Serikali idhibiti chakula kutoka nje ya nchi

Serikali idhibiti chakula kutoka nje ya nchi

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Waziri wa Kilimo aliangalie sana hili huko mipakani tudhibiti uuazaji wa vyakula kiholela. Juzi nilikuwa Serengeti mahindi debe ni Tzs 20000 from bei ya zamani ilikuwa 12000 kwa hiyo tunakoelekea Wakenya watakuja kutuuzia tena vyakula kama mvua zitachelewa.

Sisemi watu wasiuze lakini kwa kiwango fulani ili baadae mwezi wa Kumi na mpaka Jan watu wasife na njaa.

Nawasilishaa.
 
Ingia shambani ukalime wewe au nunua stock yako weka ndani..

Huku ni kumpangia mkulima aliyelima kwa shida..

Waacheni wakulima wafanye wanavyotaka.. ukiona kuna dalili za njaa nunua stock kubwa na lima wewe mwenyewe..sio kuwapangia wakulima masoko.
 
Kenge haelewi hadi damu imtoke masikioni, acha wakenya wajisombee chakula ili baadaye waje watupige mwingi.
 
Waziri wa Kilimo aliangalie sana hili huko mipakani tudhibiti uuazaji wa vyakula kiholela. Juzi nilikuwa Serengeti mahindi debe ni Tzs 20000 from bei ya zamani ilikuwa 12000 kwa hiyo tunakoelekea Wakenya watakuja kutuuzia tena vyakula kama mvua zitachelewa.

Sisemi watu wasiuze lakini kwa kiwango fulani ili baadae mwezi wa Kumi na mpaka Jan watu wasife na njaa.

Nawasilishaa.
Ili wewe ununue Bei Chee at expenses ya wakulima au?

We have surplus food 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-153106.png
    Screenshot_20220719-153106.png
    90.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-153552.png
    Screenshot_20220719-153552.png
    165.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-153949.png
    Screenshot_20220719-153949.png
    107.4 KB · Views: 5
Kenge haelewi hadi damu imtoke masikioni, acha wakenya wajisombee chakula ili baadaye waje watupige mwingi.
Will never happen kama tuu ambavyo haijawahi tokea..

Tuna surplus ya vyakula hadi tunauzia majirani 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-153402.png
    Screenshot_20220719-153402.png
    122.7 KB · Views: 5
Wewe umelima? au ndo wale madalali na walanguzi wa mazao mnaowaibia wakulima kupitia kubana mizani, lumbesa na kangomba.
Vyovyote, hao wanafanya kazi kwa makubaliano. Ndiyo biashara. Sasa weww unataka kumuibia mtu kalima ili upate ugali wa bei chee.
 
Vyovyote, hao wanafanya kazi kwa makubaliano. Ndiyo biashara. Sasa weww unataka kumuibia mtu kalima ili upate ugali wa bei chee.
Kuna biashara gani hapo zaidi ya uporaji, kwanza umempa mkulima bei ndogo, hapohapo umebana mizani na bado unajaza lumbesa, halafu nyie ndo mnalialia humu linapoongelewa swala la kuthibiti usafirishaji wa mazao kwenda nje mkijifanya wakulima.
 
Kuna biashara gani hapo zaidi ya uporaji, kwanza umempa mkulima bei ndogo, hapohapo umebana mizani na bado unajaza lumbesa, halafu nyie ndo mnalialia humu linapoongelewa swala la kuthibiti usafirishaji wa mazao kwenda nje mkijifanya wakulima.
Biashara makubaliano
 
Waziri wa Kilimo aliangalie sana hili huko mipakani tudhibiti uuazaji wa vyakula kiholela. Juzi nilikuwa Serengeti mahindi debe ni Tzs 20000 from bei ya zamani ilikuwa 12000 kwa hiyo tunakoelekea Wakenya watakuja kutuuzia tena vyakula kama mvua zitachelewa.

Sisemi watu wasiuze lakini kwa kiwango fulani ili baadae mwezi wa Kumi na mpaka Jan watu wasife na njaa.

Nawasilishaa.
Mbona hamzuii Simenti waacheni wakulima wauze watakavyo, mwakani kila mtu aingie shambani
 
Back
Top Bottom