Serikali ifanye mabadiliko haya kwenye katiba yetu (const. Amendments)

Serikali ifanye mabadiliko haya kwenye katiba yetu (const. Amendments)

First degree ni elimu standard kwa mambo mengi lakin kuondoa class 7 bungeni ni Jambo Jema angalau mbunge awe na first degree. Ingefaa Kwa elimu ya master iwe kwenye specific vitengo/idara kuanzia level za halmashauri na sio kwenye kata. Kwenye Kata hiyo ni elimu kubwa mno tena kubwa mno. Pia kuwe na mshahara wa master ingefaa mfumo ulipo mwenye master anapata increment mbili tuu tena Kwa shida mno. Wengi hizo increment hawazipati kabisa
Sawasawa
 
Mzee umekazania sana suala la mshahara uendane na elimu!

Unasahau kuwa Taasisi zisizo za kiserikali zinafanya vizuri sana, na walioko huko ni hao hao watz wenye elimu mchanganyiko.

Masters sio elimu ya kukazania sana kwakuwa wenye privilege ya kuipata ni wachache na kwa sehemu kubwa, ukiondoa kuwa academician, haina tija kwenye nchi yetu hii masikini inayohitaji WATENDAJI zaidi ya WANYOOSHA vidole.

Raisi awe na PhD sio?
 
Wapo wengi sana huko Serikalini, wengine hata kuandika sentensi mbili za kiingereza zilizo sahihi hawawezi, sasa unabaki kujiuliza hiyo Masters au PhD ina msaada gani
Swala ni mbunge awe na sifa ya Elimu ya masters... imagine mtu ana diploma lakini anakula mshahara mkubwa zaidi hata ya lecturer
 
Mzee umekazania sana suala la mshahara uendane na elimu!

Unasahau kuwa Taasisi zisizo za kiserikali zinafanya vizuri sana, na walioko huko ni hao hao watz wenye elimu mchanganyiko.

Masters sio elimu ya kukazania sana kwakuwa wenye privilege ya kuipata ni wachache na kwa sehemu kubwa, ukiondoa kuwa academician, haina tija kwenye nchi yetu hii masikini inayohitaji WATENDAJI zaidi ya WANYOOSHA vidole.

Raisi awe na PhD sio?
Napenda pia Mambo yakitaifa yajadiliwe na watu ambao wamefanya tafti mbalimbali kwa maendeleo ya Taifa letu...kwahyo masters iwe sifa ya chini ya mtu kuwa mbunge
 
Nchi yetu anawasomi wangi saaana ambao siyo visionary leaders , uzalendo ni 0% ,kwa sasa tunawahitaji viongozi wazalendo kwa nchi yao kama Thomas sankara, Ptrick Lumumba , tumwombe Mungu tuwapate watu kama hao watoe nchi hii na kuipeleka mbele kimaendeleo,,,,in all aspects
Hao wote uliowataja mkuu Wana masters degree....ndo maana nashauri kuanzia mwaka 2025 sifa ya mbunge iwe ni masters degree
 
Napenda pia Mambo yakitaifa yajadiliwe na watu ambao wamefanya tafti mbalimbali kwa maendeleo ya Taifa letu...kwahyo masters iwe sifa ya chini ya mtu kuwa mbunge
Nadhani mpaka sasa wasomi wa TZ ndio failures wakubwa kupata kutokea kwenye uso wa dunia ujue.

Ukidhani masters zitasaidia, unakosea sana! Hizo first degree zenyewe tu zimetushinda kuzitumia mzee!
 
Nadhani mpaka sasa wasomi wa TZ ndio failures wakubwa kupata kutokea kwenye uso wa dunia ujue.

Ukidhani masters zitasaidia, unakosea sana! Hizo first degree zenyewe tu zimetushinda kuzitumia mzee!
Hao unao wadharau wamesoma hapahaoa Tz Ila Sasa Ni flying lecturers wanazunguka Dunia nzima, Kenya hapo Kuna watanzania wanafundsha chuo kikuu Cha Nairobi, na makelele pia..
Dharau yote hyo imeanzia kwa baadhi ya wabunge wanaita vyeti Ni makaratasi kweli? Wanadharau kwasabu wanaona hawana Elimu kubwa na wanamaisha mazuri kuliko waliosoma
 
Hao unao wadharau wamesoma hapahaoa Tz Ila Sasa Ni flying lecturers wanazunguka Dunia nzima, Kenya hapo Kuna watanzania wanafundsha chuo kikuu Cha Nairobi, na makelele pia..
Dharau yote hyo imeanzia kwa baadhi ya wabunge wanaita vyeti Ni makaratasi kweli? Wanadharau kwasabu wanaona hawana Elimu kubwa na wanamaisha mazuri kuliko waliosoma
Minority.
Majority ni failures, hii nchi haijafikishwa hapa na darasa la saba!
 
Mapendekezo mahususi kwa nchi yetu Tanzania

1. 2025 Ili mtu agombee ubunge awe na Elimu ya Shahada ya Pili (masters degree)kwenye ubobezi wwte ule.

