Serikali ifunge makanisa yote ya uchochoroni ya manabii, wanaibia watanzania...

Serikali ifunge makanisa yote ya uchochoroni ya manabii, wanaibia watanzania...

Hapa nayalenga hasa yale ambayo unakuta kanisa limezungushiwa mabati tu.Kanisa halina address halafu linajiita nabii na kuanza kukusanya fedha za kuwatabiria watu.
serikali ipambane na hawa au warasimishwe watozwe kodi wachangie madawa hospitalini.
Huna wakubwa kwenu
 
Hawawaibii, wangekuwa wanaibiwa wangejaza vituo vya polisi wanatoa kwa hiari yao wakidhania wanapanda mbegu ili waje kuvuna zaidi. Wajinga ndio waliwao wache mpaka akili ziwakae sawa. Hao watu wana hela ya kutoa wao ndio matajiri subiri wamtajirishe nabii kwanza. Biblia imeandika ya kuwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Waibiwe tu hakuna namna kinacho nikela kelele na vilio na mziki majirani hawalali
 
Mingi tu unajifanya hujui. Hujui kuwa huko mpaka kuna kulawiti watoto kama alivyofanya Muddy(56) dhidi ya Aisha(9). Sijui kwanini mnajitajihidi kujifungamanisha na kuona yale yafanywayo na watu wachache ndani ya ukristo ndio msimamo wa ukristo ila yale yafanywayo na mashehe na mustach sio ya uislamu?
Kama wewe ulivio rawitiwa hivi sasa unatemba mavi yanavuja
 
Sawa, kwa hiyo ulawiti na ubakaji unaofanywa na mashehe na maustadhi huko kwenye madrassa ni sawa na ni kitu kizuri kuliko huko kuibiwa kwa watu unakosema kanisani? Je kuna mtu anakabwa huko kanisani na kulazimishwa kutoa fedha? Je kama wanaibiwa kwanini hawaendi shitaka Polisi?[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Maamuma bwana mnasikitisha sana.
Nenda kawalipoti polisi lakini utoweza sababu nyiyi ndio kazi yenu kurawitiwa kila siku
 
Matapeli kule tu zanzibar wanawavunjia mpaka nyumba ndo dawa yao..Upumbavu wakafanyie kwao huko.
Kabla ya muhamad kudai ni nabii nakuleta mambo ya kugawana Mali na mungu wake nusu kwa nusu , haya mambo hayakuwepo


Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Kabla ya muhamad kudai ni nabii nakuleta mambo ya kugawana Mali na mungu wake nusu kwa nusu , haya mambo hayakuwepo


Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
🤣🤣🤣Masai unaongea nn?
 
🤣🤣🤣Masai unaongea nn?
Umeshawahi kuona binadamu anagawana Mali za uizi wa kivita na mungu wake ?

The one and only Muhammad
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Umeshawahi kuona binadamu anagawana Mali za uizi wa kivita na mungu wake ?

The one and only Muhammad
Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
Sioni point yako we Karne hii unaibiwa na wanyakyusa?🤣🤣eti mitume.
 
Kwa kuwa haya mambo yanahusisha brainwashing za kiimani,na kuwa watu walo tayari hadi kufia imani hizi. Basi waachwe wasomeshwe namba na manabii hawa feki, Akili zikiwarudia wataondoka wenyewe kimyakimya!
 
Sioni point yako we Karne hii unaibiwa na wanyakyusa?🤣🤣eti mitume.
Point ni mitume ya kitapeli ilianzishwa na Muhammad

Mtu aliwaaminisha anagawana Mali na mungu na majinga yanamuangalia tu 😂😂😂😂
 
Point ni mitume ya kitapeli ilianzishwa na Muhammad

Mtu aliwaaminisha anagawana Mali na mungu na majinga yanamuangalia tu 😂😂😂😂
Tushasema lazima matapeli wavunjiwe hata nyumba zao kama Zanzibar washaanza 🤣🤣🤣.
 
Ujinga na umasikini wa fikra wa wananchi na jamii kwa ujumla ndiyo msingi wa makanisa hayo na utapeli wa hao manabii.
Jambo la muhimu ni kuwafundisha wananchi kuwa Mungu hapatikani kanisani tu.
 
Tushasema lazima matapeli wavunjiwe hata nyumba zao kama Zanzibar washaanza 🤣🤣🤣.
Shida hayo matapeli yamemuiga Muhammad yeye ndie alieanzisha kujiita mtume mara nabii ukiuliza unabii gani katoa hakuna , Yani prophet without prophecy 😂😂😂

Mara ukimuona umlipe ,yote kaanzisha muhammad

Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
 
Shida hayo matapeli yamemuiga Muhammad yeye ndie alieanzisha kujiita mtume mara nabii ukiuliza unabii gani katoa hakuna , Yani prophet without prophecy 😂😂😂

Mara ukimuona umlipe ,yote kaanzisha muhammad

Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Muhammad, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.....
🤣🤣🤣Hao matapeli ndo maana yanavunjowa nyumba kuwakomesha.
 
Back
Top Bottom