Mkuu madalali na walanguzi wa mazao wanaojiita wakulima watakuja sasa hivi kukutolea povu na kukuuliza maswali kama na wewe umelima.....Bei ya mhindi huko Arusha vijijini haishikiki. Serikali kupitia Waziri wake Bashe ithibiti mahindi kwenda nje
Watu wataumia na ukosefu wa mahindi