Hazi mamlaka zipo chini ya halmashauri au wizara ya maji. Mfano dawasa na dawasco zipo chini ya nani?Hapana Mkuu. Ni kwamba siku hizi suala la maji liko kwa kiasi fulani liko halmashauri za miji, lakini kumbuka halmashauri za miji haziko chini ya wizara ya maji, ziko chini ya Tamisemi na bado maji ni jukumu la Waizara ya maji. Ndio maana nikasema hii inaleta mkanganyiko tu. Suala ni kuondoa maji halmashauri za miji na Wizara ya maji na kuanzisha shirika linalojitegemea chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kama mashirika mengine ya umma.
Kwa kiwango kikubwa zinaendeshwa chini ya serikali za miji. Hivyo utakuta maamuzi mengi yanakuwa ya madiwani nk. Ndipo lilipokuja wazo la kuwa na bodi za maji, ambazo zinawajibika kwa wizara ya maji. Makumbuka Kitila Mkumbo amekuwa mhamasishaji wa bodi hizi.Hazi mamlaka zipo chini ya halmashauri au wizara ya maji. Mfano dawasa na dawasco zipo chini ya nani?
Ndugu yangu unamawazo mazuri sana lakini inawezekana wewe sio mfuatiliaji mzuri wa mambo yanavyokwenda. Serikali kupitia Wizara ya Maji imeanzisha Wakala mpya inayoitwa Wakala wa usambazaji maji na usafi wa mazingira Vijijini kwa kifupi RUWASA hii ilienda sanjari na kufuta iliyokuwa wakala wa uchimbaji visima na ujenzi wa mabwawa ambayo imeiunganishwa na hii Wakala Mpya.RUWASA ilianza kazi rasmi mwaka jana tarehe 1/7/2019 baada ya sheria ya uanzishwaji wake kupitishwa na Bunge. Idara za maji zote kwenye Halmashauri zimehamishiwa RUWASA, Hii Wakala jukumu lake kubwa ni kuhakikisha Vijiji vyote nchini vinapata maji safi na salama.Ina ofisi kila wilaya na kila mkoa kasoro Dar es salaam.Kwa taarifa zaidi tafadhali tembelea tovuti ya wizara ya Maji (www.maji.go.tz)Watu wanasema unapokuwa na njia ambayo kwa miaka mingi haizai matunda na bado unaing'ang'ania badala ya kutafuta njia mbadala ya kutatua tatizo, wewe una tatizo la akili.
Suala la upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi, mijini na vijijini, limekuwa jambo ambalo limeumiza kichwa serikali kwa miaka mingi sana. Kuna wakati huduma hii ilikuwa chini ya mamlaka ya serikali mija kwa moja - Idara ya Maji chini wa Wizara. Hili halikufaniliwa.
Utaratibu wa huduma za maji uliopo sasa ndio unachanganya kuliko hata huko nyumba. Tunashindwa kuelewa nani hasa ndio mwenye mamlaka kaitika suala la maji. Unakuta Wiara ipo, na serikali za miji zipo, na mwisho wa siku haieleweki nani ana mamlaka zaidi ya mwenzake.
Kuna Board za maji zimeanzishwa lakini ni kama hazina meno, zipo zipo tu!
Sasa wakati umefika tutafute namna mpya ya kushughulika na suala la maji nchini. Tunapaswa kufikira kwa makini uwepo wa Shirika la Maji la Taifa, ambalo majukumu yake yatakuwa kama lilivyo TANESCO, na pia kuwa na Rural Water Access Agency, ambayo majukumu yake yatakuwa kama ilivyo REA. Shirika hili linaweza kuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kulipa uzito au Wizara ya Maji ikibidi
Kwa upande wa Shrika la Maji, hili litapaswa kujiendesha kibiashara. kwa ngazi ya Taifa, Mkoa na Wilaya. Ruzuku toka serikalini inaweza kuwapo mwanzoni lakini baada ya muda fulani tutatarajie lijiendeshe kwa faida.
Ni kweli huko nyuma tulikuwa na NUWA (National Urban Water Authority) , na lengo lilikuwa zuri bali lilikumbwa na mihemuko ya kisiasa enzi za ubinafsishaji likatenguliwa. Tuanzishe kitu bora zaidi.
Rural Water Access Agency, kama ilivyo REA, itapewa ruzuku toka serikalini, na pia kutakuwa na levy (tozo) toka kwenye bili za maji za Shirika la Maji la Taifa kwa ajili ya kuendeleza upatikanaji wa maji vijijini.
Ningependa sana Kitila Mkumbo watafakari kwa makini pendekezo hili na kulifikisha kwa Magufuli ili lifanyiwe utekelezaji.
