N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Ukweli ni kwamba mambo mengi yanayofundishwa shule ya msingi ndio hayo hayo yanafunzwa shule ya sekondari. Ushauri wangu ifanyike review ya mitaala ya elimu yetu na masomo yanayowezesha elimu ya kujitegemea yaongezwe.
Tupunguze mfumo wa elimu ya white colar na badala yake tuweke mfumo wa elimu unaojenga watu kujitegemea zaidi. Muda wa kukaa shuleni upunguzwe ikiwezekana chini ya miaka 23 ya umri wa kuishi kijana anaetakiwa kuajiriwa aajiriwe na anaetakiwa kwenda kujiajiri aende kujiajiri.
Kama masomo ya KILIMO, BIASHARA na UJASIRIAMALI hayataongezwa kwenye mitaala yetu kujiajiri kwenye tija itakuwa shida.
Nawasilisha.
Tupunguze mfumo wa elimu ya white colar na badala yake tuweke mfumo wa elimu unaojenga watu kujitegemea zaidi. Muda wa kukaa shuleni upunguzwe ikiwezekana chini ya miaka 23 ya umri wa kuishi kijana anaetakiwa kuajiriwa aajiriwe na anaetakiwa kwenda kujiajiri aende kujiajiri.
Kama masomo ya KILIMO, BIASHARA na UJASIRIAMALI hayataongezwa kwenye mitaala yetu kujiajiri kwenye tija itakuwa shida.
Nawasilisha.