DOKEZO Serikali Ifanye Uchunguzi Wa Kifo Cha Dkt Faustine Ndugulile Na Kuongeza Ulinzi Mzito Kwa Dkt Tulia Ackson

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nakuuliza unajua kilichomuua?? Kama hujui unataka uchunguzi wa nini..uchunguzi huanza kama una tetesi na sababu ya kifo..ili tetesi zako zitafutiwe ufumbuzi kama ni kweli au la...
Kwani wewe unajua kulichomuua? Uchunguzi si ndio utabaini kwa undani kulichomuua? Kwani wewe hofu yako ni nini uchunguzi ukifanyika?
 

Mnashindwa kuchunguza kifo cha Mzee Kibao halafu mchunguze cha Faustine. Si Mama Abdul alisema kifo ni kifo. Au Faustine anekufa zaidi ya Mzee Kibao!?
 
Wewe na wachawi wenzako wa Mbozi mnahusika, mmeanza kutuhumiana.
 
Silly na stupid
Opinionsovyo
Maoni ovyo kabsaa, stupid and very silly opinion, Kwan mkiwa ccm Huwa uwezo wa kufkir unachukuliwa?
 

Vipi uchunguzi wa kifo cha Mzee Kibao??
 
Duuu kumbe ni mwandiko wa Luka nilikuwa sijajuwa nimesoma kufika kati ndiyo nashtuka nipo wrong way.
 
Mkuu!
 
Aliye kufa kafa tu. Tumuombeee apumzike kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…