofya na yanayotokea mfululizo ikiwemo kuokotwa kwa miili ya watu.

Siku za hivi karibuni miili zaidi ya mitatu imekutwa kwenye eneo hilo kwa nyakati tofauti jambo ambalo linatufanya tuwe na hofu muda wote kuhusu maisha yetu.

Eneo hilo kwa sasa kumekuwa na matukio pia ya ubakaji na uporaji ambayo yanaacha majeraha na makovu kwa baadhi ya waathirika.

Tetesi zilizopo ni kuwa eneo hilo ni mali ya Shirika la Taifa la Hifadhi za Jamii (NSSF) japokuwa hakuna uhakika wa hilo kwa kuwa hakuna wamiliki au mmiliki ambaye amejitokeza kuweka wazi juu ya umiliki na taarifa zilizopo ni kuwa hakuna Mwananchi anayeruhusiwa kuliendeleza kwa namna yoyote.

Hali hiyo imesababisha Wanafunzi kuwa katika mazingira ya hatari wakati wakitumia barabara iliyopo katikati ya msitu huo kwenda na kurudi kutoka shuleni.

Moja kati ya matukio ambayo nimeshashuhudia ni baadhi ya Wanafunzi kuporwa vitu vyao ikiwemo mabegi ya shule na wakati mwingine kutakiwa kutoa pesa walizonazo hata kama ni kidogo.

Kinachotusikitisha zaidi ni kuwa licha ya kutoa taarifa Polisi tunapokuta miili katika pori hilo, Jeshi la Polisi limekuwa likifika, linachukua miili na kuondoka naye bila kuweka wazi kinachoendelea, hawatuambii chochote sisi Wananchi tunaotoa taarifa kwao na tunaoishi maeneo hayo.
photo_2024-06-22_20-15-42.jpg

photo_2024-06-22_20-15-41.jpg

Wananchi wakishuhudia mwili uliotupwa katika Pori hilo.
Natoa wito kwa Serikali, kwanza iwekwe wazi kuwa eneo huli linamilikiwa na nani? Kwanini hawataki tuliendeleze? Uhalifu unaoendelea nini hatma yake? Jeshi la Polisi na Vyombo vyote vya usalama vimeshindwa kudhibiti uhalifu unaendelea?

Kumekuwa na taarifa kuwa miili inayookotwa ni kutoka kwa watu wa maeneo mengine mbali na hapa, inavyoonekana baada ya uhalifu kufanyika imekuwa ikija kutupwa huku.

Tunaomba kilio hiki kisikike na kimfikie hadia Rais Samia Suluhu Hassan ajue kuwa Wananchi wake wanauliwa, wanatateseka na wanaishi kwa hofu.

====== =====
photo_2024-06-22_20-15-42 (2).jpg
Machi 16, 2024, Jeshi la Polisi Kata ya Vijibweni, kupitia Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP), Angelo, Polisi Kata ya Kisiwani, (A/INSP) Mintanga pamoja na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Wilaya ya Kigamboni, (A/INSP) Getruda walifanya walifanya kikao na wananchi wa maeneo hayo kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya uhalifu.
 
Sisi Wananchi wa Kata ya vijibweni, Mtaa ya Kibene na nyingine zilizopo jirani na maeneo hayo (Dar es Salaam), kumekuwepo na matukio ya kuogofya na yanayotokea mfululizo ikiwemo kuokotwa kwa miili ya watu.

Siku za hivi karibuni miili zaidi ya mitatu imekutwa kwenye eneo hilo kwa nyakati tofauti jambo ambalo linatufanya tuwe na hofu muda wote kuhusu maisha yetu.

Eneo hilo kwa sasa kumekuwa na matukio pia ya ubakaji na uporaji ambayo yanaacha majeraha na makovu kwa baadhi ya waathirika.

Tetesi zilizopo ni kuwa eneo hilo ni mali ya Shirika la Taifa la Hifadhi za Jamii (NSSF) japokuwa hakuna uhakika wa hilo kwa kuwa hakuna wamiliki au mmiliki ambaye amejitokeza kuweka wazi juu ya umiliki na taarifa zilizopo ni kuwa hakuna Mwananchi anayeruhusiwa kuliendeleza kwa namna yoyote.

Hali hiyo imesababisha Wanafunzi kuwa katika mazingira ya hatari wakati wakitumia barabara iliyopo katikati ya msitu huo kwenda na kurudi kutoka shuleni.

Moja kati ya matukio ambayo nimeshashuhudia ni baadhi ya Wanafunzi kuporwa vitu vyao ikiwemo mabegi ya shule na wakati mwingine kutakiwa kutoa pesa walizonazo hata kama ni kidogo.

Kinachotusikitisha zaidi ni kuwa licha ya kutoa taarifa Polisi tunapokuta miili katika pori hilo, Jeshi la Polisi limekuwa likifika, linachukua miili na kuondoka naye bila kuweka wazi kinachoendelea, hawatuambii chochote sisi Wananchi tunaotoa taarifa kwao na tunaoishi maeneo hayo.
View attachment 3025655
View attachment 3025656
Wananchi wakishuhudia mwili uliotupwa katika Pori hilo.
Natoa wito kwa Serikali, kwanza iwekwe wazi kuwa eneo huli linamilikiwa na nani? Kwanini hawataki tuliendeleze? Uhalifu unaoendelea nini hatma yake? Jeshi la Polisi na Vyombo vyote vya usalama vimeshindwa kudhibiti uhalifu unaendelea?

