Sasa kwani mie nimepinga nini hapo?Hivi unajua chain of supply (value chain) ?
Kwa taarifa yako mwaka huu bonde letu la kilombero wakulima tumenufaika Sana kuliko miaka miwili ya nyuma . Acheni tupate faida mbona miaka ya nyuma Bei ilivyoshuka wakulima tulipambana wenyewe ? Wenzetu mlibaki kimya kwanini hamkutusemea?
Basi labda mkoa wako tu ila kwa Morogoro especially wilaya ya kilombero wakulima tumenufaika SanaSasa kwani mie nimepinga nini hapo?
Mie si nimeeleza uhalisia wanaonufaika zaidi ni hao watu wa kati hapo
nayaona malori ya kenya yanapishana kuzoa mahindi wakati sado tunauziwa 4500, sema dua la kuku halimpati mwewe.
maisha ni magumu kwa watu wa hali ya chini
Mkuu madalali na walanguzi wa mazao wanaojiita wakulima watakuja sasa hivi kukutolea povu na kukuuliza maswali kama na wewe umelima.....
Ifahamike kuwa mahindi yanaenda kenya ila wakulima hawanufaiki kivile, wanaonufaika ni wafanyabiashara wanaozukuka na magari kununua mahindi kwa bei rahisi na kuyauza ghali.
Kwa tume ipi ya Uchaguzi?Huyu mama asipotumia akili ya kawaida ya binadamu Watanzania kwa mara ya kwanza tutakufa kwa njaa. Tumemsikia Waziri wake Bashe akithibitisha kuwa mipaka haitofungwa kwa biashara ya nafaka hasa mahindi na mchele. Baya zaidi wafanyabiashara toka nchi za jirani wanakwenda hadi vijijini kwa wa kulima kununua mazao. Jambo ambao ni kinyume cha kanuni tulizojiwekea kwa tawala zilizopita. Mama amka Waziri wako kwa hili anafanya makosa yatakayo kugharimu 2025 si mbali.
Watu wa hali ya chini nchi hii ni wakulima, acheni wauze mahindi yao kwa mnunuzi anayewapa bei nzurinayaona malori ya kenya yanapishana kuzoa mahindi wakati sado tunauziwa 4500, sema dua la kuku halimpati mwewe.
maisha ni magumu kwa watu wa hali ya chini
Ndio tunafaidika sanaUnafikiri wakulima wananufaika?
Kila mtu ashinde mechi zake..ni watu gani wanaopangiwa wateja wa kuwauzia bidhaa zao hapa nchni kasoro wakulima pekee?Maisha ni kutegemeana, wote hatuwezi kuwa wakulima, ndio maana unasikia watu wanalalamika bei za mafuta, mazao,vifaa vya ujenzi n.k.
Bidhaa moja ikipanda inaathiri nyingine.
Mkuu madalali na walanguzi wa mazao wanaojiita wakulima watakuja sasa hivi kukutolea povu na kukuuliza maswali kama na wewe umelima.....
Kila soko lina wazalishaji, madalali na wafanyabishara wa kati kisha ndio mnunuzi, kuanzia kwenye madini, nyumba, mashamba, vifaa vya ujenzi, vyakula n.k ndio uchumi ulivyoNa bado Kampala inategemea kulishwa mchele na Kahama,Ifakara na mpanda.
Wakulima kama wangekuwa ndio wauzaji wa moja kwa moja wangenufaika sana na mazao yao bahati mbaya madalali na wafanyabiashara ndio wanufaika wa hali ya sasa.
Bei ya mhindi huko Arusha vijijini haishikiki. Serikali kupitia Waziri wake Bashe ithibiti mahindi kwenda nje
Watu wataumia na ukosefu wa mahindi
Aliyefanya kazi na asile, na asipokula afe-MagufuliMaslai ya watanzania yako kwenye chakula ilo ata serikal inalijua haina haja ya kuwapa ushauri
Mtanzania akikosa msosi utaona uzuri na ubaya wake na ata mapinduzi wanayongelea kla sku wanasiasa yatawezeka sku watanzania wakikosa ugari
Ukimwambia Mtz suala la mafuta, sjui bei za bando wala hawakuelew ila subili mahindi yapande bei uzi km izi zinakua ming sana
Magufuli alisema asiyefanya kazi na asile, na asipokula acha afe, acha wakulima wapate hela waheshimike na waoHuyu mama asipotumia akili ya kawaida ya binadamu Watanzania kwa mara ya kwanza tutakufa kwa njaa. Tumemsikia Waziri wake Bashe akithibitisha kuwa mipaka haitofungwa kwa biashara ya nafaka hasa mahindi na mchele. Baya zaidi wafanyabiashara toka nchi za jirani wanakwenda hadi vijijini kwa wa kulima kununua mazao. Jambo ambao ni kinyume cha kanuni tulizojiwekea kwa tawala zilizopita. Mama amka Waziri wako kwa hili anafanya makosa yatakayo kugharimu 2025 si mbali.
Wavivu ndio watakufa kwa njaa mambo ya kupenda mbeleko kupitia jasho la wakulimaHuyu mama asipotumia akili ya kawaida ya binadamu Watanzania kwa mara ya kwanza tutakufa kwa njaa. Tumemsikia Waziri wake Bashe akithibitisha kuwa mipaka haitofungwa kwa biashara ya nafaka hasa mahindi na mchele. Baya zaidi wafanyabiashara toka nchi za jirani wanakwenda hadi vijijini kwa wa kulima kununua mazao. Jambo ambao ni kinyume cha kanuni tulizojiwekea kwa tawala zilizopita. Mama amka Waziri wako kwa hili anafanya makosa yatakayo kugharimu 2025 si mbali.