DOKEZO Serikali Ifanye Uchunguzi Wa Kifo Cha Dkt Faustine Ndugulile Na Kuongeza Ulinzi Mzito Kwa Dkt Tulia Ackson

DOKEZO Serikali Ifanye Uchunguzi Wa Kifo Cha Dkt Faustine Ndugulile Na Kuongeza Ulinzi Mzito Kwa Dkt Tulia Ackson

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ndugu zangu Watanzania,

Ifike mahali kama Taifa tusikubali kila kifo kipite hivi hivi au kuacha mambo yaende hivihivi kana kwamba hakuna kilichotokea vile au kusema ni Mapenzi ya Mungu au kuona ni kawaida.Mungu ametupatia akili kwa ajili ya kufikiri na kufanya tafakari kwa msaada wake Mungu Mwenyewe.

Ikumbukwe hii ni Dunia yenye vita vya kila aina ikiwepo kuhujumiana,kudhoofishana na kumalizana kwa kila mbinu .ambavyo vinakuwa vinafanywa kwa akili na maarifa ya hali ya juu sana na kufanywa na watu wenye akili za hali ya juu sana na ambao wapo kwa ajili ya kazi hiyo tu na wamefundishwa na kuivishwa kisawasawa.

Ifahamike kuwa wakati Mwingine kama Taifa linaweza kumalizwa na kutafunwa kama ugonjwa wa kansa kwa kumalizwa viongozi wake hasa wale wenye maono,akili kubwa,upeo,maarifa na ufahamu mkubwa wa masuala mbalimbali.watu wanaweza wakawa wanamaliza viongozi na watu wako muhimu pasipo wewe kujua .unapokuja kushituka ni wakati huna uwezo wa kusimama tena kukabiliana na hujuma hizo kwa sababu unakuwa tayari umepoteza watu wote wale wa muhimu.

Hivyo ni muhimu sana tuanze utaratibu wa kufanya uchunguzi wa vifo vya watu wa muhimu au viongozi pale inapotokea vifo vya ghafla na vyenye kutatanisha ili kuweza kujua ni vifo vya Mungu au vyenye mikono ya Binadamu. Kumbukeni hapa Majuzi tu tumepoteza kiongozi mashuhuri na muhimu sana hapa Nchi ambaye ni Mafuru.na sasa tumempoteza mwingine mtu wa muhimu sana kwa Taifa letu Dkt Faustine Ndugulile.

Lakini tujiulize huko India tumepeleka viongozi wetu wangapi katika kumbukumbu zetu na wangapi wamepoteza Maisha. Ni wakati wa kufumbua macho sasa kama Taifa kwa idara zetu za Ujasusi ndani na nje ya Nchi katika ulinzi wa viongozi wetu muhimu na watu muhimu.maana kuhujumiwa unaweza kuhujumiwa kwa njia mbalimbali ikiwepo hata wafanyabiashara wako wakubwa na wenye mitaji mikubwa na wenye mchango mkubwa kwa Taifa kupotezwa.

Lakini ni wakati pia wa kumuangalia Dkt Tulia kwa jicho la kijasusi zaidi kwa kujua kuwa anawakilisha Taifa letu huko Nje ya Nchi.hivyo ni Muhimu kumuongezea ulinzi zaidi awapo ndani na nje ya Nchi.Maana ikumbukwe ya kuwa hata katika kugombea hakugombea peke yake na hivyo siyo kila mmoja anapenda kuona Taifa fulani likiwa linang'ara katika nafasi za kimataifa kama ambavyo ilikuwa tumepata kwa Dkt Faustine Ndugulile kuongoza WHO kanda ya Afrika pamoja na kuwa na Dkt Tulia upande wa IPU.

