Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Inawezekana umebishi bure mkuu.Yani mwizi aingilie kati wizi wa mwizi mwenzie. Haiwezekani
Haujawahi kuona ama kusikia mwizi kakamata mwizi, wezi wameua mwizi na mwizi kumuibia mwizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana umebishi bure mkuu.Yani mwizi aingilie kati wizi wa mwizi mwenzie. Haiwezekani
Mkuu umeandika vizuri sana na inaonekana wewe ni mtaalamu wa haya mambo.Sio sawa kujilinganisha na nchi zilizoendelea lakini nchi kama marekani watu hawanunui vifurushi vya kupimiwa au rejareja kama ngano.
Bali wametandaza fiber kila sehemu ni wewe tu kuvuta nyumbani kwako unalipia kwa mwezi unlimited kwa speed fulani.
Labda kama mtu yupo mbali na nyumbani kwake ndio atanunua vya mobile, kizuri hata mitaani kuna public wi-fi.
TTCL huu ndio wakati bora wa kufanya maamuzi kama haya na kuwa na ushindani mkubwa wa kibiashara ambao haujawahi kutokea tanzania.
Hii itawapiga chini mitandao yote inayofuja pesa za watanzania kwa Data za kupima.
Cha kufanya ni watandaze fiber karibu mitaa yote ya dar, kuhusu ugeni wa watu kwenye hili jambo ni kwamba wakizoea tu basi wataanza kutumia kama zilivyoanza smartphones.
Ndani ya miaka 3 au 5 wananchi watakuwa wameshazoea.
Kama vifurushi vitakuwa vya bei ambayo mtanzania wa kawaida anaweza kuimudu mfano kifurushi cha chini kabisa kikianzia elfu 25,000 kwa mwezi basi lazima watu wengi wavutiwe.
Ni kama vifurushi vya ving'amuzi tu, bei ni kama hiyo lakini watu wananunua.
Hata kama gharama za utekelezaji wa mpango zitakuwa kubwa lakini in long term hili litakuwa na faida isiyo na kikomo.
Kumbuka kuwa wa kwanza ndio kila kitu, kama TTCL akianza basi atadominate na kushikilia soko lote.
TTCL lazima watakuwa wanapita humu hivyo mkiona hii post basi wananchi wanaomba mfanye hivyo.
Nadhani mpaka mwakani TTCL wanaweza kuwa tayari wameshakamilisha hili jambo.
Usihofu Nape atashughulikia hiliNiende moja kwa moja kwenye mada.
Halotel katika menu ya weekly mega bundle ambayo ulikuwa ukipatiwa dakika 30 mitandao yote dakika 30 halotel na mb 1000 waliamua kukipunguza mpaka kufikia mb 600 kwa wiki. Kama hiyo haitoshi jana jioni waliamua kudanganya watumiaji wake kwa kuandika kwamba kwa sasa kwa sh 1000 utapata mb 800 cha kushangaza baada ya kujiunga unatumiwa message kwamba umepata mb 500 badala ya 800 iliyoonekana hapo awali ikiwa ni pungufu ya mb 300.
Huu ni WIZI mkubwa!.Ni sawa na kwenda dukani ukaona bidhaa nje ya box wameandika ndani kuna pieces 12 kisha baada ya kununua ukakuta pieces 5!
Cha ajabu wao siku zote marekebisho yao yanawaathiri watumiaji tu na wanaishia kukuomba radhi lakini haijawahi kutokea yakawaathiri wao! Na hata ikitokea wapo tayari kurudishia gharama zao zilizopotea! Lakini kwa wewe mtumia utaombwa radhi TU!
HII SIO SAWA!
Kama kuna mawakili humu tuungane kuifungulia kesi HALOTEL kwa maana huu ni wizi wa wazi wazi na ushahidi wote upo!
Mkuu unaipataje hiyo free basic ya kuingia Jf bila bando? Maana mim nimeitafuta bila mafanikioHata mimi nimewakataa kwa sababu ya wizi wa Mb yaani nikiangalia kwenye matumizi ya data nakuta nimetumia Mb 400 na point Ktk 600 halafu tayari wameshakata bando na kutuma sms kamba sina Salio la kutosha , nikabadilisha kifuruahi nikawa najiunga mega eflu 3 gb 2 hali bado ile ile hapo ndio nikaikacha rasmi
Nimeicha halotel kwa sababu ya kusapoti freebasic kunisaidia kuzama Jf wkt sina bando lasivyo kitambo ningeitupa chooni.
unabofya www. Freebasics. com kwenye browser haswa chrome hapo unapeta tu lkn app yake inazingua.Kisha utakutana na wikipedia ,bbc Swahili nk km Jf haipo nenda kwny kuongeza huduma za kutumia utaikuta then una iadd mchezo unaisha mda wowote online.Mkuu unaipataje hiyo free basic ya kuingia Jf bila bando? Maana mim nimeitafuta bila mafanikio
Hahaha!! mm siwasahau Airtel mb 600 ziliisha kwa notifications za wasap na You2be mpk leo nimejiwekea sitotumia mimi na wao maadili forever .Karibu Airtel wezi wengine
Ukinunua mb500 ukifungua Instagram ukasoma post mbili za Mwijaku unaambiwa umeshatumia 75%
Vipi naweza tumia mende kama mdala wa nzi kwny hiyo sekta ?Unajisumbua tu huu mudo uliotumia kuandika huu uzi ungekula za nyeto tu
Shukran mkuuunabofya www. Freebasics. com kwenye browser haswa chrome hapo unapeta tu lkn app yake inazingua.Kisha utakutana na wikipedia ,bbc Swahili nk km Jf haipo nenda kwny kuongeza huduma za kutumia utaikuta then una iadd mchezo unaisha mda wowote online.