Serikali iendelee kumsaidia mgonjwa wa ajali ya mwendokasi atakapopata ahueni

Serikali iendelee kumsaidia mgonjwa wa ajali ya mwendokasi atakapopata ahueni

Hamza Nsiha

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2022
Posts
221
Reaction score
197
Ni siku chache tangu hospitali ya Muhimbili Orthopedic Institute (MOI) kutoa habari njema juu ya mgonjwa aliyekuwa amelazwa hospitalini hapo baada ya kupatwa na ajali ya kugongwa na basi la Mwendokasi. Kiukweli ni jambo la kumshukuru Mungu kwa sababu ameendelea kumuweka hai na salama mpaka leo hii kwani ajali ilikuwa ni yenye kuogofya.

Lakini, nilitamani sana mgonjwa huyu_hali yake itakapotengemaa basi serikali yetu pendwa ichukue jukumu la kumpatia support zaidi katika kuhakikisha anaendelea kuishi katika mazingira mazuri kwani.

Pindi atakapopata ahueni bado kuna changamoto nyingi ambazo zitaendelea kumkabili mfano, anaweza pata msongo wa mawazo (Depression) pia tatizo la kumbukumbu ya ajali (Post Traumatic Stress Disorder) n.k. hivyo anahitaji mazingira rafiki ili kumjenga upya kifikra, mawazo na hata mitazamo.

NB: Ni mawazo tu ndugu zangu wa JamiiForums
 
Bima ipo imlipe. Ningependa ajitokeze mwanasheria ajitolee kumsimamia alipwe haki yake kupitia bima.
 
Bima ipo imlipe. Ningependa ajitokeze mwanasheria ajitolee kumsimamia alipwe haki yake kupitia bima.
Bima??kumbe jamaa bima ya afya anayo.
Achana na wanasiasa mkuu
 
Back
Top Bottom