Kwa hiyo kwa nafasi ambazo watanzania wanapata kuongoza taasisi za kimataifa tuhakikishe tunaongeza ulinzi ikiwepo kwa yule ambaye yupo kwenye masuala ya Fedha. Tukilala unaweza shangaa unafanyiwa hujuma na kupigwa mapigo makubwa makubwa mahali panapouma na kuacha majeraha,mapengo na alama zisizofutika wala kuzibika.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ulinzi wa nini? Acha mmalizane. Mmeshazoea kunywa damu za watu
 
Lucas Hebel Mwashambwa
Malizia kbs👇
20241125_124733.jpg
 
Ungekaa pembeni uache wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja.
Hamna kitu wewe Chawa. Huna unachojoa , rudi shule , unakimbia shule halafu unataka utoboe kwenye Uchawa , kijana kwa taifa la leo but unakuwa MPUUZI, Mama anaupiga mwingi anaupiga wapi? Huna aibu mwanaume mzima unategemea kuishi kwa uchawa, ulambe viongozi makalio ndio uishi

Dumb kabisa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ifike mahali kama Taifa tusikubali kila kifo kipite hivi hivi au kuacha mambo yaende hivihivi kana kwamba hakuna kilichotokea vile au kusema ni Mapenzi ya Mungu au kuona ni kawaida.Mungu ametupatia akili kwa ajili ya kufikiri na kufanya tafakari kwa msaada wake Mungu Mwenyewe.

Ikumbukwe hii ni Dunia yenye vita vya kila aina ikiwepo kuhujumiana,kudhoofishana na kumalizana kwa kila mbinu .ambavyo vinakuwa vinafanywa kwa akili na maarifa ya hali ya juu sana na kufanywa na watu wenye akili za hali ya juu sana na ambao wapo kwa ajili ya kazi hiyo tu na wamefundishwa na kuivishwa kisawasawa.

Ifahamike kuwa wakati Mwingine kama Taifa linaweza kumalizwa na kutafunwa kama ugonjwa wa kansa kwa kumalizwa viongozi wake hasa wale wenye maono,akili kubwa,upeo,maarifa na ufahamu mkubwa wa masuala mbalimbali.watu wanaweza wakawa wanamaliza viongozi na watu wako muhimu pasipo wewe kujua .unapokuja kushituka ni wakati huna uwezo wa kusimama tena kukabiliana na hujuma hizo kwa sababu unakuwa tayari umepoteza watu wote wale wa muhimu.

Hivyo ni muhimu sana tuanze utaratibu wa kufanya uchunguzi wa vifo vya watu wa muhimu au viongozi pale inapotokea vifo vya ghafla na vyenye kutatanisha ili kuweza kujua ni vifo vya Mungu au vyenye mikono ya Binadamu. Kumbukeni hapa Majuzi tu tumepoteza kiongozi mashuhuri na muhimu sana hapa Nchi ambaye ni Mafuru.na sasa tumempoteza mwingine mtu wa muhimu sana kwa Taifa letu Dkt Faustine Ndugulile.

Lakini tujiulize huko India tumepeleka viongozi wetu wangapi katika kumbukumbu zetu na wangapi wamepoteza Maisha. Ni wakati wa kufumbua macho sasa kama Taifa kwa idara zetu za Ujasusi ndani na nje ya Nchi katika ulinzi wa viongozi wetu muhimu na watu muhimu.maana kuhujumiwa unaweza kuhujumiwa kwa njia mbalimbali ikiwepo hata wafanyabiashara wako wakubwa na wenye mitaji mikubwa na wenye mchango mkubwa kwa Taifa kupotezwa.

Lakini ni wakati pia wa kumuangalia Dkt Tulia kwa jicho la kijasusi zaidi kwa kujua kuwa anawakilisha Taifa letu huko Nje ya Nchi.hivyo ni Muhimu kumuongezea ulinzi zaidi awapo ndani na nje ya Nchi.Maana ikumbukwe ya kuwa hata katika kugombea hakugombea peke yake na hivyo siyo kila mmoja anapenda kuona Taifa fulani likiwa linang'ara katika nafasi za kimataifa kama ambavyo ilikuwa tumepata kwa Dkt Faustine Ndugulile kuongoza WHO kanda ya Afrika pamoja na kuwa na Dkt Tulia upande wa IPU.

Kwa hiyo kwa nafasi ambazo watanzania wanapata kuongoza taasisi za kimataifa tuhakikishe tunaongeza ulinzi ikiwepo kwa yule ambaye yupo kwenye masuala ya Fedha. Tukilala unaweza shangaa unafanyiwa hujuma na kupigwa mapigo makubwa makubwa mahali panapouma na kuacha majeraha,mapengo na alama zisizofutika wala kuzibika.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni ushauri mzuri,
Je Marehemu alikuwa Team ipi?

