MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Hapa nayalenga hasa yale ambayo unakuta kanisa limezungushiwa mabati tu.Kanisa halina address halafu linajiita nabii na kuanza kukusanya fedha za kuwatabiria watu.
serikali ipambane na hawa au warasimishwe watozwe kodi wachangie madawa hospitalini.
serikali ipambane na hawa au warasimishwe watozwe kodi wachangie madawa hospitalini.