Serikali ifanye ukaguzi shule zote na vituo vyote vya kulelea watoto hasa vinavyomilikiwa na wageni nchini

Serikali ifanye ukaguzi shule zote na vituo vyote vya kulelea watoto hasa vinavyomilikiwa na wageni nchini

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
587
Reaction score
800
Kutokana na wimbi la ushoga na usagaji nchini kusambaa kwa kasi kupitia taasisi za elimu na ustawi wa jamii kwa maana ya vituo vya kulelea watoto hasa vinavyomilikiwa na wawwkezaji wa kigeni, natoa rai serikali ipitie mitaala na mbinu za ufundishaji , vifaa vya ufundishaji, matumizi ya vifaa husika, madawa, mafuta na vinywaji wanavyopewa watoto wetu maeneo yote ya kulelea watoto na shule zote nchini
 
Mtoa hoja mm ni mdau katika hili eneo ulilotaja!wewe siyo wa kwanza kukusikia ukiongea/ kuandika hivi.
Nikuambie tu kwamba haya mambo mnayakuza na kuyaprote sana.
Ieleweke kwamba vituo ulivyotajwa husajiliwa na serikali hata vya wageni kwa mujibu wa sheria ya mtto ya 2009 na vipo chini ya kamishna wa ustawi wa jamii/ afisa ustawi wa eneo husika. Hivyo kuna mashart mpaka visajiliwe. Hukaguliwa kila mwezi
Hao wageni hawatoki tu huko kwao na kuja kuanzisha vituo kiholela hapana vipo chini ya serikali
Vifaa vote ulivyotaja vipo pale kwa mujibu wa sheria
Kama kuna jambo baya linaendelea maafisa wakaguzi_ supervisors/ swos watajua na kuchukua hatua stahiki.
 
Sisi ni jamii iliyoharibika! Mzazi unakubalije mwanao akalelewe na watu wengine?! Unajua mwanao anachopewa na kufundishwa huko? Eti shule hizi hukaguliwa na serikali, una uhakika? Elewa kuwa nobody cares about your kids. Wazazi wengi wanakwepa majukumu ya kulea watoto wao Kwa kisingizio elimu.
 
Mtoa hoja mm ni mdau katika hili eneo ulilotaja!wewe siyo wa kwanza kukusikia ukiongea/ kuandika hivi.
Nikuambie tu kwamba haya mambo mnayakuza na kuyaprote sana.
Ieleweke kwamba vituo ulivyotajwa husajiliwa na serikali hata vya wageni kwa mujibu wa sheria ya mtto ya 2009 na vipo chini ya kamishna wa ustawi wa jamii/ afisa ustawi wa eneo husika. Hivyo kuna mashart mpaka visajiliwe. Hukaguliwa kila mwezi
Hao wageni hawatoki tu huko kwao na kuja kuanzisha vituo kiholela hapana vipo chini ya serikali
Vifaa vote ulivyotaja vipo pale kwa mujibu wa sheria
Kama kuna jambo baya linaendelea maafisa wakaguzi_ supervisors/ swos watajua na kuchukua hatua stahiki.
na lile la juzi kigoma unaliongeleaje kama ulilishuhudia ktk luninga.
 
na lile la juzi kigoma unaliongeleaje kama ulilishuhudia ktk luninga.
Nitakuambia mkuu tabia za binaadam siyo jumuishi mfano wote tunaweza kuwa walevi wa pombe lakini kila mtu akawa na tabia zake baada ya kulewa!
Mifumo ya serilali ipo vizuri kabisa juu ya jambo hili. Naongea nikiwa na uhakika maana nimeifanyia kazi
Ila tabia za mtu mmoja mmoja ndiyo huleta changamoto.
Hoja yangu ni kwamba siyo kwamba serikali haiikagui vituo inakagua vizuri tu labda tupendekeze kwamba kwenye kila kituo pawe na afisa ustWi wa serikali
 
Nitakuambia mkuu tabia za binaadam siyo jumuishi mfano wote tunaweza kuwa walevi wa pombe lakini kila mtu akawa na tabia zake baada ya kulewa!
Mifumo ya serilali ipo vizuri kabisa juu ya jambo hili. Naongea nikiwa na uhakika maana nimeifanyia kazi
Ila tabia za mtu mmoja mmoja ndiyo huleta changamoto.
Hoja yangu ni kwamba siyo kwamba serikali haiikagui vituo inakagua vizuri tu labda tupendekeze kwamba kwenye kila kituo pawe na afisa ustWi wa serikali
nimekuelewa ila ni vigumu kwa kila kituo kuwa na afisa ustawi wa jamii kwa kuwa ni wachache sana.
 
Nitakuambia mkuu tabia za binaadam siyo jumuishi mfano wote tunaweza kuwa walevi wa pombe lakini kila mtu akawa na tabia zake baada ya kulewa!
Mifumo ya serilali ipo vizuri kabisa juu ya jambo hili. Naongea nikiwa na uhakika maana nimeifanyia kazi
Ila tabia za mtu mmoja mmoja ndiyo huleta changamoto.
Hoja yangu ni kwamba siyo kwamba serikali haiikagui vituo inakagua vizuri tu labda tupendekeze kwamba kwenye kila kituo pawe na afisa ustWi wa serikali
Vituo hivi ni biashara za watu, lazima utetee
 
Ushoga uko huko majumbani kwenu, wazazi simamieni malezi na maadili bora, kuepukaa hili janga.

Tumechoka na kelele zenu bhana. Khaaah
 
Back
Top Bottom