Team Msoga, Team El, team Mkojani Fc? Team Jpm au team ipi?
Je Upande wa Laurence Mafuru alikuwa team ipi?
Kwa muda mfupi huyu ni kiongozi wa rank ya juu wa kikristo kufariki je hakuna hujuma za makundi?

Juzi kkuna mtu alikuwa na press conference na...... Ili kujisafisha kwenye hadhira, je lengo ni kwenda kugombea jimbo lile? Ile press ilikuwa ni msukumo wake yeye au kuna watu nyuma yake?
Lucas Mwashambwa hivi kwa nini mlikuwa kimya kusema kwa Wana Kigamboni na kwa Watanzania kuwa waziri wetu wa afya mstaafu na mbunge wa Kigamboni anaumwa yuko India kwa matibabu?
Watanzania wangeunganisha nguvu ya dua na sala pamoja na matibabu ya madaktari lkn nyie mkafanya siri, taifa mnakuja kutoa taarifa ya kifo chake, tukisema mmemnyonga tutakuwa tunakosea?
Utawala wa Kikwete kurudi nyuma mbona walikuwa wakitoa taarifa hata kwa mawaziri waliopita wakilazwa hospitali?
 
Ni ushauri mzuri,
Je Marehemu alikuwa Team ipi?

Team Msoga, Team El, team Mkojani Fc? Team Jpm au team ipi?
Je Upande wa Laurence Mafuru alikuwa team ipi?
Kwa muda mfupi huyu ni kiongozi wa rank juu wa kikristo kufariki je hakuna hujuma za makundi?
Juzi kkuna mtu alikuwa na press conference na...... Ili kujisafisha kwenye hadhira je lengo ni kwenda kugombea jimbo lile? Ile press ilikuwa ni msukumo wake yeye au kuna watu nyuma yake?
Lucas Mwashambwa hivi kwa nini mlikuwa kimya kusema kwa Wana Kigamboni na kwa Watanzania kuwa waziri wetu wa afya mstaafu na mbunge wa Kigamboni anaumwa yuko India kwa matibabu?
Watanzania wangeunganisha nguvu ya dua na sala pamoja na matibabu ya madaktari lkn nyie mkafanya siri, taifa mnakuja kutoa taarifa ya kifo chake, tukisema mmemnyonga tutakuwa tunakosea?
Utawala wa Kikwete kurudi nyuma mbona walikuwa wakitoa taarifa hata kwa mawaziri waliopita wakilazwa hospitali?
Tuendelee kuwa watulivu wakati huu na kuwaombea familia ili Mungu awapatie moyo wa subira na uvumilivu
 
Tuendelee kuwa watulivu wakati huu na kuwaombea familia ili Mungu awapatie moyo wa subira na uvumilivu
Mimi si mwanasiasa ila Imeniuma sana kutokana na Dr namna alivyokuwa kwenye jamii ya Watanzania,
Na km serikali hakumpa ulinzi baada ya kuteuliwa kwake na WHO basi ni uzembe wa hali ya juu sana.
Dr alikua anaenda kuwa kiongozi wa mataifa zaidi ya 40, na watu karibu ya Bilioni moja unashindwaje kumpa ulinzi?
 
Mimi si mwanasiasa ila Imeniuma sana kutokana na Dr namna alivyokuwa kwenye jamii ya Watanzania,
Na km serikali hakumpa ulinzi baada ya kuteuliwa kwake na WHO basi ni uzembe wa hali ya juu sana.
Dr alikua anaenda kuwa kiongozi wa mataifa zaidi ya 40, na watu karibu ya Bilioni moja unashindwaje kumpa ulinzi?

Magufuli hakuwa na ulinzi tena wa jeshi kabisa sasa yuko wapi? Mnapenda sana conspiracy theories.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ifike mahali kama Taifa tusikubali kila kifo kipite hivi hivi au kuacha mambo yaende hivihivi kana kwamba hakuna kilichotokea vile au kusema ni Mapenzi ya Mungu au kuona ni kawaida.Mungu ametupatia akili kwa ajili ya kufikiri na kufanya tafakari kwa msaada wake Mungu Mwenyewe.

