John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Halotel katika menu ya weekly mega bundle ambayo ulikuwa ukipatiwa dakika 30 mitandao yote dakika 30 halotel na mb 1000 waliamua kukipunguza mpaka kufikia mb 600 kwa wiki. Kama hiyo haitoshi jana jioni waliamua kudanganya watumiaji wake kwa kuandika kwamba kwa sasa kwa sh 1000 utapata mb 800 cha kushangaza baada ya kujiunga unatumiwa message kwamba umepata mb 500 badala ya 800 iliyoonekana hapo awali ikiwa ni pungufu ya mb 300.
Huu ni WIZI mkubwa!.Ni sawa na kwenda dukani ukaona bidhaa nje ya box wameandika ndani kuna pieces 12 kisha baada ya kununua ukakuta pieces 5!
Cha ajabu wao siku zote marekebisho yao yanawaathiri watumiaji tu na wanaishia kukuomba radhi lakini haijawahi kutokea yakawaathiri wao! Na hata ikitokea wapo tayari kurudishia gharama zao zilizopotea! Lakini kwa wewe mtumia utaombwa radhi TU!
HII SIO SAWA!
Kama kuna mawakili humu tuungane kuifungulia kesi HALOTEL kwa maana huu ni wizi wa wazi wazi na ushahidi wote upo!
Halotel katika menu ya weekly mega bundle ambayo ulikuwa ukipatiwa dakika 30 mitandao yote dakika 30 halotel na mb 1000 waliamua kukipunguza mpaka kufikia mb 600 kwa wiki. Kama hiyo haitoshi jana jioni waliamua kudanganya watumiaji wake kwa kuandika kwamba kwa sasa kwa sh 1000 utapata mb 800 cha kushangaza baada ya kujiunga unatumiwa message kwamba umepata mb 500 badala ya 800 iliyoonekana hapo awali ikiwa ni pungufu ya mb 300.
Huu ni WIZI mkubwa!.Ni sawa na kwenda dukani ukaona bidhaa nje ya box wameandika ndani kuna pieces 12 kisha baada ya kununua ukakuta pieces 5!
Cha ajabu wao siku zote marekebisho yao yanawaathiri watumiaji tu na wanaishia kukuomba radhi lakini haijawahi kutokea yakawaathiri wao! Na hata ikitokea wapo tayari kurudishia gharama zao zilizopotea! Lakini kwa wewe mtumia utaombwa radhi TU!
HII SIO SAWA!
Kama kuna mawakili humu tuungane kuifungulia kesi HALOTEL kwa maana huu ni wizi wa wazi wazi na ushahidi wote upo!