2. Wakuu wa idara wote kuanzia Kata sifa iwe Shahada ya Pili kwenye field husika.

3. Shahada ya Pili (Masters) iwe na mshahara wake syo Kama Sasa Shahada ya Pili haina mshahara.

4. Narudia tena ili mbunge agombee ubunge shart awe na masters degree full stop!
Tatizo nyie mnajisea hapa ila watungasheria ni darasa la saba! Unategemea Nani atajinyonga! Badala ya kuhakikisha kuwa kuna sheria ambayo yoyote atakayepitisha katiba Mpya asigombee nafasi yoyote hata urais kwa muda wa miaka 20 ili kuondoa uwezekano wa mtu kutetea maslahi yake katika katiba Mpya!
 
Tatizo nyie mnajisea hapa ila watungasheria ni darasa la saba! Unategemea Nani atajinyonga! Badala ya kuhakikisha kuwa kuna sheria ambayo yoyote atakayepitisha katiba Mpya asigombee nafasi yoyote hata urais kwa muda wa miaka 20 ili kuondoa uwezekano wa mtu kutetea maslahi yake katika katiba Mpya!
Hata mm naunga mkono hoja mtu mwenye Elimu kubwa ndo atunge sheria
 
Ni sawa, lakini si kivile kwa sababu
Mapendekezo mahususi kwa nchi yetu Tanzania

1. 2025 Ili mtu agombee ubunge awe na Elimu ya Shahada ya Pili (masters degree)kwenye ubobezi wwte ule.
Master degree is too much..

Ni muhimu na vyema kila kiongozi wa kuchaguliwa kuanzia diwani awe amemaliza kidato cha sita na na kupata ujuzi fulani wa kuanzia kiwango cha stashahada (diploma) katika professional field yoyote
2. Wakuu wa idara wote kuanzia Kata sifa iwe Shahada ya Pili kwenye field husika.
Pia HAPANA.

Iwe kuanzia Kidato Cha sita na kupata ujuzi ktk professional field yoyote ya kiwango cha kuanzia Stashahada - Diploma na kuendelea..
3. Shahada ya Pili (Masters) iwe na mshahara wake syo Kama Sasa Shahada ya Pili haina mshahara.
Hilo linafikirika na labda laweza kufanyika
4. Narudia tena ili mbunge agombee ubunge shart awe na masters degree full stop!
HAPANA!!

Sifa ni zile zile hapo juu..

Ili mtu agombee ubunge kwa sifa ya kielimu, basi ingalau awe amemaliza kidato cha sita na kufaulu vizuri na awe na ujuzi fulani wa kiwango cha kuanzia Stashahada - Diploma na kuendelea katika professional field yoyote...

LAKINI KUMBUKA HILI PIA:

1. Sifa ya kielimu iwe ni  Shahaha mbili, tatu au Diploma fulani au udaktari fulani nk wa kwenye makaratasi (vyeti) haujawahi kuwa na hautaweza kuwa sifa ya kwanza ya mtu kuwa KIONGOZI. Kuna watu Wana shahada moja au mbili au tatu na wengine wamejiita madaktari au professor fulani lakini hawawezi kuongoza hata familia zao tu..!!

2. Elimu ya kiwango fulani it's just an added advantage Kwa anayetaka kuwa kiongozi....!!
 
Ni sawa, lakini si kivile kwa sababu

Master degree is too much..

Ni muhimu na vyema kila kiongozi wa kuchaguliwa kuanzia diwani awe amemaliza kidato cha sita na na kupata ujuzi fulani wa kuanzia kiwango cha stashahada (diploma) katika professional field yoyote

Pia HAPANA.

Iwe kuanzia Kidato Cha sita na kupata ujuzi ktk professional field yoyote ya kiwango cha kuanzia Stashahada - Diploma na kuendelea..

Hilo linafikirika na labda laweza kufanyika

HAPANA!!

Sifa ni zile zile hapo juu..

Ili mtu agombee ubunge kwa sifa ya kielimu, basi ingalau awe amemaliza kidato cha sita na kufaulu vizuri na awe na ujuzi fulani wa kiwango cha kuanzia Stashahada - Diploma na kuendelea katika professional field yoyote...

LAKINI KUMBUKA HILI PIA:

1. Sifa ya kielimu iwe ni  Shahaha mbili, tatu au Diploma fulani au udaktari fulani nk wa kwenye makaratasi (vyeti) haujawahi kuwa na hautaweza kuwa sifa ya kwanza ya mtu kuwa KIONGOZI. Kuna watu Wana shahada moja au mbili au tatu na wengine wamejiita madaktari au professor fulani lakini hawawezi kuongoza hata familia zao tu..!!

2. Elimu ya kiwango fulani it's just an added advantage Kwa anayetaka kuwa kiongozi....!!
Umefafanua Vizuri sana, ...IlaHapo
chama husika kichuc wagombea wake vizur chamsingi kipato chake kiendane kidogo na Elimu yake haiwezekani mtu ana stashahada anapokea salary mil.12, na pension mil 200, wakati mtu huyohuyo mwenye dip. Kwenye field nyingne salary take home ni laki nne na 30 na akistaafu anapata mil.80 tu huoni Kama ni mismatching of professional na salary..
 
Back
Top Bottom