NI jambo jema kama hilo limefanyika.Ndugu yangu unamawazo mazuri sana lakini inawezekana wewe sio mfuatiliaji mzuri wa mambo yanavyokwenda. Serikali kupitia Wizara ya Maji imeanzisha Wakala mpya inayoitwa Wakala wa usambazaji maji na usafi wa mazingira Vijijini kwa kifupi RUWASA hii ilienda sanjari na kufuta iliyokuwa wakala wa uchimbaji visima na ujenzi wa mabwawa ambayo imeiunganishwa na hii Wakala Mpya.RUWASA ilianza kazi rasmi mwaka jana tarehe 1/7/2019 baada ya sheria ya uanzishwaji wake kupitishwa na Bunge. Idara za maji zote kwenye Halmashauri zimehamishiwa RUWASA, Hii Wakala jukumu lake kubwa ni kuhakikisha Vijiji vyote nchini vinapata maji safi na salama.Ina ofisi kila wilaya na kila mkoa kasoro Dar es salaam.Kwa taarifa zaidi tafadhali tembelea tovuti ya wizara ya Maji (www.maji.go.tz)
NI jambo jema kama hilo limefanyika.
Hata hivyo bado kuna kasoro. Ninachoona ni kwamba RUWASA inaendeshwa na serikali kupitia Wizara ya Maji. Labda ni kwa kuwa RUWASA wanaona hawawezi kujiendesha kibiashara kwa kuwa huduma ya maji vijijini ni suala la social service zaidi ya commercial service.
Bado ningependa RUWASA iwe na mfumo kama wa REA, ambapo inakuwa ina autonomy ambayo inaiondoa kiasi fulani kusimamiwa moja kwa moja na serikali katika utendaji wa kila siku. Historia imeshatuonyesha vitu vinavyosimamiwa moja kwa moja na wizara mara nyingi havifanikiwi, na ndio lengo la kubadilisha idara nyingi za serikali na kuzifanya Agency. Mifano ni mingi, Meteorology na Wizara ya Mawasiliano; TPDC na Wizara ya Nishati; REA na Wizara ya Nishati , TCCL na wizara ya mawasiliano etc
Halafu Mkuu kuna kitu nimekiona kwenye hiyo website ya maji kinatoa food for thought pia. Nimeona EWURA imeorodhoshwa kama taasisi ya Wizara ya Maji. Bila Shaka wizara ya Nishati pia itairodhesha EWURA kama taaisi yake. Sasa mwisho wa mambo yote, Mkurugenzi wa EWURA anawajibika kwa Waziri gani katika mambo ya policy zaidi ya Board ya EWURA yenye kutoa executive guidance?Ndugu yangu unamawazo mazuri sana lakini inawezekana wewe sio mfuatiliaji mzuri wa mambo yanavyokwenda. Serikali kupitia Wizara ya Maji imeanzisha Wakala mpya inayoitwa Wakala wa usambazaji maji na usafi wa mazingira Vijijini kwa kifupi RUWASA hii ilienda sanjari na kufuta iliyokuwa wakala wa uchimbaji visima na ujenzi wa mabwawa ambayo imeiunganishwa na hii Wakala Mpya.RUWASA ilianza kazi rasmi mwaka jana tarehe 1/7/2019 baada ya sheria ya uanzishwaji wake kupitishwa na Bunge. Idara za maji zote kwenye Halmashauri zimehamishiwa RUWASA, Hii Wakala jukumu lake kubwa ni kuhakikisha Vijiji vyote nchini vinapata maji safi na salama.Ina ofisi kila wilaya na kila mkoa kasoro Dar es salaam.Kwa taarifa zaidi tafadhali tembelea tovuti ya wizara ya Maji (www.maji.go.tz)
EWURA ni Taasisi ambayo ipo chini ya Wizara ya Maji na CEO wake anawajibika kwa KM wa wizara ya maji na sio Wizara ya Nishati kama unavyohisi.Halafu Mkuu kuna kitu nimekiona kwenye hiyo website ya maji kinatoa food for thought pia. Nimeona EWURA imeorodhoshwa kama taasisi ya Wizara ya Maji. Bila Shaka wizara ya Nishati pia itairodhesha EWURA kama taaisi yake. Sasa mwisho wa mambo yote, Mkurugenzi wa EWURA anawajibika kwa Waziri gani katika mambo ya policy zaidi ya Board ya EWURA yenye kutoa executive guidance?
Haya ndio mambo nasema yanachanganya kidogo. Je, hili lilifanywa kupunguza gharama za kuwa na Water Regulatory Authority inayojitegemea? Labda kama huduma ya maji imeegemea zaidi serikalini, basi hakuna haja ya kuwa na water regulatory authority
Ukiwa mlaji au unatumia raslimali vibaya ..in short ukiwa mwizi basi kila mtu utadhani anaibaNashikuru umeuniulizia swali langu
Au jamaa anahitaji ulaji?
Sasa hapo mbona itakuwa ni mkanganyiko sana. Kumbuka kazi za EWURA ni hizi;EWURA ni Taasisi ambayo ipo chini ya Wizara ya Maji na CEO wake anawajibika kwa KM wa wizara ya maji na sio Wizara ya Nishati kama unavyohisi.