Ikumbukwe hii ni Dunia yenye vita vya kila aina ikiwepo kuhujumiana,kudhoofishana na kumalizana kwa kila mbinu .ambavyo vinakuwa vinafanywa kwa akili na maarifa ya hali ya juu sana na kufanywa na watu wenye akili za hali ya juu sana na ambao wapo kwa ajili ya kazi hiyo tu na wamefundishwa na kuivishwa kisawasawa.

Ifahamike kuwa wakati Mwingine kama Taifa linaweza kumalizwa na kutafunwa kama ugonjwa wa kansa kwa kumalizwa viongozi wake hasa wale wenye maono,akili kubwa,upeo,maarifa na ufahamu mkubwa wa masuala mbalimbali.watu wanaweza wakawa wanamaliza viongozi na watu wako muhimu pasipo wewe kujua .unapokuja kushituka ni wakati huna uwezo wa kusimama tena kukabiliana na hujuma hizo kwa sababu unakuwa tayari umepoteza watu wote wale wa muhimu.

Hivyo ni muhimu sana tuanze utaratibu wa kufanya uchunguzi wa vifo vya watu wa muhimu au viongozi pale inapotokea vifo vya ghafla na vyenye kutatanisha ili kuweza kujua ni vifo vya Mungu au vyenye mikono ya Binadamu. Kumbukeni hapa Majuzi tu tumepoteza kiongozi mashuhuri na muhimu sana hapa Nchi ambaye ni Mafuru.na sasa tumempoteza mwingine mtu wa muhimu sana kwa Taifa letu Dkt Faustine Ndugulile.

Lakini tujiulize huko India tumepeleka viongozi wetu wangapi katika kumbukumbu zetu na wangapi wamepoteza Maisha. Ni wakati wa kufumbua macho sasa kama Taifa kwa idara zetu za Ujasusi ndani na nje ya Nchi katika ulinzi wa viongozi wetu muhimu na watu muhimu.maana kuhujumiwa unaweza kuhujumiwa kwa njia mbalimbali ikiwepo hata wafanyabiashara wako wakubwa na wenye mitaji mikubwa na wenye mchango mkubwa kwa Taifa kupotezwa.

Lakini ni wakati pia wa kumuangalia Dkt Tulia kwa jicho la kijasusi zaidi kwa kujua kuwa anawakilisha Taifa letu huko Nje ya Nchi.hivyo ni Muhimu kumuongezea ulinzi zaidi awapo ndani na nje ya Nchi.Maana ikumbukwe ya kuwa hata katika kugombea hakugombea peke yake na hivyo siyo kila mmoja anapenda kuona Taifa fulani likiwa linang'ara katika nafasi za kimataifa kama ambavyo ilikuwa tumepata kwa Dkt Faustine Ndugulile kuongoza WHO kanda ya Afrika pamoja na kuwa na Dkt Tulia upande wa IPU.

Kwa hiyo kwa nafasi ambazo watanzania wanapata kuongoza taasisi za kimataifa tuhakikishe tunaongeza ulinzi ikiwepo kwa yule ambaye yupo kwenye masuala ya Fedha. Tukilala unaweza shangaa unafanyiwa hujuma na kupigwa mapigo makubwa makubwa mahali panapouma na kuacha majeraha,mapengo na alama zisizofutika wala kuzibika.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Bladifakeb bastard, mbona hujawahi kusemea kifo cha wanachadema waliouawa miaka yote. Sijawahi kukuona unaandika kuhusu Soka na wenzake, Ben Saanabe, Mzee Ali Kibao. Jana tu wamekufa chadema 3 kwa ujinga wa uchafuzi....hujaandika lolote. Shetani mkubwa wewe, ufe umfuate Jiwe
 
Bladifakeb bastard, mbona hujawahi kusemea kifo cha wanachadema waliouawa miaka yote. Sijawahi kukuona unaandika kuhusu Soka na wenzake, Ben Saanabe, Mzee Ali Kibao. Jana tu wamekufa chadema 3 kwa ujinga wa uchafuzi....hujaandika lolote. Shetani mkubwa wewe, ufe umfuate Jiwe
Kwani nani kakuzuia wewe kuandika? Na wewe andika utakayo yafanyike
 
Back
Top Bottom