Serikali ifanye mabadiliko haya kwenye katiba yetu (const. Amendments)

Labda mabadiliko yawe asiyechangia asilipwe posho lakini kwa Tanzania ni vigumu kumtofautisha mwenye elimu na asie na elimu tena nakuta profesa mzima anatapika utumbo mpaka unabaki kinywa wazi.
Mbunge awe na Shahada ya pili..chama husika kifanye uteuzi kwa umakini kwa kuhakikisha chama kinapata mgombea sahihi na mwenye uwezo.
 
Master ina maana gn kwa mwenye master kukaa nyumbani kwa kuwa hajui elimu aliyonayo inaweza kutatua changamoto yyt. Zaidi ya kusubiri ajira.
MASTERS Iwe Ni sifa ya mtu kugombea ubunge hii itaounguza dharau kwenye Elimu...watu wanadharau Elimu mpaka wanatupa tabu watoto hawataki shule wanataka kubet
 
Ila diploma ni Elimu ndogo Sana kwa mbunge Yani mtu mwenye dipl. Aanze kupokea salary mil. 12 huko....hamna iwe kuanzia masters nakuendelea mkuu
HIlo sharti ni gumu sana na hauwezi kuwapata labda uwateue kuwa wabunge lkn sio wagombee wenyewe.
 
HIlo sharti ni gumu sana na hauwezi kuwapata labda uwateue kuwa wabunge lkn sio wagombee wenyewe.
Sheria ikitungwa watapatikana tu...hii itaondoa dharau kwenye Elimu, Kuna watu wamepata ubunge lakini wao kila siku ni kuipuuza Elimu kwasabu wanaona wao hawajapitia hustle zozote za kielimu na wanapata maslahi makubwa kuliko wenye elimu, wakikosa sifa ndo watajua kuwa umhm wa Elimu ni zaidi ya wajuavyo
 
Naunga mkono hoja kupunguza wagonga meza, wazee wa ndiyooooo na wale madaktari walioishia la saba.
 
Sio kwa miaka hii, I know a number of people with Masters lakini hawana maajabu.
First degree ni elimu standard kwa mambo mengi lakin kuondoa class 7 bungeni . Ingefaa Kwa elimu ya master iwe kwenye specific vitengo Ila sio kwenye kata. Kwenye Kata hiyo ni elimu kubwa mno tena kubwa mno.
 
Hayo maajabu/siyo maajabu yatachujwa kwenye mchujo wa chama husika. Chamsingi ubunge uanze na Elimu ya masters
Tz hata tuweke kigezo cha PHD kuwa mbunge au Rais atakuwa kama class 7 tuu...tatizo siyo elimu ya kutosha ni hali ya kukosa uzalendo...trust me..
 
Tz hata tuweke kigezo cha PHD kuwa mbunge au Rais atakuwa kama class 7 tuu...tatizo siyo elimu ya kutosha ni hali ya kukosa uzalendo...trust me..
Kuna baadhi ya waheshimiwa, vyeti vya kitaaluma wanaita makaratasi na watoto wetu wanasikia, wakishasikia wanaanza kugomea shule kwa hoja ya kutafuta pesa, mm naona wanadharau Elimu kwasabu hawajapitia hustle zozote za kishule, Elimu ndogo lakini anakula salary zaid ya mwenye PhD anaanza kuona Elimu Ni Kaz bure! kwahyo Katiba yetu ikiweka kiwango Cha Elimu kwa mbunge iwe ni masters nakuendelea hawataidharau Elimu yetu na watawapa ari mpya watoto wetu kusoma.
 
Kwa mfano yule mbunge Kishimba ana mawazo yenye suluhu ya matatizo ila sijui ELIMU yake.
 

Kwa mfano yule mbunge Kishimba ana mawazo yenye suluhu ya matatizo ila sijui ELIMU yake.
chifu mkwawa,kinjekitile Ngwale,ngwanamalundi , walifika level gani ya elimu ,,,,,,,,,,,
 
Wapo wengi sana huko Serikalini, wengine hata kuandika sentensi mbili za kiingereza zilizo sahihi hawawezi, sasa unabaki kujiuliza hiyo Masters au PhD ina msaada gani
Nchi yetu anawasomi wangi saaana ambao siyo visionary leaders , uzalendo ni 0% ,kwa sasa tunawahitaji viongozi wazalendo kwa nchi yao kama Thomas sankara, Ptrick Lumumba , tumwombe Mungu tuwapate watu kama hao watoe nchi hii na kuipeleka mbele kimaendeleo,,,,in all aspects
 
First degree ni elimu standard kwa mambo mengi lakin kuondoa class 7 bungeni ni Jambo Jema angalau mbunge awe na first degree. Ingefaa Kwa elimu ya master iwe kwenye specific vitengo/idara kuanzia level za halmashauri na sio kwenye kata. Kwenye Kata hiyo ni elimu kubwa mno tena kubwa mno. Pia kuwe na mshahara wa master ingefaa mfumo ulipo mwenye master anapata increment mbili tuu tena Kwa shida mno. Wengi hizo increment hawazipati kabisa
 

Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sifa zote hizo ni za nini wakati box la kura haliheshimiwi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…