Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
🤣🤣 Wapumbavu kabisa ndo dawa yao.Wanawavunjia nyumba wamefanya nini? Kwani mimi kuibiwa wewe inakuhusu nini mpaka nje nivunjia nyumba yangu? Hawavunji uzinzi, ufiraji, ulevi, uchawi na tamaa mbaya zilizopo mioyoni mwao wanavunja nyumba za wakristu. Very 🤣😂😂