Kumekuwa na taarifa kuwa miili inayookotwa ni kutoka kwa watu wa maeneo mengine mbali na hapa, inavyoonekana baada ya uhalifu kufanyika imekuwa ikija kutupwa huku.

Tunaomba kilio hiki kisikike na kimfikie hadia Rais Samia Suluhu Hassan ajue kuwa Wananchi wake wanauliwa, wanatateseka na wanaishi kwa hofu.

====== =====
Machi 16, 2024, Jeshi la Polisi Kata ya Vijibweni, kupitia Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP), Angelo, Polisi Kata ya Kisiwani, (A/INSP) Mintanga pamoja na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Wilaya ya Kigamboni, (A/INSP) Getruda walifanya walifanya kikao na wananchi wa maeneo hayo kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya uhalifu.
Miili hiyo inavyoonekana kwa makadirio ni ya Watu wenye umri gani??
Jinsia zao ni zipi?
 
Watu wa dar mna ogopa iyo bustani si mfyeke .mbona sio pori ata muache kulia lia kila mtu lazima afe
 
Poeni sana ndugu zetu, serikali ya Mama ni sikivu sana ni matumaini yangu muda si mrefu watafika hapo, kisha ufumbuzi utapatikana.
 
Sisi Wananchi wa Kata ya vijibweni, Mtaa ya Kibene na nyingine zilizopo jirani na maeneo hayo (Dar es Salaam), kumekuwepo na matukio ya kuogofya na yanayotokea mfululizo ikiwemo kuokotwa kwa miili ya watu.

Siku za hivi karibuni miili zaidi ya mitatu imekutwa kwenye eneo hilo kwa nyakati tofauti jambo ambalo linatufanya tuwe na hofu muda wote kuhusu maisha yetu.

Eneo hilo kwa sasa kumekuwa na matukio pia ya ubakaji na uporaji ambayo yanaacha majeraha na makovu kwa baadhi ya waathirika.

Tetesi zilizopo ni kuwa eneo hilo ni mali ya Shirika la Taifa la Hifadhi za Jamii (NSSF) japokuwa hakuna uhakika wa hilo kwa kuwa hakuna wamiliki au mmiliki ambaye amejitokeza kuweka wazi juu ya umiliki na taarifa zilizopo ni kuwa hakuna Mwananchi anayeruhusiwa kuliendeleza kwa namna yoyote.

Hali hiyo imesababisha Wanafunzi kuwa katika mazingira ya hatari wakati wakitumia barabara iliyopo katikati ya msitu huo kwenda na kurudi kutoka shuleni.

Moja kati ya matukio ambayo nimeshashuhudia ni baadhi ya Wanafunzi kuporwa vitu vyao ikiwemo mabegi ya shule na wakati mwingine kutakiwa kutoa pesa walizonazo hata kama ni kidogo.

Kinachotusikitisha zaidi ni kuwa licha ya kutoa taarifa Polisi tunapokuta miili katika pori hilo, Jeshi la Polisi limekuwa likifika, linachukua miili na kuondoka naye bila kuweka wazi kinachoendelea, hawatuambii chochote sisi Wananchi tunaotoa taarifa kwao na tunaoishi maeneo hayo.
View attachment 3025655
View attachment 3025656
Wananchi wakishuhudia mwili uliotupwa katika Pori hilo.
Natoa wito kwa Serikali, kwanza iwekwe wazi kuwa eneo huli linamilikiwa na nani? Kwanini hawataki tuliendeleze? Uhalifu unaoendelea nini hatma yake? Jeshi la Polisi na Vyombo vyote vya usalama vimeshindwa kudhibiti uhalifu unaendelea?

Kumekuwa na taarifa kuwa miili inayookotwa ni kutoka kwa watu wa maeneo mengine mbali na hapa, inavyoonekana baada ya uhalifu kufanyika imekuwa ikija kutupwa huku.

Tunaomba kilio hiki kisikike na kimfikie hadia Rais Samia Suluhu Hassan ajue kuwa Wananchi wake wanauliwa, wanatateseka na wanaishi kwa hofu.

====== =====
Machi 16, 2024, Jeshi la Polisi Kata ya Vijibweni, kupitia Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (A/INSP), Angelo, Polisi Kata ya Kisiwani, (A/INSP) Mintanga pamoja na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Wilaya ya Kigamboni, (A/INSP) Getruda walifanya walifanya kikao na wananchi wa maeneo hayo kujadili namna ya kukabiliana na vitendo vya uhalifu.
Shirikianeni na Jeshi. Ile beach ya Jeshi vijana wengi wahuni wamegeuza makaazi yao, maana wakipiga matukio wanazamia mule ndani kama vile na wao wameenda kula maisha.
Sasa hivi nasikia Kigamboni watu hata bodaboda wanapanda kimachale na kama haumjui haushauriwi kupanda, maana utakuta nibwale wahuni kutoka maeneo mengine ya dar, ukipanda wanasepa na wewe kwenda njia wanazozijua halafu wanakuchojoa kila kitu na kwa wanawake wanabakwa pia.
Cha ajabu hawaongei, raia wanachukulia kama vile kulalamika ni kama vile wanatafuta ugomvi na Jeshi.
Wale wahuni hawatumwi na Jesho, wanacheza na akili zenu. Shirikianeni na ile kambi ya Jeshi, mtakuja kunishukuru baadaye.
 
Back
Top Bottom