Serikali ichunguze vikundi vya dini vya wanafunzi shule za Advance

Serikali ichunguze vikundi vya dini vya wanafunzi shule za Advance

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Napata alarm hapa kuwa kuna vijana radical wanazalishwa mashuleni hasa advance.

Hawa vijana wanazalishana wenyewe kwa wenyewe kwa hisani ya watu wazima ambao wako nje ya mfumo.
Usipoziba ufa utajenga kuta.

Miaka 30 iliyopita Nigeria ilikuwa shwari kabisa lakini sasa serikali ya Nigeria imeishiwa pumzi.

Kuna mitume na manabii wengi Nigeria lakini wameshindwa kuiteketeza kwa moto roho ya wanaoua wanadamu wenzao kisa dini.
 
Napata alarm hapa kuwa kuna vijana radical wanazalishwa mashuleni hasa advance.

Hawa vijana wanazalishana wenyewe kwa wenyewe kwa hisani ya watu wazima ambao wako nje ya mfumo.
Usipoziba ufa utajenga kuta.

Miaka 30 iliyopita Nigeria ilikuwa shwari kabisa lakini sasa serikali ya Nigeria imeishiwa pumzi.

Kuna mitume na manabii wengi Nigeria lakini wameshindwa kuiteketeza kwa moto roho ya wanaoua wanadamu wenzao kisa dini.
Toa mifano, taja shule, taja wahusika, na vielelezo ikibidi. JF ni jukwaa kubwa la watu wa kada zote watalifanyia kazi.
 
Toa mifano, taja shule, taja wahusika, na vielelezo ikibidi. JF ni jukwaa kubwa la watu wa kada zote watalifanyia kazi.
Shule zote hasa advance zina vikundi vya dini. Sasa kuna dini moja hiyo huwa haijawahi kuwa na nia njema juu ya wanadamu wenzao. Wanatumia hicho kikundi kujiimarisha hasa kifikra na kielimu akhera
 
Shule zote hasa advance zina vikundi vya dini. Sasa kuna dini moja hiyo huwa haijawahi kuwa na nia njema juu ya wanadamu wenzao. Wanatumia hicho kikundi kujiimarisha hasa kifikra na kielimu akhera
Mm nadhani kabla ya serikali haijaenda huko shuleni unako kusema ,kwanza ingeanza na nyinyi wapumbavu mnao shinda kutwa kuanzisha mijadala ya kashifa za kidini kwenye mitandao ya kijamii.
 
Mm nadhani kabla ya serikali haijaenda huko shuleni unako kusema ,kwanza ingeanza na nyinyi wapumbavu mnao shinda kutwa kuanzisha mijadala ya kashifa za kidini kwenye mitandao ya kijamii.
Jambo hili kama ni kweli lipo,, likichukuliwa kimzaha, litazaa majanga. Tukumbuke, kibiti, Tanga kule mapango ya Amboni, Kidatu, Bukoba, Zanzibar nk. Hawa watu hulishwa sumu kiasi kwamba anaona kuua mtu kama kuku tu. Tusisahau Msumbiji, Congo, west Africa, Nigeria, Mali, Kenya nk ni matokea ya kudharau national security alarm na kuendekeza ushabiki na ujinga wa kidini. Vyombo husika vifuatilie hili kwa ukaribu na umakini.
 
Shule zote hasa advance zina vikundi vya dini. Sasa kuna dini moja hiyo huwa haijawahi kuwa na nia njema juu ya wanadamu wenzao. Wanatumia hicho kikundi kujiimarisha hasa kifikra na kielimu akhera
Acha uongo huo niuchochezi
..Kwahiyo viongoz wako wasasa ndio wanania njema nawewe?
 
Shule zote hasa advance zina vikundi vya dini. Sasa kuna dini moja hiyo huwa haijawahi kuwa na nia njema juu ya wanadamu wenzao. Wanatumia hicho kikundi kujiimarisha hasa kifikra na kielimu akhera
Ni dini gani hiyo ? Unaweza kufunguka zaidi ?
1000014203.jpg
 
Back
Top Bottom